Vimwana wa bongo bana

Hamna kitu hapo siyo kama sindimba. Tena mimi nimeona ile ya wahamiaji tu kule kwetu Zenj. Sijui ile ya kwao kwenyewe inakuwa vipi.
 
Wapenzi wa mdumange utawajua tuu lol!!!
 
Cupcake....

I ask wondering what you'd think if those of yours I asked about were "rolling their bodies" like so. What those Tanzanian - American wanna bes girls are demonstrating on stage is sad...
 
mkuu sijui kama umeshashutukia site hio ya east african tube ina virus.....kwangu napata warning....angalia

Hapa kwangu iko fresh kabisa lakini ngoja nicheki nione tatizo ni nini, ahsante kwa kunifahamisha Mazee !!
 
Yo yo kumbe ni mzee wa kuku wa kienyeji kwa sana eh?
 
Chingy 2 - Leaders club - G5 world

Ilikuwa kwenye show ya Chingy alipokuja dar.....hapo vinatega back stage......anyway lakini vikali....ila havijui kucheza kudadadeki naona tatizo vitambi vya beer za bure na nyama choma....

Kweli hawajui kucheza. Kuna mmoja huyo nguo ya kijivu, anacheza kama anakanyaga moto.
Halafu mbona watoto wadogo hawa?Wametoroka nyumbani kudadeki.
 
Lol wanaJf huyu Enika angekuwa demu wangu kwanza ningemchapa viboko kwa kuchemsha kuvaa alafu naomba likizo miezi 6 kumfundisha kuvaa....damn

jamani vazi gani hilo....kwa ndani naona kama kavaa kufuli jeusi..kaazi kweri kweri....
 

Attachments

  • enika.jpg
    12.5 KB · Views: 140
  • lol.JPG
    19.9 KB · Views: 138
Lol wanaJf huyu Enika angekuwa demu wangu kwanza ningemchapa viboko kwa kuchemsha kuvaa alafu naomba likizo miezi 6 kumfundisha kuvaa....damn

jamani vazi gani hilo....kwa ndani naona kama kavaa kufuli jeusi..kaazi kweri kweri....

Ebana eeeh....umeona miguu yake?
 
Lol wanaJf huyu Enika angekuwa demu wangu kwanza ningemchapa viboko kwa kuchemsha kuvaa alafu naomba likizo miezi 6 kumfundisha kuvaa....damn

jamani vazi gani hilo....kwa ndani naona kama kavaa kufuli jeusi..kaazi kweri kweri....

Ha ha, duh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…