Vilevyi gani havitoi harufu kinywani baada ya kunywa

Kula kitu mtoto wa kihindi aka ngada(iwe kusniff au kujidunga yote mwake tu).... bange ni poa pia ina kaharufu flan amaizing wanaweza wasikustukie wakijua majan nje yanaungua... so, these two ni best, hutakua na harufu mdomoni braza.
 
Kipindi nafanya kazi kwa waarabu nilipata shida sana badala ya kununua mahitaji ya ndani Mimi nilikua nanunua ndizi mbivu chane nzima kila siku yenye ratiba ya tungi! Nikirudi usiku kabla sijalala nakula na maji kama Lita moja na asubuhi the same applied, nikifika ofisini hata anisogelee vipi hasikii harufu yeyote labda macho mekundu tu kwa mbaali.
 

Kunywa valuu mkuu
 
Kaka kula bia tu. Ukimaliza kula bia tafuta ndizi mbivu angalau moja kula. Harufu yotee inapotea
 
Kula kitu mtoto wa kihindi aka ngada(iwe kusniff au kujidunga yote mwake tu).... bange ni poa pia ina kaharufu flan amaizing wanaweza wasikustukie wakijua majan nje yanaungua... so, these two ni best, hutakua na harufu mdomoni braza.
Duh..ushauri kama nguvu za giza
 
[emoji109] [emoji109] [emoji109]
 
Mkuu kunywa whisky kama grants au jack daniel bila kusahau johnie walker
 
Hitimisho la mjadala huu nilivyoanza kusoma msg zote nimegundua yafuatayo
Moja hakuna kilevi kisichotoa harufu
Pili ili kukata harufu inabidi mywaji atafute ndizi za kuiva azile mala baada tu ya kusukutua kichwa chake
Asanteni kwa elimu hii
 
Papuchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…