Vile vipindi vya TUNATEKELEZA vya TBC bado vinaendelea kuoneshwa ?

Vile vipindi vya TUNATEKELEZA vya TBC bado vinaendelea kuoneshwa ?

Nawasalimu kwa jina la JMT.
Niliwahi kuambiwa"degree is not a skill is just a Manila sheet",Ayubu rioba aibu kwako.
 
Chadema mmejiandaa vipi kuchukua kiti
cha uraisi 2025!!??
vipao mbele vyenu ni vipi kwenye sera ya kukuza uchumi!!?
hizi ndio mambo mnatakiwa kujadili acheni hizi cheap politics. Magu ashakuwa nyama ya udongo sshv...


Bro wacha tuteme nyongo ili roho zetu zitulie. Ila kwa huyu jamaa kama dhambi wacha niipate lkn sio kwa maujinga aliyokua nayo huyu jamaa aisee😀😀😀😀😀
 
Bro wacha tuteme nyongo ili roho zetu zitulie. Ila kwa huyu jamaa kama dhambi wacha niipate lkn sio kwa maujinga aliyokua nayo huyu jamaa aisee😀😀😀😀😀
Ubarikiwe sana
 
Hivi Watu mbona tunasahaugi mapema,huyu jamaa aliwakosea Nini hata asisamehewe, huyu alikuwa mwanadamu Kama Wewe,kumbuka Kuna mtu amekosa mume,kuna watoto wamekosa baba kuna wajukuu wamekosa Babu na pia wapo ndugu wamekosa ndugu,all in all Mungu umurehemu hayati JPM rest in peace brother, you will be remembered by majority of Tanzanian,forget about the minority
Uliwaza kuwaza namna hii kuhusu Family ya Azori Gwanda..Simon Kanguye na wengine waliokuwa wanaokotwa kwenye Viroba kule Coco beach au wale hawakuwa na Familia acheni UNAFIKI

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Rioba atolewe haraka aweke salimu kikeke au tido mhando au chales hikar
 
Chadema mmejiandaa vipi kuchukua kiti
cha uraisi 2025!!??
vipao mbele vyenu ni vipi kwenye sera ya kukuza uchumi!!?
hizi ndio mambo mnatakiwa kujadili acheni hizi cheap politics. Magu ashakuwa nyama ya udongo sshv...
Zama za kijima hazikudumu
FB_IMG_1617900166870.jpg
 
Hivi Watu mbona tunasahaugi mapema,huyu jamaa aliwakosea Nini hata asisamehewe, huyu alikuwa mwanadamu Kama Wewe,kumbuka Kuna mtu amekosa mume,kuna watoto wamekosa baba kuna wajukuu wamekosa Babu na pia wapo ndugu wamekosa ndugu,all in all Mungu umurehemu hayati JPM rest in peace brother, you will be remembered by majority of Tanzanian,forget about the minority
Tutamkumbuka kwa kuturudisha katika ujima
FB_IMG_1617044047364.jpg
 
Back
Top Bottom