Vile vipindi vya TUNATEKELEZA vya TBC bado vinaendelea kuoneshwa ?

Vile vipindi vya TUNATEKELEZA vya TBC bado vinaendelea kuoneshwa ?

Unawakosea funza heshima mkuu!
Funza hawali vitu vya hovyo hovyo!
Meko hajaoza mpaka sasa ujue, wadudu wanapita pembeni wanatema mate wanaondoka

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤔🤔😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Daaaaaaaahhh!!!!!!!!!!

Umeua mzeee hapo sinenoki kabisa yaan😂😂😂😂😂😂😂🏠
 
TUHUMA ZA MBOWE ZINAACHA MASWALI MENGI.
*
Mbowe kabla hata ya kujisafisha na uongo wake wa kulewa na kuangushwa na konyagi nyumbani kwa hawara Joyce Mkuya kisha kulitangazia taifa kwamba amepigwa na wasiojulikana, amekuja na igizo jingine kwamba alifilisiwa na akaunti zake zote zilifungwa na TRA!!

Kama ni kweli alikuwa wapi kuyasema haya? Badala yake akawa anaitisha press conference akiwa amevaa gloves feki huku akiwa amejifungia kwenye lockdown hewa.

Ina maana Mbowe alikuwa tayari kuita waandishi wa habari na kuwaelezea alivyokimbia bunge na kwenda lockdown uchwara kuliko kuwaelezea alivyofungiwa akaunti zake zote ikiwemo ya mshahara?

Mbowe hili ni taifa la watu wanaojitambua na kamwe hutafanikiwa kwenye hiyo biashara yako mpya uliyokula 10% ili ulete chanjo ya corona nchini.
Hivi kama Magufuli aliyekuwa anawapa hela alishindwa kummaliza Mbowe unadhani wewe masikini mnuka jasho ndio utaweza kumchafua ?
 
Naomba watu wenye ujasiri wa kuitazama TBC wanithibitishie jambo hili , nahitaji kulijua ili nijifunze kitu fulani .

Natanguliza Shukrani .

Naomba watu wenye ujasiri wa kuitazama TBC wanithibitishie jambo hili , nahitaji kulijua ili nijifunze kitu fulani .

Natanguliza Shukrani .

Nimepedna hapo uliposema wenye ujasiri................... mimi nilipata huo ujasiri ile tar 22 .03 na 26.03 tena kwa muda mchache sana. Siwahai kuwa na huo ujasiri tena kamwe
 
Cheki bumunda la lumumba hili, mume wenu limekufa mzoga, mmebaki wajane
Tutusa kweli hili....mnabumuliwa tu minyumbu haya mguu upande rudi nyuma....ukikutana na kitu chenye ncha kali usiulize....ujue ni mwenyekigoda anatabaruk
 
Naomba watu wenye ujasiri wa kuitazama TBC wanithibitishie jambo hili , nahitaji kulijua ili nijifunze kitu fulani .

Natanguliza Shukrani .
Jana tarehe 15.04.2021 kilikuwepo hewani. Walikuwa wanaangalia utekelezaji wa TARURA wakiwa na Mtendaji Mkuu wa TARURA, Victor Seff, anasema mafanikio yao makubwa ni kujenga barabara za mji wa Serikali Mtumba na barabara za Dar (Temeke na Kinondoni) kwa mradi wa DMDP.

NB: kifurushi cha DSTV kikikata, TBC ndio tv station pekee inayoendelea kuonekana.
 
Back
Top Bottom