Vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vyafikia tamati leo

Vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vyafikia tamati leo

RTI

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2018
Posts
2,423
Reaction score
7,155
Vikwavo vya kuuza na kununua silaha vya UN dhidi ya Iran vilivyo dumu kwa muongo mmoja vimemalizika hii leo. Hatua ya kufika tamati kwa vikwazo hivyo kutaiwezesha Iran kununua na kuuza silaha zake.

Hata hivyo licha ya vikwazo vya silaa taifa hilo limekuwa likiimarika kijeshi kila kukicha na hatua ya kuisha muda kwa vikwazo vya silaha itaiimarisha zaidi .

Marekani, Israel , na mataifa ya ghuba yamekuwa yakipinga kuondolewa kwa vikwazo hivyo dhidi ya Iran hata hivyo juhudi zao zinaonekana kuambulia patupu.

Chanzo ni kwa mujibu wa DW Swahili.
 
Wanapata jambajamba..😂
Siku hii dunia ikifarakana tutaivishana kama makande.!
 
Kwa nilivyosoma maoni ya ya wachambuzi inaonekana silaha wanaweza hata wasinunue ila kuuza watauza kiasi. Kuiuzia silaha Iran ni sawa na kutangaza uadui na Saudi Arabia, Israel, UAE na baadhi ya mataifa mengine ya Kiarabu. Tatizo la Iran ana uhadui na Waarabu na Wayahudi wengi na wanaogopa akipata silaha.

Pia China anatamani sana Biden ashinde urais ili mazungumzo juu ya mgogoro wa biashara kama kuhusu Huawei uendelee na kutatuliwa. Russia anatamani kuendeleza mkataba wa START kuhusu silaha za nyuklia ambao inaonekana Trump hajataka ila Russia wanamtaka Trump arejee. Wawili hawa hawataki mgogoro mpya ili wasivuruge mazingira ya mazungumzo hivo wataepuka kuiuzia Iran silaha nzito kama attack subs, S-400, tanks, attack helicopters na airfighters. Labda mwakani mikataba isainiwe.

Wakati huo Iran hana fedha nyingi za kununua silaha za kutosha kutokana na vikwazo. Russia hawezi uza silaha kwa kubadirishana na mafuta maana anayo labda China akifanya hivo.

Mengi ya haya nimeyatoa Aljazeera na nimeyaamini.
 
Iran pesa zao ni za kufadhili watu fulani fulani hata hapa bongo pumbavu zao
Kwa nilivyosoma maoni ya ya wachambuzi inaonekana silaha wanaweza hata wasinunue ila kuuza watauza kiasi. Kuiuzia silaha Iran ni sawa na kutangaza uadui na Saudi Arabia, Israel, UAE na baadhi ya mataifa mengine ya Kiarabu. Tatizo la Iran ana uhadui na Waarabu na Wayahudi wengi na wanaogopa akipata silaha.

Pia China anatamani sana Biden ashinde urais ili mazungumzo juu ya mgogoro wa biashara kama kuhusu Huawei uendelee na kutatuliwa. Russia anatamani kuendeleza mkataba wa START kuhusu silaha za nyuklia ambao inaonekana Trump hajataka ila Russia wanamtaka Trump arejee. Wawili hawa hawataki mgogoro mpya ili wasivuruge mazingira ya mazungumzo hivo wataepuka kuiuzia Iran silaha nzito kama attack subs, S-400, tanks, attack helicopters na airfighters. Labda mwakani mikataba isainiwe.

Wakati huo Iran hana fedha nyingi za kununua silaha za kutosha kutokana na vikwazo. Russia hawezi uza silaha kwa kubadirishana na mafuta maana anayo labda China akifanya hivo.

Mengi ya haya nimeyatoa Aljazeera na nimeyaamini.
 
Kwa nilivyosoma maoni ya ya wachambuzi inaonekana silaha wanaweza hata wasinunue ila kuuza watauza kiasi. Kuiuzia silaha Iran ni sawa na kutangaza uadui na Saudi Arabia, Israel, UAE na baadhi ya mataifa mengine ya Kiarabu. Tatizo la Iran ana uhadui na Waarabu na Wayahudi wengi na wanaogopa akipata silaha.

Pia China anatamani sana Biden ashinde urais ili mazungumzo juu ya mgogoro wa biashara kama kuhusu Huawei uendelee na kutatuliwa. Russia anatamani kuendeleza mkataba wa START kuhusu silaha za nyuklia ambao inaonekana Trump hajataka ila Russia wanamtaka Trump arejee. Wawili hawa hawataki mgogoro mpya ili wasivuruge mazingira ya mazungumzo hivo wataepuka kuiuzia Iran silaha nzito kama attack subs, S-400, tanks, attack helicopters na airfighters. Labda mwakani mikataba isainiwe.

Wakati huo Iran hana fedha nyingi za kununua silaha za kutosha kutokana na vikwazo. Russia hawezi uza silaha kwa kubadirishana na mafuta maana anayo labda China akifanya hivo.

