Ikiwa vikwazo vyenyewe ni vya kutokusafiri kwenda ulaya na marekani, wala wasihangaike maana keshajipiga ban mwenyewe.
Prevention is beter than cureDamu ipi imemwagika na maisha yapi unataka yaokolewe???
Pole sana kikatiba Magufuli hawezi ingilia mambo ya siasa Zanzibar naomba mtambua vitu gani tuliungana
Una uwezo mdogo sana wa kuelewa mambo. Unangozwa na hisia tu. Unaielewa Marekani vizuri hasa kwa sera zake za nje? Hivi Gas ni kitu gani kwa Mmarekani? Uranium yako ni jambo dogo sana kwao. Ungekuwa na mafuta wangekufikiria! Waulize Akina Saddam Hussein! Walikuwa marafiki wa Marekani kabla hawajatiwa adabu. Waulize Iran,walipewa mpaka msaada wa kijeshi lkn walitiwa adabu na vikwazo toka kwa hao hao Marekani na Uingereza!Mkuu wa majeshi ameongezewa muda mwa mwaka mmoja kwa ajili ya usalama wa zanzibar na si kwa lingine lolote. Marekani na Uk awawezi kuweka vikwanzo vya kiuchumi kwa serekali ya Tanzania kwani CCM ndio wamewapa Uranium na GAS. CUF watabaki kupiga kelele tu.
Alivyotangaza Mb 8 ilikua halali?vp maalim seif kujitangaza mshindi co kosa? Kwanin afanye kaz icyo yake
wewe umeona safariza nje tu...unajua ni asilimia ngapi ya bajeti yetu inatoka kwa wafadhiri?Ikiwa vikwazo vyenyewe ni vya kutokusafiri kwenda ulaya na marekani, wala wasihangaike maana keshajipiga ban mwenyewe.
Na Wakenya walikuwa wanasema kama hivyo, "Tumuombe Allah ya Burundi na Rwanda yamalizike kwao kwa kwetu yasije kabisa". Duaa inaambatana na vitendo vya kweli na haki. Dua wakati unakula haramu na kuvaa vya haramu haivuki hata mata 100 kwenda juu!Ya kenya usiyaseme huku..... tumuombe ALLAH ya malizike kwao na kwetu yasije kabisa.
Alfan issa.vp maalim seif kujitangaza mshindi co kosa? Kwanin afanye kaz icyo yake
Na hilo ndilo lengo la Marekani. Hataki kuona mtemi mwingine akiibuka.Inauma sana kwa vile watakaosota na maisha ni sisi Watanzania wenye kipato cha chini. Siku zote naombea muungano uvunjike tu kwani ukiangalia udogo wa kisiwa cha Zanzibar na athari zitakazotupata wabara hadi nakereka.
Nimekuelewa lakini main point yangu ujaelewa vinzuri. Marekani au UK awawezi kutuwekea vikwanzo vya kiuchumi kwa sababu CUF wameonewa, usithani kwamba wanafanya maamuzi kwa sababu ya interest ya watanzania. Sikuzote hizi nchi za ulaya wanaangalia interest za nchi zao ndio sababu mara nyingi foregn policy zao zinabadilika kila wakati. Kwa hiyo CUF watabaki kupiga kelele, kuandika barua kwenye umoja wa mataifa na kungingine kote hakuna kitakachotokea ni bora wakubali kurudia uchaguzi tu.Una uwezo mdogo sana wa kuelewa mambo. Unangozwa na hisia tu. Unaielewa Marekani vizuri hasa kwa sera zake za nje? Hivi Gas ni kitu gani kwa Mmarekani? Uranium yako ni jambo dogo sana kwao. Ungekuwa na mafweuta wangekufikiria! Waulize Akina Saddam Hussein! Walikuwa marafiki wa Marekani kabla hawajatiwa adabu. Waulize Iran,walipewa mpaka msaada wa kijeshi lkn walitiwa adabu na vikwazo toka kwa hao hao Marekani na Uingereza!
