Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1891744View attachment 1891745Kuna mwanamke alienda kwa mganga lengo ni kumfunga mmewe na moja ya vitu alivyoviitaji mganga ni Nywere za kutoka sehemu za Siri
Alimwambia nitazipataje, Mganga akasema wee siku mkienda kuoga mwambie mume wangu nataka nikunyoe hizi Nywere, Alifanikiwa kwakweli kwani mambo yalikuwa motoooo
View attachment 1891744Kuna mwanamke alienda kwa mganga lengo ni kumfunga mmewe na moja ya vitu alivyoviitaji mganga ni Nywere za kutoka sehemu za Siri
Alimwambia nitazipataje, Mganga akasema wee siku mkienda kuoga mwambie mume wangu nataka nikunyoe hizi Nywere, Alifanikiwa kwakweli kwani mambo yalikuwa motoooo
Ukisikia umewekwa kwenye chupa ndiyo hivyo
Ndiyo alichofanya huyo mwanamke niliyemuelezea hapo juuNa ikienda kuzikwa kwenye makaburi yaliyotelekezwa umekwisha
Na alifanya hivyo kwa7bu jamaa alikua hajatuliaHaya mambo haya basi tuu.. Sometimes hizi ashiki hizi.....[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2984]
Wewe una nywele huko, uza hizo, ni mamillon ya $$$ unafichaKila sehemu zinapoota nywele zina majina yake kama, kope, ndevu, vinyweleo, mavuuuu n. k, na ila sijawahi kusikia jina la nywele zinazoota kwenye mzunguko wa haja kubwa huitwaje?
Wewe una nywele huko, uza hizo, ni mamillon ya $$$ unafichaKila sehemu zinapoota nywele zina majina yake kama, kope, ndevu, vinyweleo, mavuuuu n. k, na ila sijawahi kusikia jina la nywele zinazoota kwenye mzunguko wa haja kubwa huitwaje?
Sijakupata vema mkuuJinsi gani ya kuhifadhi au kutuoa nywele za mtoto alizotoka nazo tumboni
Sent using Jamii Forums mobile app