Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
- Thread starter
- #61
Zinapatikana wapiTumia NZAGAMBA au TINGISHA ziko vizuri sana bei chee 500 tu hunyanyuki na hutopata harufu hizo tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinapatikana wapiTumia NZAGAMBA au TINGISHA ziko vizuri sana bei chee 500 tu hunyanyuki na hutopata harufu hizo tena
Nimekusomaaa mkuuAisee kaka mimi ni mpenzi sana wa The Castle lager toka nijue bia nayo ina harufu ukinywa nyingi but ukinywa 1-5 harufu hutosikia.Ila Dry Savanna ni habari nyingine unaweza ukanywa kumi na ukaenda kufanya usaili na mtu hasikusome kabisa!Kunywa savanna unapokuwa na mkutano na watu wa muhimu harufu sahau
Ili geji ikae sawaKweli.....mtu unabugia mipombe kama kiwanda kinafungwa kesho
Hivi mkuu wewe hutumii hizo mavituUkishapombeka safisha kunywa ma usafishe ulimi vizuri
Nitaanza nayoMagic moments hata unywe 10 mtu hawezi kukusanukia
Zimetengenezwa ili tunyweAcha kunywa
No hata kesho si utakunywa tuuIli geji ikae sawa
Raha ya pombe stimu mkuu bila hivyo bora unywe sodaNo hata kesho si utakunywa tuu
Mwanza Moko[emoji1]Tumia NZAGAMBA au TINGISHA ziko vizuri sana bei chee 500 tu hunyanyuki na hutopata harufu hizo tena
No slavery in Libya and Africa in generalSay no to slavery in Libya and Africa in general.
Huko mbali sana
Kesho nitakupa mrejesho wake mkuuWhind hoku mkuu
[emoji109] [emoji109] [emoji109]Magic Moment
Hiyo ni ngano mkuu mwendo ni ule ule wa kutema harufu....Tafta kitu cha pilsner mkuu.