Vimbwanga ndani ya vyumba vya mtihani.

Vimbwanga ndani ya vyumba vya mtihani.

Sikua. Na meza nlkua nayaona kabsa kuna. Siku nliota na cheza na mitochondria
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan nimecheka khaaa
 
Na hakika mtu akipata pamphlet (chemia bios na physics ) kutoka kibaha mzumbe tabora boys na hakika hana haja ya kusoma tuition atatusua vizuri kabisa bila hata kusoma yale mavitabu makubwa makubwa......

Halafu hakuna topic ambao sikuipenda na kuielewa kama inorganic chemistry mpaka namaliza sikujua nisome nini na sikuwa na notes nzuri za hiyo kitu so nilipata tabu sana.....
Mimi nilikuwa naibahatisha kidogo, maelezo na concept mara nyingi zilikuwa zinagoma kukaa kichwani
 
Katika vyumba vya mtihani kuna wakati huwa yanatokea mambo ambayo yanaweza kukuacha mdomo wazi. Moja ya matukio ambayo huwa nayakumbuka ni:
1. Tulikuwa katika mtihani wa taifa wa kidato cha pili sasa kuna dada mmoja hivi ambaye pia alikuwa ni sista duu hatari, sasa baada ya kufanya mtihani bwama akalala zake kumbe akajisahau akaachia kitu cha mbuuuuuu.....watu tukacheka, na yeye akastuka akiwa anaona aibu kinoma. Msimamizi akaja kutuuliza tunacheka nini watu tukawa kama hatusikii vile, tunajifanya tuko busy na pepa. Tulipotoka ikawa ndo story kwa kila mtu. Usista duu uliisha kwa muda.
2. Kuna siku na mimi yalikuta, nilifanya mtihani nilipomaliza nikawa nasubiri muda wa kumaliza pepa ufike nikaamua kujiegesha juu ya dawati nikalala, bwana weee kuja kuamka naona karatasi ya majibu imelowa na udenda, wakati wa kukusanya mwalimu alipoiona karatasi yangu ya majibu imeloa alikataa kuichukua eti hadi ikauke na matusi juu. Tulipotoka kwenye chumba cha mtihani nilipata tabu sana aiseeee....

Imewahi kukutokea umepewa karatasi ya maswali ukaanza kusoma swali la kwanza gumu, la pili nondo, la tatu huelewi mpaka la mwisho. Baada ya kuona hivyo unaangaliwa vipanga darasani na wao wanauma tu kalamu. Hapo kidogo unapata afueni.

Kuna msemo unasema KIFO CHA WENGI NI NAFUU. Unaanza kujibu yale uliyo kariri hata kama sio majibu tena unapigia na msitari kwa rula kama una uhakika na unachokijibu vile. Matokeo yakitoka una F
 
tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh

sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu

nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea 😀😀😀😀
TIA mchezo huo upo sana
 
Najua Sarufi sio ngumu kivile, HKL, HGK walikuwa wanasoma prepo kuanzia saa 2 hadi saa 4 (yaani masaa 2 ) na wanafaulu bila shida yoyote.

Wengine na sie wa PCM, PCB, PGM unatoboa ozone ila kufeli kupo nje nje
Nimesoma pcb ila mwisho kusoma ilikua saa nne ila saa kumi au sa kumi na moja lazima niwe darasan nlkua natumia vzur day time
 
Nimeenda chuo first year nimechelewa. Siku naingia class nakutana na paper. Nikajaza jina tu
 
Sijawai jipa tabu na shule nikiona swali sielewi sijaz
 
Back
Top Bottom