Vinasaba kwenye nywele, uhai wake na malighafi bora ya wachawi

Nywele ni kitu pekee katika mwili ambacho huendelea kuota ama kukua hata baada ya mwili kuachana na roho na kuwa mfu... Na hata baada ya muda mrefu kupita nyama na vingine vitaoza na kupotea lakini sio fuvu la kichwa na nywele zake... Hivyo nywele huishi hata baada ya kifo cha mwili
Ni kutokana na hayo ndio maana nywele zikapewa nguvu ya pekee kwa upande wa nuru na kwa upande wa giza

Jr[emoji769]
 
Nywele zilizochanganywa ni ngumu kutumika vibaya kwakuwa ni nywele mchanganyiko toka roho na vinasaba tofauti tofauti, hazifai na ni sawa na uchafu mwingine tuu....
Kikubwa na cha muhimu kama wewe ni mwamini wa hizi habari ni kuepuka kunyoa saluni moja kila wakati hasa saluni zile za mtaani kwako... Kama kuna mtu mwenye nia ovu nawe ni rahisi mno kukufanyia timing...

Jr[emoji769]
 
Samsomi alipewa nguvu zake kupitia nywele
Yule kahaba alitumia nywele zake kumsafisha Kristo miguu yake....
Kiroho nywele ni kichaka kinachoweza kutumika kufuga roho wachafu na hata washirikina wanapotaka kumtengeneza mtu hutumia nywele zake kumfunga ama kuzima na kufifisha nyota yake....

Jr[emoji769]
 
Hii ni kweli
 
Na chifu lazima afuge nywele asinyoe upala ikibidi.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
@Mshana Jr katika ubora. Moja kati ya watu wa muhimu sana humu ndani [emoji1545]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…