Vinasaba kwenye nywele, uhai wake na malighafi bora ya wachawi

Kuna mwanamke alienda kwa mganga lengo ni kumfunga mmewe na moja ya vitu alivyoviitaji mganga ni Nywere za kutoka sehemu za Siri

Alimwambia nitazipataje, Mganga akasema wee siku mkienda kuoga mwambie mume wangu nataka nikunyoe hizi Nywere, Alifanikiwa kwakweli kwani mambo yalikuwa motoooo
 
Anyabiswa bisigueri ekerero kirembuura. Mfichaficha maradhi kilio kitamfichua.
 
Kila sehemu zinapoota nywele zina majina yake kama, kope, ndevu, vinyweleo, mavuuuu n. k, na ila sijawahi kusikia jina la nywele zinazoota kwenye mzunguko wa haja kubwa huitwaje?
Wewe una nywele huko, uza hizo, ni mamillon ya $$$ unaficha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…