Mengi ya haya nimeyatoa Aljazeera na nimeyaamini.
Mkuu ungejua China na Urusi walivyo pambana kwenye baraza la usalama la UN ili kuhakikisha vikwazo hivi haviongezewi muda usingesema hivyo.
Kama wange kuwa hawataki kuiuzia silaha Iran kwa sababu hizo ulizo zisema basi wangeruhusu muda wa vikwazo uongezwe.
Kuhusu fedha Iran haijaanza kuwekewa vikwazo juzi imeanza kuwekewa vikwazo zaidi ya miaka 40 lakini bado wanapata mabilion ya$ ya kuendesha vita nchini yemen,Syria na Iraq kwa hiyo sidhani kama watashindwa kupata fedha za kununua silaha.
 
Mkuu ungejua China na Urusi walivyo pambana kwenye baraza la usalama la UN ili kuhakikisha vikwazo hivi haviongezewi muda usingesema hivyo.
Kama wange kuwa hawataki kuiuzia silaha Iran kwa sababu hizo ulizo zisema basi wangeruhusu muda wa vikwazo uongezwe.
Kuhusu fedha Iran haijaanza kuwekewa vikwazo juzi imeanza kuwekewa vikwazo zaidi ya miaka 40 lakini bado wanapata mabilion ya$ ya kuendesha vita nchini yemen,Syria na Iraq kwa hiyo sidhani kama watashindwa kupata fedha za kununua silaha.
...Kwani mkuu fedha inazotumia Iran kufadhili makundi kama Hizbullah, wanagambo huko Iraq,Syria na Yemen unafikiri ni nyingi kiasa cha kuona ndio kigezo cha kumudu gharama za kununua silaha nzito kama S-400, attack Submarines na nyinginezo za kisasa?

Nadhani hayo makundi hayahitaji gharama kubwa sana kuyahudumia ndio maana Iran kawekeza sana huko.
 
Mkuu ungejua China na Urusi walivyo pambana kwenye baraza la usalama la UN ili kuhakikisha vikwazo hivi haviongezewi muda usingesema hivyo.
Kama wange kuwa hawataki kuiuzia silaha Iran kwa sababu hizo ulizo zisema basi wangeruhusu muda wa vikwazo uongezwe.
Kuhusu fedha Iran haijaanza kuwekewa vikwazo juzi imeanza kuwekewa vikwazo zaidi ya miaka 40 lakini bado wanapata mabilion ya$ ya kuendesha vita nchini yemen,Syria na Iraq kwa hiyo sidhani kama watashindwa kupata fedha za kununua silaha.
Fedha za kupeleka outdated rocket launchers, makeshift drones na RPG haziwezi fananishwa na fedha ya kununua na kumaintain state of the art weapons.

Mfano India ilisaini mkataba wa regiments tano za S-400 kwa $ 5.4 billion. Bado Iran hana helicopters anaweza chukua Ka-52, subs zake ziko outdated anaweza chukua mpya kabisa Lada class au Kilo class ya zamani iliyo modified. MBT hana, akibeba T-90 alizotaka miaka michache nyuma. Hana meli nzito hizo China wanatoa kwa bei nafuu na speed kubwa. Airfighters ndo mweupe kabisa hapo atataka kama Su-30MKI za kutosha, atataka jet trainers kama Yak-30.

Hizo ni muhimu ila gharama sana. Tatizo gharama za kumiliki ni kubwa vilevile. Bado kuna systems ndogondogo kama anti tank missiles, communication gear.
 
Iran wanunue S_400 triumf hamna yeyote atayejaribu kuwasogelea pale middle east.
Nonesense! Hakuna atakayewauzia.

Na hata hivyo hiyo mifumo haina ufanisi huo mkubwa unaoufikiri.
 
Mkuu ungejua China na Urusi walivyo pambana kwenye baraza la usalama la UN ili kuhakikisha vikwazo hivi haviongezewi muda usingesema hivyo.
Kama wange kuwa hawataki kuiuzia silaha Iran kwa sababu hizo ulizo zisema basi wangeruhusu muda wa vikwazo uongezwe.
Kuhusu fedha Iran haijaanza kuwekewa vikwazo juzi imeanza kuwekewa vikwazo zaidi ya miaka 40 lakini bado wanapata mabilion ya$ ya kuendesha vita nchini yemen,Syria na Iraq kwa hiyo sidhani kama watashindwa kupata fedha za kununua silaha.
Dollar ya Zimbabwe au dollar za wapi wanazipata?
 
Mkuu ungejua China na Urusi walivyo pambana kwenye baraza la usalama la UN ili kuhakikisha vikwazo hivi haviongezewi muda usingesema hivyo.
Kama wange kuwa hawataki kuiuzia silaha Iran kwa sababu hizo ulizo zisema basi wangeruhusu muda wa vikwazo uongezwe.
Kuhusu fedha Iran haijaanza kuwekewa vikwazo juzi imeanza kuwekewa vikwazo zaidi ya miaka 40 lakini bado wanapata mabilion ya$ ya kuendesha vita nchini yemen,Syria na Iraq kwa hiyo sidhani kama watashindwa kupata fedha za kununua silaha.
Wewe t 14 armata unasema Iran airforce mweupe!!! Juzi kati iran ilishangaza dunia kwa mara ya kwanza f 5 iliweza kufwatua kombora lili tembea zaid ya kilomita 900 air to air misseli za f 5 zikitembea zaidi ya kilomita 70 hata sidewinder air to air misseli za f 16 hazioni ndani
 
Back
Top Bottom