Vinara wa magoli ya penalty, Ateba wa Simba aongoza

Vinara wa magoli ya penalty, Ateba wa Simba aongoza

Kuwa na magoli mengi ya penalty ni udhaifu......coz kiwastani goli 3 za penalty sawa na goli moja la uwanjani

Funga magoli kama ya mzize

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ooooh.... So kama kuna match team A and B ikatokea team A wana goal 1 na B magoli ma3 ye penalty inakuwa draw?🤣sisi Yanga sometimes. Mi huwa nacheka sana. Manara alikuwa mpumbavu sana na ile kauli yake. Ni kama sasa ndo alituroga.... Halafu goal la penalty ni la kitandani? So matatu 3 sawa na moja la Uwanjani? 🤣🤣🤣 Miaka hii JF imebeba watu wote wamo humu.
 
Ooooh.... So kama kuna match team A and B ikatokea team A wana goal 1 na B magoli ma3 ye penalty inakuwa draw?[emoji1787]sisi Yanga sometimes. Mi huwa nacheka sana. Manara alikuwa mpumbavu sana na ile kauli yake. Ni kama sasa ndo alituroga.... Halafu goal la penalty ni la kitandani? So matatu 3 sawa na moja la Uwanjani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Miaka hii JF imebeba watu wote wamo humu.
Hapana hii ni kulingana na standard za uchambuzi based on uzito wa magoli

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom