Vikwazo vya Marekani: Huawei yatangaza kuacha kutengeneza simu za viwango vya juu, flagship phones

Vikwazo vya Marekani: Huawei yatangaza kuacha kutengeneza simu za viwango vya juu, flagship phones

Baada ya vikwazo vya Marekani, kampuni ya Huawei imetangaza kuacha kuzalisha flagship chipsets za Krin zinazotumika kuendesha simu za viwango vya juu ama flagship phones kama Huawei P series na Huawei Mate series

Vikwazo vya Marekani vimefanya imekua ngumu kwa Huawei kupata vifaa vya kutengeneza hizo chipsets kutoka kwa suppliers wake wakubwa kama Qualcomm, TSMC, Samsung na wengine wengi

Huawei imekiri kua vikwazo vya Marekani vimeanza kung'ata ndani kabisa, hivyo division yake ya chipset Manufacturing inafungwa muda si mrefu

Ama kweli Marekani acheni aitwe Marekani
Hii ni habari mbaya sana kwa wapenda technology, maana huawei alikuwa anatoa simu kali sana kuanzia muonekano mpaka camera. Nimesikitisha sana hata ulipokuwa ukitazama reviews ilikuwa mara nyingi wana compare samsung huawei na iphone na huawei alikuwa kwenye specifics nyingi anaibuka kidedea
 
Mleta mada tofautisha flagship chipset na flagship smartphone.

Huawei walikuwa wanapata flagship chipset kutoka kwa Taiwanese Semiconductors Manufacturing Corporation (TSMC) ambao ndio the best duniani. Pia walikuwa wanapata baadhi ya components ili watengeneze processors zao za Kirin lakini TSMC watasitisha kuiuzia Huawei kwa kuwa Marekani imetaka kampuni zinazotumia tech yake zisifanye kazi na Huawei labda kwa ruhusa. Hapa hata US hana teknolojia ya maana ya foundry, kina Samsung na TSMC ndo wababe. Kina Qualcomm na Intel Wamarekani ndo wanakuja nyuma.

Huawei kuona hivyo walifanya order ya chipset za kutosha simu millioni 15 tena hizi Huawei Mate 40 ambazo ndo simu za kwanza kutumia 5nm processor. Hata iPhone 12 itazikuta zishatangulia kuwa nayo. Simu nyingine zisizo high end watatumia technology yao kutenegeneza, hawashindwi kutengeneza 16nm. Pia wako bize mno kwenye maabara zao kuibuka na breakthrough. Kwangu mimi teknolojia ya Mchina nasubiri kuipima hapa.

Huawei hafi leo wala kesho. Kwenye soko la China labda serikali inaweza fanya kina Xiaomi, Oppo, OnePlus wauze sana nje kisha waiachie Huawei ijipange upya uku inapokea order za ndani. Baada ya kujipanga itoe product nje.

Huawei ana patents nyingi zaidi za 5G kuliko kampuni yoyote. Akifungiwa kutoa huduma makampuni yatakayotoa yatalipia patent yake. Hapa wanaweza pata kiasi cha kawaida cha pesa.
Kwamba wewe mjuaji kuliko Huawei?
 
Hii ni habari mbaya sana kwa wapenda technology, maana huawei alikuwa anatoa simu kali sana kuanzia muonekano mpaka camera. Nimesikitisha sana hata ulipkuwa ukitazama reviews ilikuwa mara nyingi wana compare samsung huawei na iphone na huawei alikuwa kwenye specifcs nyingi anaibuka kidedea
Usihofu mkuu, Marekani kakumbuka shuka wakati kumekucha, mchina ameshakuwa mjanja tayari, tofauti na miaka ile, huawei itayumba kwa muda, lakini haitakufa...

Kwa dunia ya sasa Marekani ni ngumu yeye peke yake kutawala masoko makubwa yote, kwenye silaha za kivita anapata upinzani kwa urusi, technolojia licha ya mchina nchi nyingi zimepiga hatua sana,, ndege za abiria kuna AIR BUS, kwa dunia ya sasa anachofanya USA, ni kwamba anawafanya adui zake wabuni njia mbadala, sasa hivi kuna nchi zinafikiria kuachana na matumizi ya us dollar, OS za computer hawatumii windows, RUSSIA ana internet yake kama backup iwapi Ulaya/USA watamzingua..
 
