Vilevyi gani havitoi harufu kinywani baada ya kunywa

Vilevyi gani havitoi harufu kinywani baada ya kunywa

Harufu inatokana na kuvuka kipimo.. Ukinywa kidogo huwezi kutoa harufu.... Jaribu na Valuer Brandy...
 
Zamani tulikua tunakunywa machozi ya simba, hayana harufu.. Kajaribu tuone
 
Kwema wakuu

Napenda kunywa bia Ila sasa zinanipa tabu baada ya kunywa kuna harufu inabaki mdomoni na kila nikiongea na mtu ananiuliza vipi Leo umekunywa pombe..

Nikaamia kwenye nyagi nako ni vile vile mtu akiwa karibu yako harufu yote anaipata ya nyagi

Nikaona isiwe ishu ngoja niweke kambi kwenye dompo huko ndo hapafai kabisa harufu inatema sana..

Niko katika jamii ambayo hawatumii vilevyi vya aina yoyote ile hivyo nataka nisiwe tabu kwa watu wengine

Naomba kujuzwa ni kilevi gani naweza kutumia bila harufu yake kubaki kinywani...

Nawasilisha kwenu wakuu wenu mtiifu katika ujenzi wa viwanda
Windhoek beer
 
Kwema wakuu

Napenda kunywa bia Ila sasa zinanipa tabu baada ya kunywa kuna harufu inabaki mdomoni na kila nikiongea na mtu ananiuliza vipi Leo umekunywa pombe..

Nikaamia kwenye nyagi nako ni vile vile mtu akiwa karibu yako harufu yote anaipata ya nyagi

Nikaona isiwe ishu ngoja niweke kambi kwenye dompo huko ndo hapafai kabisa harufu inatema sana..

Niko katika jamii ambayo hawatumii vilevyi vya aina yoyote ile hivyo nataka nisiwe tabu kwa watu wengine

Naomba kujuzwa ni kilevi gani naweza kutumia bila harufu yake kubaki kinywani...

Nawasilisha kwenu wakuu wenu mtiifu katika ujenzi wa viwanda
k vant.hizzo zengine utashitukiwa
 
Konyagi nzuri ukichanganya na vitu flan flan hivi pamoja na limao, Huwi kero kwa wengine....

"Utumiaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako, tafadhali kunywa kistaarabu"
 
Tumia NZAGAMBA au TINGISHA ziko vizuri sana bei chee 500 tu hunyanyuki na hutopata harufu hizo tena
 
Back
Top Bottom