Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Kwahiyo wewe taifa la kiislamu ndio halina migogoro? Wakurdi wanataka kitu kingine kabisa wala hawana uhusiano na diniKawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.
Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafiri wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia Arabia,Oman,Morocco,Iran,Iraq,Syria n.k
Uturuki yajibu mapigo. Yawashambilia Wakurd.
==============
Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq kwa siku ya pili Alhamisi, baada ya shambulio kwenye kampuni ya ulinzi lililosababisha vifo vya watu watano. Shirika la ujasusi la Uturuki lilisema liliwalenga PKK na wanamgambo wa Kikurdi wa Syria, ikiwemo vituo vya kijeshi, nishati, na maghala ya silaha kwa kutumia droni. Shambulio hilo limetokea kukiwa na ishara za kusamehewa kwa kiongozi wa PKK Abdullah Ocalan.
Chanzo DW
Mtoa mada kila jambo yeye anaunganisha na imani hatari sanaWakurd wanataka wamege ardhi Iraq,Syrya,Iran na Turkey waunde taifa lao.
Iyo ni ngumu sana kwao ni mpaka wapigane na mataifa yote hayo wayashinde ndio wapate nchi yao ya Kurdistan.
Wao hawataki kwenda Akhera?Kwahiyo wewe taifa la kiislamu ndio halina migogoro? Wakurdi wanataka kitu kingine kabisa wala hawana uhusiano na dini
Hakuna jambo ambalo halibebwi na Imani. Hakuna.Mtoa mada kila jambo yeye anaunganisha na imani hatari sana
Sasa haya tuambie Uislamu unaingiaje hapa kati ya uhasama wa wale wale Wakurd na Waturuki ?Hakuna jambo ambalo halibebwi na Imani. Hakuna.
Akhera utaenda utake husitake, wewe tuambie ugomvi wao na dini ya kiislamu una uhusiano upi?Wao hawataki kwenda Akhera?
Waturuki ni Waislamu na Wakurd ni Waislamu ambao katika imani zao wanaamini sana katika Violence na Ugaidi.Sasa haya tuambie Uislamu unaingiaje hapa kati ya uhasama wa wale wale Wakurd na Waturuki ?
Sawa Ukraine na Urusi nao ni waislamu?maana unataka kutuaminisha kila ugomvi imani za dini zipoWaturuki ni Waislamu na Wakurd ni Waislamu ambao katika imani zao wanaamini sana katika Violence na Ugaidi.
We jamaa ni fala , wakurdi ni waislamu na wapo katika dola za kiislamu ,Syria ,Turkey ,Iraq na Iran .Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.
Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafiri wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia Arabia,Oman,Morocco,Iran,Iraq,Syria n.k
Uturuki yajibu mapigo. Yawashambilia Wakurd.
==============
Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq kwa siku ya pili Alhamisi, baada ya shambulio kwenye kampuni ya ulinzi lililosababisha vifo vya watu watano. Shirika la ujasusi la Uturuki lilisema liliwalenga PKK na wanamgambo wa Kikurdi wa Syria, ikiwemo vituo vya kijeshi, nishati, na maghala ya silaha kwa kutumia droni. Shambulio hilo limetokea kukiwa na ishara za kusamehewa kwa kiongozi wa PKK Abdullah Ocalan.
Chanzo DW
watu kuunda taifa lao ndo kuwa vibaraka? watu kama wanapewa huduma za msingi kweny nchi zao wanaweza vp kuwaza kujitenga ? ukiwa na akili static bas huez chambua mambo ukaelewaHao wakurdi wanasapotiwa na Marekani na Wana uhusiano mkubwa na wazayuni. Miaka Sasa marekani na Israel wamekuwa wanawasapoti waunde Taifa lao. Lakini uzur nchi zote nne walipo ikiwemo Uturuki zimetia ngumu kuzuia hizi njama za kupandikiza vibaraka. Sasa wanaprlekewa moto utaona Marekani wanalalamika.
aliyevamia mwenzie ni kipenz cha waislam na anaiga kwa mafans wake , tabia za kishamba za kutaka kila ufanyacho bas na majiran wafanye hivyo hivyoSawa Ukraine na Urusi nao ni waislamu?maana unataka kutuaminisha kila ugomvi imani za dini zipo
sio wamege bali hayo maeneo wanaish wao wanataka kuungana , wametenganishwa na mipaka ilihali wote ni jamii moja , sw na wamasaia wa kenya na tanzania ipo siku watahitaj kuish pamoja na kufuta mipaka pia watahitaj wapelekewe huduma sw na wafanyavyo Msoga au Lupaso au Mtamaa , huko sio kumega bali ni kubadili mfumo wa kujitawala kutok kuwa chini ya jamii nyingine na kuwa mnajitawalaWakurd wanataka wamege ardhi Iraq,Syrya,Iran na Turkey waunde taifa lao.
Iyo ni ngumu sana kwao ni mpaka wapigane na mataifa yote hayo wayashinde ndio wapate nchi yao ya Kurdistan.
kwa matukio na kauli za wafanya hayo matukio , lzm tuseme hivyoMtoa mada kila jambo yeye anaunganisha na imani hatari sana
Jibu swali Putin na Zelensky ni waislamu wale?aliyevamia mwenzie ni kipenz cha waislam na anaiga kwa mafans wake , tabia za kishamba za kutaka kila ufanyacho bas na majiran wafanye hivyo hivyo
Haya tuambie kauli za Urusi na Ukraine zikoje?kwa matukio na kauli za wafanya hayo matukio , lzm tuseme hivyo
Wanafanya ugaidi? Vita vipo kila sehemu but suala la Ugaidi ni la kiimani. Ugaidi unaua watu wasio na hatia. Ila tu ni kwa kuwa si Imani ya mhusika basi inakuwa ni Halal.Sawa Ukraine na Urusi nao ni waislamu?maana unataka kutuaminisha kila ugomvi imani za dini zipo
Kwanza naanza kwa kukushukuru na kukupongeza kwa lugha hiyo ya kuniita fala.nimeshaitwa majina mengi mabaya kuliko hilo. Huwa nacheka tu. Issue ni ugaidi. Ungeelewa hapo ungeweza elewa issue nzima nayozungumzia. But since you failed to understand that little concern bas ndo maana wewe mwerevu umeniona mimi fala.😁We jamaa ni fala , wakurdi ni waislamu na wapo katika dola za kiislamu ,Syria ,Turkey ,Iraq na Iran .
Sasa vita ya kidini hapo inaingiaje ?
Wakati wakurdi lengo lao ni jamii yao kujitenga na hizo nchi ili kutengeneza taifa lako independent ?
Msiwe mnadakia mambo msiyoyajua .
Wakurdi ni kabila au ethnic mojawapo katika hayo mataifa , kama uonavyo wajaluo kenya na Tanzania au Wamasai Kenya na Tanzania .
Kwahiyo kule Ukraine na Urusi watu wasio na hatia hawafi? na kama wanakufa tuambie ule ni ugaidi au sio ugaidi?Wanafanya ugaidi? Vita vipo kila sehemu but suala la Ugaidi ni la kiimani. Ugaidi unaua watu wasio na hatia. Ila tu ni kwa kuwa si Imani ya mhusika basi inakuwa ni Halal.