Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,404
Vincent Willem van Gogh (30 Machi 1853 - 29 Julai 1890 ) alikuwa mchoraji kutoka Uholanzi.
Huhesabiwa kati ya waanzilishaji wa uchoraji wa kisasa. Aliacha picha 864 na vichoro zaidi ya elfu moja na zote alichora katika miaka 10 ya mwisho wa maisha yake.
Van Gogh alizaliwa mjini Zundert (Uholanzi) kama mtoto wa mchungaji wa kanisa la Reformed.Baada ya shule alianza kazi katika duka la sanaa la mjomba wake. Kazi hii ilimpeleka pia London na Paris . 1876 aliacha ajira hii akaendelea kujaribu kazi mbalimbali.
Alifundisha katika shule, alikuwa msaidizi wa mchungaji wa kanisa, aliuza vitabu. Wazazi walimshauri kusoma theolojia lakini aliacha masomo haya tena.
=== Some Words Missing ===
Huhesabiwa kati ya waanzilishaji wa uchoraji wa kisasa. Aliacha picha 864 na vichoro zaidi ya elfu moja na zote alichora katika miaka 10 ya mwisho wa maisha yake.
Van Gogh alizaliwa mjini Zundert (Uholanzi) kama mtoto wa mchungaji wa kanisa la Reformed.Baada ya shule alianza kazi katika duka la sanaa la mjomba wake. Kazi hii ilimpeleka pia London na Paris . 1876 aliacha ajira hii akaendelea kujaribu kazi mbalimbali.
Alifundisha katika shule, alikuwa msaidizi wa mchungaji wa kanisa, aliuza vitabu. Wazazi walimshauri kusoma theolojia lakini aliacha masomo haya tena.
=== Some Words Missing ===