Vikwazo vyaendelea, Ujerumani yazuia boti ya bilionea wa Urusi

Sema walikuwa wanamuonea wivu jamaa ila walikuwa wanashindwa jinsi ya kumwingia.

Ila jamaa ni tajiri yaani anamiliki boti yake moja ni sawa na makusanyo ya TRA Tanzania kwa mwezi mmoja...
 
Hiyo bot inatumiwa sana majasusi wa Urusi, ndiyo maana imeshikiliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…