Baada ya vikwazo vya Marekani, kampuni ya Huawei imetangaza kuacha kuzalisha flagship chipsets za Krin zinazotumika kuendesha simu za viwango vya juu ama flagship phones kama Huawei P series na Huawei Mate series.

Vikwazo vya Marekani vimefanya imekua ngumu kwa Huawei kupata vifaa vya kutengeneza hizo chipsets kutoka kwa suppliers wake wakubwa kama Qualcomm, TSMC, Samsung na wengine wengi.

Huawei imekiri kua vikwazo vya Marekani vimeanza kung'ata ndani kabisa, hivyo division yake ya chipset Manufacturing inafungwa muda si mrefu.

Ama kweli Marekani acheni aitwe Marekani.
Marekani anachezewa akili, muda wowote atashangazwa na Hauwei. Ogopa sana adui anaposema wazi kwamba ameshindwa huku bado kuna walakini.
 
Baada ya vikwazo vya Marekani, kampuni ya Huawei imetangaza kuacha kuzalisha flagship chipsets za Krin zinazotumika kuendesha simu za viwango vya juu ama flagship phones kama Huawei P series na Huawei Mate series.

Vikwazo vya Marekani vimefanya imekua ngumu kwa Huawei kupata vifaa vya kutengeneza hizo chipsets kutoka kwa suppliers wake wakubwa kama Qualcomm, TSMC, Samsung na wengine wengi.

Huawei imekiri kua vikwazo vya Marekani vimeanza kung'ata ndani kabisa, hivyo division yake ya chipset Manufacturing inafungwa muda si mrefu.

Ama kweli Marekani acheni aitwe Marekani.

Huawei to stop making flagship chipsets as U.S. pressure bites, Chinese media say
Kama mtu amegundua 5g atashindwaje kutengeneza hizo chipset? Au unadhani huawei ni kama serikali ya viwonder?
 
usihofu mkuu,marekani kakumbuka shuka wakati kumekucha,mchina ameshakuwa mjanja tayari,tofauti na miaka ile,,huawei itayumba kwa muda,lakini haitakufa..
Kwa dunia ya sasa marekani ni ngumu yeye peke yake kutawala masoko makubwa yote,,kwenye silaha za kivita anapata upinzani kwa urusi,technolojia licha ya mchina nchi nyingi zimepiga hatua sana,,ndege za abiria kuna AIR BUS ,kwa dunia ya sasa anachofanya USA,,ni kwamba anawafanya adui zake wabuni njia mbadala,sasa hivi kuna nchi zinafikiria kuachana na matumizi ya us dollar,OS za computer hawatumii windows,RUSSIA ana internet yake kama backup iwapi ulaya/usa watamzingua..
Unajua kwamba ZTE ni kampuni ya china iliokufa kwasababu ya kuwekewa vikwazo??
 
Baada ya vikwazo vya Marekani, kampuni ya Huawei imetangaza kuacha kuzalisha flagship chipsets za Krin zinazotumika kuendesha simu za viwango vya juu ama flagship phones kama Huawei P series na Huawei Mate series.

Vikwazo vya Marekani vimefanya imekua ngumu kwa Huawei kupata vifaa vya kutengeneza hizo chipsets kutoka kwa suppliers wake wakubwa kama Qualcomm, TSMC, Samsung na wengine wengi.

Huawei imekiri kua vikwazo vya Marekani vimeanza kung'ata ndani kabisa, hivyo division yake ya chipset Manufacturing inafungwa muda si mrefu.

Ama kweli Marekani acheni aitwe Marekani.

Huawei to stop making flagship chipsets as U.S. pressure bites, Chinese media say
Taarifa yako inasema Huawei anaacha kutengeneza flagship phones. Ila link uliyoweka inasema kwamba Huaweji anaacha kutengeneza flagship chipsets

Tumuamini nani?
 
Back
Top Bottom