Vikwazo vya Marekani: Huawei yatangaza kuacha kutengeneza simu za viwango vya juu, flagship phones

Tech ya chipset inabadilika Kila Siku , huwezi ku stock chipset kwa ajili ya matumizi ya baadaye .
Umeongea kishabiki Hadi unasahau facts
 
Kwahiyo wewe hili unalifurahia et.
Afurahie au anunie, tuwe na desturi ya kuongea facts, ndio maana ya forum na tutaitendea haki hii forum kwa vizazi vijavyo

Tukianza kuongea vitu kwa kupendelea upande, forum hii haitakuwa na maana kwa vizazi vijavyo.
 
Bombardia haikuwahi kutishia Boeing kwenye masoko ,
Airbus aliona fursa kwa bombardia c series , ndo akanunua program hiyo ili atrngeneze ndege hizo kwenye kiwanda chake Alabama states (.A220)

C series isingeweza kupenya kwenye soko la marekani Kama ingeendelea kutengenezwa Canada , sababu ya Kodi kubwa.
 
Marekani anachezewa akili, muda wowote atashangazwa na Hauwei. Ogopa sana adui anaposema wazi kwamba ameshindwa huku bado kuna walakini.
Mkuu ZTE yupo wapi ? Au naye anajipanga ?
 
Taarifa yako inasema Huawei anaacha kutengeneza flagship phones. Ila link uliyoweka inasema kwamba Huaweji anaacha kutengeneza flagship chipsets

Tumuamini nani?
Kama unafatilia vizuri flagship phones hutengenezwa na flagship chipset, kwa hiyo Kama anaacha kutengeneza chipset maana yake ni kuwa simu za flagship nazo zinakufa
 
Upuuzi tu. Hakuna kitu. Huawei piga kaziiiiii
Umeelewa? au huelewi HUAWEI Walivyokiri wenyewe? Moto ununguza mafuta wewe unamwambia aliyemwaga mafuta aendelee kuchota.Inawezekana kweli?
 
Tech ya chipset inabadilika Kila Siku , huwezi ku stock chipset kwa ajili ya matumizi ya baadaye .
Umeongea kishabiki Hadi unasahau facts
Tuliza akili ukileta ubishi. Simu hutumia chipset ya aina moja unless kama ina version tofauti. Na penyewe si kawaida makampuni kutengeneza version zenye chipset tofauti. Mfano utakuta iPhone 12, 12 Pro au 12 Pro Max zinatofautiana storage, camera, screen to body ratio, battery, etc lakini chipset ni moja.

Huawei waliagiza chipset around 15M kwa kutoshea simu za Mate 40. Production ya high end flagship always huwa ni mwaka mmoja. Baada ya hapa watatakiwa watengeneze nyingine.

Unabisha nini, na ushabiki uko wapi nilipoandika?
 
Bishana na Boeing wenyewe sasa. Unasema Bombardier alitozwa tarrifs kubwa. Kwani chanzo cha hizo tarrifs kuwa za juu ni nini?

Boeing aliona soko lake linapotea, for your information Delta Airlines ni mojawapo ya wateja watiifu sana wa Boeing. Tena wapo Marekani kwenyewe sasa imagine hao wameopt Bombardier, wengine itakuwaje?

Boeing alifika mamlaka za US kulalamika na ndipo tarrifs zikaongezwa. Baada ya hapo Bombardier akashindwa uza ndege ndipo akauza program kwa Airbus. Airbus haiwezi wekewa tarrifs kwa kuwa tiyari ni giant. Hata hawa kina Embrael wanavutiwa muda.
 
Na hili ndo soko huria wanalotuhubiria kila siku wanalotaka na waafrica nao walifate.
 
Mungu anaisamehe ila nawachukia wachina sanaaaa...! Acha tu wapate tabu sana,Hawana Utu

Wachina ni watu wazuri sana kuliko marekani

Marekani ni killers hivyo sioni wema wao, waliuwa innocent people zaidi ya laki mbili huko japan, haikutosha akasababisha mataifa mawili yapigane Iraq na Iran na kupelekea kupoteza maisha zaidi ya milioni 3, haikutosha huko huko iraq, afghanistana, yemen, syria n.k. sasa wanachokipata sasaiv kwa covid ni haki yao, na itaendelea kuwapukutisha mpaka basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…