Vikwazo vya EU vyakwamisha ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi nchini Serbia

Vikwazo vya EU vyakwamisha ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi nchini Serbia

Sasa,kama ni vitendo vya "kischana" ashuke kwenye ardhi za watu akajisaidie haja ndogo.Teh!
Hata akishuka akanya hakuna venye watafanya unamtishia muda wakati nchi yako kama mkoa wa tabora kiasi kwamba likitumwa kombora moja lazima walichakachue ili lisiumize wew na jirani yako
 
Wizara ya Mambo ya Nje nchini humo, imethibitisha kuahirishwa kwa ziara ya Waziri Sergei Lavrov nchini Serbia kwa sababu ya majirani watatu wa Serbia (Bulgaria, Macedonia na Montenegro) kuzuia ndege yake kutumia anga yao.

Serbia inadaiwa bado kuwa na mahusiano mazuri na Urusi licha ya nchi nyingi za EU kuiwekea nchi hiyo vikwazo, kutokana na uvamizi wake wa Mwezi Februari nchini Ukraine.

.................................

EU member Bulgaria imposed the flight ban, along with North Macedonia and Montenegro - countries hoping, like Serbia, to join the EU.

Russia's foreign ministry confirmed the cancellation. Russia's invasion of Ukraine triggered an EU airspace ban.
Serbia remains friendly with Russia.

Serbia has not joined the EU's wide-ranging sanctions against Russia. The EU and UK imposed a blanket flight ban on Russian planes - including the private jets of oligarchs - days after the 24 February invasion.

Like many other European countries, Serbia relies heavily on Russian gas. Mr Lavrov was to have had talks in Belgrade with President Aleksandar Vucic on 6-7 June.

The Kremlin strongly backs Serbia's refusal to recognise Kosovo's independence. Russia was angered by the Nato bombing campaign against Serbia in 1999 during the Kosovo war.

Commenting on the Balkan move to bar Mr Lavrov's flight, a Russian foreign ministry source said "our diplomacy has yet to master teleportation".

In early March thousands of pro-Russian Serbs marched through Belgrade, reflecting the countries' traditionally close ties.

Source: BBC
Haya Mataifa bhana (Urusi na Serbia) wanachekesha Sana. Hivi Kama ndege ya Urusi imezuiwa kupita kwenye Anga la Macedonia,Montenegro wamezuia ndege kupita kwenye Anga lao,je,Hilo Deal la Gesi ambalo Urusi na Serbia wamesaini,hiyo Gesi itapita wapi?
 
Hata akishuka akanya hakuna venye watafanya unamtishia muda wakati nchi yako kama mkoa wa tabora kiasi kwamba likitumwa kombora moja lazima walichakachue ili lisiumize wew na jirani yako
Hicho Kiswahili cha kikonongo kule Kwihala sijakielewa.Andika vizuri.
 
Haya Mataifa bhana (Urusi na Serbia) wanachekesha Sana. Hivi Kama ndege ya Urusi imezuiwa kupita kwenye Anga la Macedonia,Montenegro wamezuia ndege kupita kwenye Anga lao,je,Hilo Deal la Gesi ambalo Urusi na Serbia wamesaini,hiyo Gesi itapita wapi?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] itatumwa kwa Irizi
 
Hiyo ilikuwa zamani ambapo sky scrappers hazikuwa nyingi kama leo. Na pia Israel iliweza sababu ilitumia muda mwingi nile river.

Akafikia Kenya
No thank you! Route hiyo hapo;

Attack route​

The task force's route flew over Sharm al-Sheikh and down the international flight path over the Red Sea, mostly flying at a height of no more than 30 m (100 ft) to avoid radar detection by Egyptian, Sudanese, and Saudi Arabian forces. Near the south outlet of the Red Sea the C-130s turned south and passed south of Djibouti. From there, they went to a point northeast of Nairobi, Kenya, likely across Somalia and the Ogaden area of Ethiopia. They turned west, passing through the African Rift Valley and over Lake Victoria.
 
Acha chai mkuu. Karibu na usawa wa bahari unaujua kweli?
... unapopinga hoja ni bora ukaja facts za kufanya hivyo. Nimetumia neno "almost" usawa wa bahari; 30m siko mbali na ukweli. Soma hiyo.

Attack route​

The task force's route flew over Sharm al-Sheikh and down the international flight path over the Red Sea, mostly flying at a height of no more than 30 m (100 ft) to avoid radar detection by Egyptian, Sudanese, and Saudi Arabian forces. Near the south outlet of the Red Sea the C-130s turned south and passed south of Djibouti. From there, they went to a point northeast of Nairobi, Kenya, likely across Somalia and the Ogaden area of Ethiopia. They turned west, passing through the African Rift Valley and over Lake Victoria.
 
Oyaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wamebaki kushangilia vikwazo hawa [emoji1787], kule uwanja wa mapambano wamechezea kichapo wamekimbia [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom