njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Ni jana tu jamaa yangu mmoja alinifata kuomba ushauri kwa kweli ni marefu sana,
Ila kwa kufupisha mno mno alikuja kugundua mwanae wa kiume analawitiwa na wenzake
Na alikuja kugundua muda sana umeenda ,baada ya kumshauri nini cha kufanya ndipo kwa kujua nguvu ya KARMA ,
Ndipo nilimuuliza kama alishawahi kuwaingilia wanaume wenzake,
Hapo ndio nilichoka jamaa akiwa very fustrated alinijibu kuwa alilawiti sana wanaume mashoga huko nyuma
Hadi madada poa hawa ,ndipo nikampa somo la KARMA hapo hapo
.
nb. Fanyeni ubaya tu ila kizazi chako kinaweza kuja kulipa hayo.
Ila kwa kufupisha mno mno alikuja kugundua mwanae wa kiume analawitiwa na wenzake
Na alikuja kugundua muda sana umeenda ,baada ya kumshauri nini cha kufanya ndipo kwa kujua nguvu ya KARMA ,
Ndipo nilimuuliza kama alishawahi kuwaingilia wanaume wenzake,
Hapo ndio nilichoka jamaa akiwa very fustrated alinijibu kuwa alilawiti sana wanaume mashoga huko nyuma
Hadi madada poa hawa ,ndipo nikampa somo la KARMA hapo hapo
.
nb. Fanyeni ubaya tu ila kizazi chako kinaweza kuja kulipa hayo.