Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq

Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq

Wakurd wanataka wamege ardhi Iraq,Syrya,Iran na Turkey waunde taifa lao.
Iyo ni ngumu sana kwao ni mpaka wapigane na mataifa yote hayo wayashinde ndio wapate nchi yao ya Kurdistan.
 
Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.

Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafiri wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia Arabia,Oman,Morocco,Iran,Iraq,Syria n.k

Uturuki yajibu mapigo. Yawashambilia Wakurd.
==============

Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq kwa siku ya pili Alhamisi, baada ya shambulio kwenye kampuni ya ulinzi lililosababisha vifo vya watu watano. Shirika la ujasusi la Uturuki lilisema liliwalenga PKK na wanamgambo wa Kikurdi wa Syria, ikiwemo vituo vya kijeshi, nishati, na maghala ya silaha kwa kutumia droni. Shambulio hilo limetokea kukiwa na ishara za kusamehewa kwa kiongozi wa PKK Abdullah Ocalan.

Chanzo DW
Kwahiyo wewe taifa la kiislamu ndio halina migogoro? Wakurdi wanataka kitu kingine kabisa wala hawana uhusiano na dini
 
Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.

Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafiri wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia Arabia,Oman,Morocco,Iran,Iraq,Syria n.k

Uturuki yajibu mapigo. Yawashambilia Wakurd.
==============

Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq kwa siku ya pili Alhamisi, baada ya shambulio kwenye kampuni ya ulinzi lililosababisha vifo vya watu watano. Shirika la ujasusi la Uturuki lilisema liliwalenga PKK na wanamgambo wa Kikurdi wa Syria, ikiwemo vituo vya kijeshi, nishati, na maghala ya silaha kwa kutumia droni. Shambulio hilo limetokea kukiwa na ishara za kusamehewa kwa kiongozi wa PKK Abdullah Ocalan.

Chanzo DW
We jamaa ni fala , wakurdi ni waislamu na wapo katika dola za kiislamu ,Syria ,Turkey ,Iraq na Iran .
Sasa vita ya kidini hapo inaingiaje ?
Wakati wakurdi lengo lao ni jamii yao kujitenga na hizo nchi ili kutengeneza taifa lako independent ?
Msiwe mnadakia mambo msiyoyajua .
Wakurdi ni kabila au ethnic mojawapo katika hayo mataifa , kama uonavyo wajaluo kenya na Tanzania au Wamasai Kenya na Tanzania .
 
Hao wakurdi wanasapotiwa na Marekani na Wana uhusiano mkubwa na wazayuni. Miaka Sasa marekani na Israel wamekuwa wanawasapoti waunde Taifa lao. Lakini uzur nchi zote nne walipo ikiwemo Uturuki zimetia ngumu kuzuia hizi njama za kupandikiza vibaraka. Sasa wanaprlekewa moto utaona Marekani wanalalamika.
watu kuunda taifa lao ndo kuwa vibaraka? watu kama wanapewa huduma za msingi kweny nchi zao wanaweza vp kuwaza kujitenga ? ukiwa na akili static bas huez chambua mambo ukaelewa
 
Sawa Ukraine na Urusi nao ni waislamu?maana unataka kutuaminisha kila ugomvi imani za dini zipo
aliyevamia mwenzie ni kipenz cha waislam na anaiga kwa mafans wake , tabia za kishamba za kutaka kila ufanyacho bas na majiran wafanye hivyo hivyo
 
Wakurd wanataka wamege ardhi Iraq,Syrya,Iran na Turkey waunde taifa lao.
Iyo ni ngumu sana kwao ni mpaka wapigane na mataifa yote hayo wayashinde ndio wapate nchi yao ya Kurdistan.
sio wamege bali hayo maeneo wanaish wao wanataka kuungana , wametenganishwa na mipaka ilihali wote ni jamii moja , sw na wamasaia wa kenya na tanzania ipo siku watahitaj kuish pamoja na kufuta mipaka pia watahitaj wapelekewe huduma sw na wafanyavyo Msoga au Lupaso au Mtamaa , huko sio kumega bali ni kubadili mfumo wa kujitawala kutok kuwa chini ya jamii nyingine na kuwa mnajitawala
 
aliyevamia mwenzie ni kipenz cha waislam na anaiga kwa mafans wake , tabia za kishamba za kutaka kila ufanyacho bas na majiran wafanye hivyo hivyo
Jibu swali Putin na Zelensky ni waislamu wale?
 
Sawa Ukraine na Urusi nao ni waislamu?maana unataka kutuaminisha kila ugomvi imani za dini zipo
Wanafanya ugaidi? Vita vipo kila sehemu but suala la Ugaidi ni la kiimani. Ugaidi unaua watu wasio na hatia. Ila tu ni kwa kuwa si Imani ya mhusika basi inakuwa ni Halal.
 
We jamaa ni fala , wakurdi ni waislamu na wapo katika dola za kiislamu ,Syria ,Turkey ,Iraq na Iran .
Sasa vita ya kidini hapo inaingiaje ?
Wakati wakurdi lengo lao ni jamii yao kujitenga na hizo nchi ili kutengeneza taifa lako independent ?
Msiwe mnadakia mambo msiyoyajua .
Wakurdi ni kabila au ethnic mojawapo katika hayo mataifa , kama uonavyo wajaluo kenya na Tanzania au Wamasai Kenya na Tanzania .
Kwanza naanza kwa kukushukuru na kukupongeza kwa lugha hiyo ya kuniita fala.nimeshaitwa majina mengi mabaya kuliko hilo. Huwa nacheka tu. Issue ni ugaidi. Ungeelewa hapo ungeweza elewa issue nzima nayozungumzia. But since you failed to understand that little concern bas ndo maana wewe mwerevu umeniona mimi fala.😁
 
Wanafanya ugaidi? Vita vipo kila sehemu but suala la Ugaidi ni la kiimani. Ugaidi unaua watu wasio na hatia. Ila tu ni kwa kuwa si Imani ya mhusika basi inakuwa ni Halal.
Kwahiyo kule Ukraine na Urusi watu wasio na hatia hawafi? na kama wanakufa tuambie ule ni ugaidi au sio ugaidi?
 
Back
Top Bottom