out of topic binadamu nimeona kwenye blog ya bi dada sintah kwenye ,moja ya comments kuwa bi dada aunt ezekiel kapiga picha huko IG Yuko na mheshimiwa mume wa yule miss nasikia bi dada kachambwa huko IG anatumia jina ganiSijui uko ikulu ambaye anamtaka ni nani, aende kwa lipi kwanza?? Huyu anapenda kuota ndoto za kichawi huyu, mara eti anaenda BBA , sasa kiko wapi
out of topic binadamu nimeona kwenye blog ya bi dada sintah kwenye ,moja ya comments kuwa bi dada aunt ezekiel kapiga picha huko IG Yuko na mheshimiwa mume wa yule miss nasikia bi dada kachambwa huko IG anatumia jina gani
Miss gani tena? Ebu nipe hiyo binamu
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachorushwa kupitia Radio Times, Hadija Shaibu Dida amefunguka kuwa kamwe hawezi kufanya kazi Ikulu kutokana na vimini anavyovitinga .
Akizungumza na Amani, Dida, alisema kuwa anafurahia sana kazi anayofanya kwa sababu inamruhusu kuvaa nguo yoyote anayojisikia vikiwemo vimini . Kufanya kazi Ikulu ningeshindwa kwani kuvaa nguo ni kwa sheria , huwezi kujivalia tu , kazi yangu nipo huru naweza kuvaa kitu chochote kile nikajisikia nina amani , lakini Ikulu lazima utinge koti na kuchomekea , alisema Dida.
teh teh teh, angekuwa na mguu huyu angependeza zaidi..
Alokuwa mume wa dida apewa A uso ig
Ebu nisaidie kushangaa, nyie huyu dida kashaanza kuchanganyikiwa, ndoa tatu zote zimemshinda mchezo lazima ajiropokeshe ovyo