Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Ukiachana na biashara yakimataifa"katika kipindi kirefu, uchumi wa Urusi utadorora Zaidi wakati kwa kiasi fulani ukiachana na biashara ya kimataifa.”
Kipindi kirefu ni muda gani? Inahitajika specific estimates kwa ajili ya kupima usahihi.
Unatarajia Wamarekani watasema nini kizuri kuhusu Urusi?Watafiti katika Chuo Kikuu cha YALE nchini Marekani wanasema uchumi wa Urusi unakabiliwa na uharibu mkubwa kutokana na vikwazo vya nchi za Magharibi, licha ya Moscow kupuuzia athari hizo
Kwa vikwazo alivyowekewa urusi hawezi kufanya vizuri kiuchumi asilani , kabla ya vikwazo russia alikuwa anapitwa na nchi kama india . Uchumi wa urusi uko hoi long time kitambo na ni sababu mojawapo iliyopelekea ussr kuvunjika na ashukuru Mungu kaijaalia gesi na mafuta vinginevyo ingekuwa tunaongea mengine na ndiyo maana urusi haina ushawishi wa maana kwa wenzake wa ulaya mashariki maana haina hela. Hata russians wenyewe hutaman waende west. Angalia hata waliosoma russia wengi lazima utakuta wa mahangaiko fulani hivi kwenye maisha sasa angalia waliosema western wengi hawana hayo mahangaiko e.g. rip Dr. Mengi vs rip Dr. Shika. Putin kaenda omba msaada wa drones iran na kupata uzoef wa kuuza bidhaa na huduma kimagendo kukwepa vikwazo vya western sasa ka nchi imefikia hatua hii kwa nini kiuchumi wasiwe hoi bin taaban?
Russia sio wavaa kobazi
Haiwaondolei uteule walionaoRussia sio wavaa kobazi
Mkuu, hao ndio walivyo - ma prophet of doom!!
Sijaelewa kuwa anamaanisha biashara za kimataifa hazitakuwa affected au anamaanisha katika hicho kipindi kirefu ataachana na biashara za kimataifa. Suluhisho ni kuisoma ripoti kabla ya tafsiri ya kiswahili.Ukiachana na biashara yakimataifa
Hem fafanua hio sentena yako MKUU kama hutojali
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hawa propagandalist ndo wapo mstari wa mbele kujitekenya wakifikiri dunia nzima ni matahilaWanajitekenya na kicheka wenyewe,ukweli duniani kote unafahamika kuwa Urusi amesababisha mdororo wa kiuchumi duniani note.Nchi zilizoathirika zaidi ni EU na USA kuliko hata Urusi yenyewe,mfano USA inflation rate imefika 9.1% kiwango ambacho hakijawahi kutokea toka miaka 40 iloyopita.
Huko Uingereza na Germany inflation zimetoka 1.2% hadi 8%,kiwango ambacho hakijawai kufikiwa kwa miaka mingi.koifupi Urusi amewashika korodani.
Russia imefika ngapi?Wanajitekenya na kicheka wenyewe,ukweli duniani kote unafahamika kuwa Urusi amesababisha mdororo wa kiuchumi duniani note.Nchi zilizoathirika zaidi ni EU na USA kuliko hata Urusi yenyewe,mfano USA inflation rate imefika 9.1% kiwango ambacho hakijawahi kutokea toka miaka 40 iloyopita.
Huko Uingereza na Germany inflation zimetoka 1.2% hadi 8%,kiwango ambacho hakijawai kufikiwa kwa miaka mingi.koifupi Urusi amewashika korodani.
Nakubaliana na wewe, kwa pini alopigwa Russia sio rahisi uchumi wake kubaki imara kama ambavyo wanavyotudanganya.Urusi
Kwa vikwazo alivyowekewa urusi hawezi kufanya vizuri kiuchumi asilani , kabla ya vikwazo russia alikuwa anapitwa na nchi kama india . Uchumi wa urusi uko hoi long time kitambo na ni sababu mojawapo iliyopelekea ussr kuvunjika na ashukuru Mungu kaijaalia gesi na mafuta vinginevyo ingekuwa tunaongea mengine na ndiyo maana urusi haina ushawishi wa maana kwa wenzake wa ulaya mashariki maana haina hela. Hata russians wenyewe hutaman waende west.
Angalia hata waliosoma russia wengi lazima utakuta wa mahangaiko fulani hivi kwenye maisha sasa angalia waliosema western wengi hawana hayo mahangaiko e.g. rip Dr. Mengi vs rip Dr. Shika. Putin kaenda omba msaada wa drones iran na kupata uzoef wa kuuza bidhaa na huduma kimagendo kukwepa vikwazo vya western sasa ka nchi imefikia hatua hii kwa nini kiuchumi wasiwe hoi bin taaban?
Utafika wakati tutaanza kuuona moshi, hapo ndipo tutaona moto unaofukuta chini ktk nchi ya Urusi. Ukiondoa ushabiki, kwa vikwazo vya Russia, hawezi kubaki salama kiuchumi.Hili liko wazi sana, hata kama bahadhi ya members humu kila siku wanatuletea riport ndefundefu kila siku kuonnyesha kuwa urusi mambo yako shwari.., huwezi ukatengwa na mataifa makubwa yenye nguvu kiuchumi alafu eti usipate madhara yoyote,Hilo haliwezekani hata ikitokea washirika wa marekani wakaungana kwa dhati bila kujari madhara yatakoyowapata,na wakaamua kumtenga marekani, usitegemee kumuona Amerika akiendelea kuwa super pawer
Ninachokiona hapa ni serikali ya urusi kuendelea kupika takwimu huku ikifunga mlango kwa yeyote mwenye mawazo tofauti na klemlin!
Hiki ndicho kipindi ambacho Russia anatafuta mno washirika. Mbaya zaidi US yupo macho kila eneo.Nasikia saizi urusi limekuwa ni koloni la mchina kwa sababu mchina ananunua urusi vitu bei ndogo halafu yeye mchina namuuzia mrusi vitu bei kubwa.
Inasemekana imepungua kwa zaidi ya 80% huo utengenezaji wa magari.Russian ruble is the worst performing currency of the emerging economies against USD. Imeshuka 16% mwezi huu baada ya kupanda ghafla mwezi May. Ruble ina fluctuations kali na haiko stable, haitabiriki kabisa.
Utengenezaji wa magari nchini Russia umepungua capacity zaidi ya nusu, components muhimu from European countries hazipatikani
Russia anatafuta ushirika na nchi kama Uganda [emoji848] hii Hali inafikirisha sana , maana urusi Kwa kipindi kirefu hanaga mda na mataifa ya Africa.., wanaweza kutuficha takwimu, lakini matendo yenyewe ni ushindi toshaHiki ndicho kipindi ambacho Russia anatafuta mno washirika. Mbaya zaidi US yupo macho kila eneo.