UmefufukaVinara wa mabao ya Penati katika Ligi Kuu ya Nbc [emoji1241] 2024-25 hadi sasa
[emoji1062] Lionel Ateba: [emoji2392]
[emoji1081] Jean Ahoua: [emoji2391]
[emoji1241] Feisal Salum: [emoji2391]
[emoji1241] Erasto Nyoni: [emoji2391]
[emoji1059] Aziz KI: [emoji2390]
[emoji1244] Marouf Tchakei: [emoji2390]
[emoji1184] Morice Chukwu: [emoji2390]
Mind u clement mzize Hajawahi piga penalty
NB Je hii Ina maana Gani View attachment 3234314
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wangekuwa hawaongozi ligi ingekuwa haina maana kuongoza kwa magoli ya penalty hata huko duniani Mo salah anaongoza magoli ya penalty na liverpool anaongoza ligi wako ni uchawi uliotamalaki!Vinara wa mabao ya Penati katika Ligi Kuu ya Nbc [emoji1241] 2024-25 hadi sasa
[emoji1062] Lionel Ateba: [emoji2392]
[emoji1081] Jean Ahoua: [emoji2391]
[emoji1241] Feisal Salum: [emoji2391]
[emoji1241] Erasto Nyoni: [emoji2391]
[emoji1059] Aziz KI: [emoji2390]
[emoji1244] Marouf Tchakei: [emoji2390]
[emoji1184] Morice Chukwu: [emoji2390]
Mind u clement mzize Hajawahi piga penalty
NB Je hii Ina maana Gani View attachment 3234314
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Breaking News: FIFA yafuta magoli ya penati kwa upande wa ligi kuu Tanzania bara.Vinara wa mabao ya Penati katika Ligi Kuu ya Nbc [emoji1241] 2024-25 hadi sasa
[emoji1062] Lionel Ateba: [emoji2392]
[emoji1081] Jean Ahoua: [emoji2391]
[emoji1241] Feisal Salum: [emoji2391]
[emoji1241] Erasto Nyoni: [emoji2391]
[emoji1059] Aziz KI: [emoji2390]
[emoji1244] Marouf Tchakei: [emoji2390]
[emoji1184] Morice Chukwu: [emoji2390]
Mind u clement mzize Hajawahi piga penalty
NB Je hii Ina maana Gani
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sio muhimu...coz kuifunga magoli ya penalty ni udhaifuTuwekee na waliokosa penati
Magoli ya penalty ni Dalili ya udhaifu mkuuWangekuwa hawaongozi ligi ingekuwa haina maana kuongoza kwa magoli ya penalty hata huko duniani Mo salah anaongoza magoli ya penalty na liverpool anaongoza ligi wako ni uchawi uliotamalaki!
Kuwa na heshima kijana.,...mm ni mchambuzi by professionalPunguza mihemko
Ki vipi mkuu....Ina maana unafurahia magoli ya penaltyHata wachawi na washirikina walianza na vijitabia kama hivi vya kwako
Makolo watashuka darajaBreaking News: FIFA yafuta magoli ya penati kwa upande wa ligi kuu Tanzania bara.
Pia FIFA imevionya vilabu ambavyo vinaongoza kwa kufukuza makocha msimu huu.
Ina maana Ateba yupo vizuri sana kwenye deadballs. Pongezi zake.wenzake huwa wanakosaVinara wa mabao ya Penati katika Ligi Kuu ya Nbc [emoji1241] 2024-25 hadi sasa
[emoji1062] Lionel Ateba: [emoji2392]
[emoji1081] Jean Ahoua: [emoji2391]
[emoji1241] Feisal Salum: [emoji2391]
[emoji1241] Erasto Nyoni: [emoji2391]
[emoji1059] Aziz KI: [emoji2390]
[emoji1244] Marouf Tchakei: [emoji2390]
[emoji1184] Morice Chukwu: [emoji2390]
Mind u clement mzize Hajawahi piga penalty
NB Je hii Ina maana Gani View attachment 3234314
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu ...Ina maanisha Hana kiwango Cha ufungaji...Bali ni mtu wa kuviziaIna maana Ateba yupo vizuri sana kwenye deadballs. Pongezi zake.wenzake huwa wanakosa
🤣🤣Kuwa na heshima kijana.,...mm ni mchambuzi by professional
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hana kiwango cha ufungaji kivipi na wakati anafunga? Au amezikosa hizo penalties?Hapana mkuu ...Ina maanisha Hana kiwango Cha ufungaji...Bali ni mtu wa kuvizia
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sasa kama mchezaji hajui kupiga penalty unataka apewe apaishe kila penaltyMind u clement mzize Hajawahi piga penalty
Kuwa na magoli mengi ya penalty ni udhaifu......coz kiwastani goli 3 za penalty sawa na goli moja la uwanjaniHana kiwango cha ufungaji kivipi na wakati anafunga? Au amezikosa hizo penalties?
No hataki ...anaona yatamlemazaSasa kama mchezaji hajui kupiga penalty unataka apewe apaishe kila penalty