Uwezo wa kivita wa Osama bin Laden ulijengwa na Mmarekani ili apambane na Urusi. Lkn sote tunajua leo Osama yupo wapi na nani alimfikisha huko!
Ukweli ni kwamba Tanzania hatuna ubavu wa kubishana hata na India,achilia mbali Marekani na Uingereza!
Wao ndio waliubuni Muungano wetu, sababu wanazo wao na sio sisi! Usalama na utulivu wa Zanzibar zaidi wanauhitaji wao. Ikitokea CCM inaleta ujinga juu ya hilo hawatasita kuishughulikia!
Wao wanajua kila mwizi ndani ya CCM na wapi ameficha! Wakisema wazuie hizo mali zao huko nje utashangaa hata Shein akijiuzulu mwenyewe bila hata shinikizo!
Tuache kudhania ubingwa wetu ktk wizi wa kura ni sawa na kuhimili vikwazo vya Kimataifa!
vp maalim seif kujitangaza mshindi co kosa? Kwanin afanye kaz icyo yake
Tanzania kuna vichwa kweli kweli! Kwani mkuu dalili ya mvua sio mawingu kweli? We unataka hadi mvua ishuke ndio ukaanue nguo kwenye KAMBA?Damu ipi imemwagika na maisha yapi unataka yaokolewe???
Nani hajui katiba ya ZNZ ikoje? Shida tunatanguliza siasa. Mpaka ZNZ wakikubali ni Watanzania na kuwa na Katiba isiyo na mlengo wa kujitenga ndo patakuwa na nafasi ya Rais wa Jamhuri kuingilia mambo yao.Ni hatareeeeee
Mwenye mawazo mafupi ni anayeshabikia vikwazo vya marekani kwa serikali ya Tanzania wakati anshudumiwa na serikali ya Tanzania. Ni sawa na kushabikia mafuriko wakati unaishi bondeni.
Wazazibari watu wapuuzi sana. Wanajua sheria zao zinasemaje lakn wanajitia punguwani kutokubali ukweli.Alivyotangaza Mb 8 ilikua halali?
Mkuu ni kweli. Aliyeanzisha mada anajitekenya na kucheka. Suala la Zanzibar is a speck of sand kwa sasa katika sea of conflicts. Hivi Wazungu hawajui gharama ya kuingilia mambo ya nchi? Wamejifunza mengi na Syria na sasa hao hao upinzani waliokuwa wanawabeba wanawalazimisha wakae mezani ktk mazungumzo ya amani.Nimekuelewa lakini main point yangu ujaelewa vinzuri. Marekani au UK awawezi kutuwekea vikwanzo vya kiuchumi kwa sababu CUF wameonewa usithani kwamba wanafanya maamuzi kwa sababu ya maslihi ya watanzania. Sikuzote hizi nchi za ulaya wanaangalia interest za nchi zao ndio sababu mara nyingi foregn policy zao zinabadilika kila wakati. Kwa hiyo CUF watabaki kupiga kelele, kuandika barua kwenye umoja wa mataifa na kungingine kote hakuna kitakachotokea ni bora wakubali kurudia uchaguzi tu.
Unadhani CUF kukataa kushiriki uchaguzi ikitaka matokeo ya zamani yatangazwe inaashiria nini?halafu msidhani kwa kupeleka wana usalama wetu visiwani Zanzibar ndio mtafanikisha azma zenu za kisiasa,mgogoro Zanzibar ukilipuka kwasababu ya ujeuri na tamaa zenu za madaraka ujue na huku Bara hatutanusurika,tutaingia ktk matatizo yale yale wanayopitia Wakenya.Usidhani huu mgogoro ukilipuka utakuwa kama wa Burundi na kuzimwa kwa kutumia Nkurunzinza style. It will be a more catastrophic conflict than you think. Power is nothing compared to the lives of Tanzanians. Msije kutuharibia amani yetu jamani,chonde chonde.