Vinasaba kwenye nywele, uhai wake na malighafi bora ya wachawi

Vinasaba kwenye nywele, uhai wake na malighafi bora ya wachawi

Vipi kuhusu zile nywele wanazotumia dada zetu kusukia zinamadhara?.nasikia nyingine ni malighafi toka kwa misukule?
 
Vipi kuhusu zile nywele wanazotumia dada zetu kusukia zinamadhara?.nasikia nyingine ni malighafi toka kwa misukule?
Kama ni zile za plastic hazina shida ila zile za watu wengine ambazo pia zinauzwa ghali sana hazifai kabisa... Unajipandikiza vinasaba usivyojua asili yake.. Sometimes pengine ni nywele za kichaa
 
Of course hata takwimu za kidunia watanzania tumeshika Namba moja kwa kuamini Imani za kishirikinaa..
 
Kama ni zile za plastic hazina shida ila zile za watu wengine ambazo pia zinauzwa ghali sana hazifai kabisa... Unajipandikiza vinasaba usivyojua asili yake.. Sometimes pengine ni nywele za kichaa
Mungu azidi kutuepusha tu maana dunia ina mengi yaliyojificha
 
Of course hata takwimu za kidunia watanzania tumeshika Namba moja kwa kuamini Imani za kishirikinaa..
.
IMG-20181024-WA0049.jpeg
 
Asante mkuu nina endelea kujifunza mengi kupitia mabandiko yako humu, leo tena nime jifunza jpya kumbe hata mwili ukiachana na roho still bado nywele zina endelea kuota..,
 
Asante mkuu nina endelea kujifunza mengi kupitia mabandiko yako humu, leo tena nime jifunza jpya kumbe hata mwili ukiachana na roho still bado nywele zina endelea kuota..,
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Sitasahau nilienda handeni asubuhi nikajikuta nimenyolewa vuzi kiduku.niliogopa sana nikahis hapa nafanywa hanis
 
Sitasahau nilienda handeni asubuhi nikajikuta nimenyolewa vuzi kiduku.niliogopa sana nikahis hapa nafanywa hanis
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata bata anapenda maji lakini sio ya moto kiasi hiki
 
Back
Top Bottom