Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Mkuu mabeberu wanatuonea wivu kwa amani yetu na maendeleo makubwa tulioyapata kwa muda wa miaka mitano
Sasa Hivi tupo Uchumi wa kati na maisha ya Watanzania kwa sasa ni mazuri mnoo kuanzia Wafanyabiashara. Wafanyakazi hata Wakulima
Lazima wachukie
Hivi maisha gani yamekuwa mazuri?

Hivi kufunga fremu za bishara kibao huko Kariakoo ndiyo unayaita, mafanikio ya utawala huu wa awamu ya tano?

Ama kweli kama alivyoongea Jiwe, anataka matajiri waishi kama mashetani!
 
Naunga mkono hoja, vikwazo zaidi na viwekwe toka mataifa rafiki wa Marekani, UN na Umoja wa Ulaya, labda hawa watawala wetu wataacha jeuri ya kuvunja haki za binadamu
 
Hivi maisha gani yamekuwa mazuri?

Hivi kufunga fremu za bishara kibao huko Kariakoo, ndiyo unayaita, mafanikio ya utawala huu wa awamu ya tano?
Mkuu watanzani wote kwa ujumla tunafaidi sana utawala huu wa Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Tatizo lipo kwa wapiga dili Yaani lazima waumie tu maana mianya imeziba kabisa
 
Naunga mkono hoja, vikwazo zaidi na viwekwe toka mataifa rafiki wa Marekani, UN na Umoja wa Ulaya, labda hawa watawala wetu wataacha jeuri ya kuvunja haki za binadamu
Watanzania hatuna shida na mabeberu
Nchi hii ni tajiri sana hatuhitaji pesa za mabeberu
Kwa sasa tupo Uchumi wa kati.
Ndio maana unaona kwa mara ya kwanza Watanzania tunaishi maisha mazuri sana kuanzia Wafanyabiashara. Wafanyakazi hata Wakulima maisha ni bam bam
Hakuna tena stress na hatuhitaji beberu
 
Nani anataka kwenda marekani?
Mabeberu wanatuonea wivu kwa sababu tupo Uchumi wa kati na RAIA WOTE wa Tanzania wanamaisha mazuri sana tofauti na zamani
Ushawahi toka nnje ya Tanzania maishani maisha yako?
 
Pombeo aliandika kusudio lake na serikali yake ya Trump ambayo imeshafungashwa virago na makusudio mengi aliyoweka Trump Raisi mpya jana kayafutilia mbali.

Hilo kusudio lake sasa ampelekee mkewe
 
Ushawahi toka nnje ya Tanzania maishani maisha yako?
Sina haja ya kwenda nchi za watu maana mimi nipo Kwangu Tanzania na napata mahitaji yote Bure
Shule bure
Huduma za afya bure
Ajira ya kumwaga
Maisha rahisi sana
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
Tatizo lipo kwa wapiga dili Yaani lazima waumie tu maana mianya imeziba kabisa
 
Pompeo mwenyewe kawekewa vikwazo haruhusiwi kukanyaga China na Hongkong.
Yeye na Trump wake waliibana China RAISI MPYA KAJA kasema atarudisha uhusiano wa marekani ulioharibiwa na Pompeo na kamtaja kwa jina kabisa kuwa ndie mharibufu mkubwa aliyeharibu uhusiano wa Marekani na mataifa mengine.Kwenye hotuba kamtaja kwa jina

Uhusiano wa Tanzania na marekani ulikuwa mzuri mno ndio maana maraisi kibao wa marekani walifurika hapa lilivyoingia li Pompeo likaharibu kabisa kutwa kutuponda twitter safari hii kakutana na kidume Biden Kamtaja kabisa kama mtu aliyeharibu mahusiano ya marekani na nchi zingine
 
Sina haja ya kwenda nchi za watu maana mimi nipo Kwangu Tanzania na napata mahitaji yote Bure
Shule bure
Huduma za afya bure
Ajira ya kumwaga
Maisha rahisi sana
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
Tatizo lipo kwa wapiga dili Yaani lazima waumie tu maana mianya imeziba kabisa
Oh'poor you comrade,Unaonekana make sure wajukuu zako hawawi kama wewe..Unaonekana michango yako hapa forum..it's not too late jitahidi ufike angalau Nairobi my friend..hao wageni wanaokuja hapo doesn't mean kwenye nchi zao kuna mahitaji wanakosa it might help you kuondokana na mawazo mgando.
 
NEC nyie mnataka sheria zifuatwe kwenye tuhuma zenu, ila kwetu sisi hamtaki kabisa wala kutusikiliza - mmefunga kabisa komeo kwamba matokeo yenu ya uchaguzi wa Rais mkiyatangaza hayawezi eti kuhojiwa na chombo chochote kile hapa duniani labda mbinguni - sasa hamuoni huo ni uonevu mkubwa sana wa haki tena kiwango cha ajabu !!

Taifa la Marekani wapo sahihi
 
Kama hizo sheria zake hazitoi haki kwa mtu ambaye ana walakini na mchakato kuweka zuio wala kufungua mashitaka, ni kitu gani anachokibwabwaja hapa, shit...
 
Wapuuzi hawa tena wapuuzi wakubwa. Hatua zipi zifuatwe wakati matokeo ya Urais hayaruhusiwi kufunguliwa mashtaka mahakamani na mahakama zenyewe kuhusu kesi za matokeo ya Ubunge ni UOZO MTUPU kwani huyo anayejiita mwendawazimu kaziweka mfukoni.
 
“Kulikuwa na accredited observers (waangalizi waliopewa vibali) na walitoa ripoti. Tuone walisemaje kwenye ripoti zao. Kama Marekani walikuwa na waangalizi ripoti yao itaonyesha."

Asante sana Jaji Semistocles Kaijage! mpaka leo hakuna hata kesi moja ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyopokelewa kwenye mahakama zetu. Huku mtaani kuna utani wa "kama uliibiwa kuwa una ushahidi....hapana ushaidi niliuchoma!"
Hivi mnadhani wazungu wana akili nyembamba kama zenu , hebu tuambie kisa cha wagombea kuenguliwa na hata rufaa zao hazikupata majibu , halafu angalia kule mlimba mlikompitisha Kunambi bila hata aibu , sababu zipi mlitumia ?
 
Pombeo aliandika kusudio lake na serikali yake ya Trump ambayo imeshafungashwa virago na makusudio mengi aliyoweka Trump Raisi mpya jana kayafutilia mbali.

Hilo kusudio lake sasa ampelekee mkewe
Hata kama CCM walikunyima elimu wakakupa ujinga ingia kwenye website ya state department ndio utajijuws hujui.
 
Huyu ni mweupe kichwani,hivi aliyewakataa wapinzani nchi nzima hakuwa yeye sio
 
Sina haja ya kwenda nchi za watu maana mimi nipo Kwangu Tanzania na napata mahitaji yote Bure
Shule bure
Huduma za afya bure
Ajira ya kumwaga
Maisha rahisi sana
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
Tatizo lipo kwa wapiga dili Yaani lazima waumie tu maana mianya imeziba kabisa
Sasa imekuwaje mbunge wenu kafia India? Kwamba hizo hospital za bure watibiwe nguchiro kama wewe?
 
Back
Top Bottom