Vincent van Gogh

Vincent van Gogh

Da'Vinci hata wewe unajua kuandika vizuri mkuu, ile makala yako ya Sananda na genius Da Vinci zilikuwa ni makala bora na elimishi sana.

Huwa huko makini sana ukiacha pombe za kienyeji zile...ukizirudiaga huwa unakuwa na akili kama za Baba swalehe.
Yap, Mkuu Da'Vinci Ni Moja Ya Waandishi Wazuri Hapa Jamii Intelligence.

Naikumbuka Makala Yake Ya ' Sananda '.
 
Mkuu umejitahidi kumuelezea jamaa lakini hujamtendea haki Vincent Van Gogh...kumueelezea huyu genius mgonjwa wa akili aliekuwa na uwezo hadi wa kuchora upepo unaovuma na kuuweka kwenye mchoro na muhasisi wa sketch za kuchora kwa rangi za mafuta na ajabu zaidi alifanya kazi zake zote kubwa akiwa na matatizo ya akili (ukichaa) kwenye asylum home yaani kama Mirembe vile, ambapo Dunia imekiri kwamba anaqualify kuingia Kwenye kundi la magenius watano wa uchoraji Duniani wa muda wote akiwemo Leonardo Da Vinci, Michelangelo, Vincent Van Gogh, Raphael, Pablo Picasso.

Sikia hii kwamba sketch yake ya Dr Gatchet ndio mchoro uliouzwa kwa bei kubwa zaidi Duniani wa zaidi ya dola $149m kwa mchoro mmoja tu na ana michoro kibao mingi ikiwemo ule maarufu zaidi wa Starry starry night ambao Bill gate amekubali kuubandika pale nyuma ya Laptop yake huku akiacha nembo yake ya kibiashara ikifunikwa na kufichwa na mchoro wa jamaa...hii ni heshima kubwa sana!

Pia Van Gogh aliwahi kuuza picha moja tu katika maisha yake yote kwa dola 80 kama laki na kitu tu...then sasa hivi mchoro wake mmoja ni trillion za pesa? Nadhani akifufuka anaweza kufa tena kwa mshtuko maana hiyo bei hakuwahi labda hata kuiwaza kama kazi zake zinaweza kuwa na thamani hiyo.

Kihualisia maisha yake yanasikitisha sana na kutoa mafunzo mengi kuhusu maisha. Aliishi katika upweke uliotopea na kaka yake waliopendana kwa dhati hadi kufa wakafa siku zikifuatana na kuzikwa karibu kabisa maana waliacha hayo maelekezo.

Mkuu huyu ana mengi sana...ila hongera kwa kujaribu kumuelezea.
mkuu hebu naomba picha ya upepo aliyoichora jamaa kama unayo
 
Da'Vinci hata wewe unajua kuandika vizuri mkuu, ile makala yako ya Sananda na genius Da Vinci zilikuwa ni makala bora na elimishi sana.

Huwa huko makini sana ukiacha pombe za kienyeji zile...ukizirudiaga huwa unakuwa na akili kama za Baba swalehe.
leo naacha rasmi bangi naanza kuleta makala ntaanza na tesla tokea kuwa mcheza kamal maaruf mpka kuwa shujaa na hodar wa physics despite the fact that he suffered nervous break down
 
Da'Vinci hata wewe unajua kuandika vizuri mkuu, ile makala yako ya Sananda na genius Da Vinci zilikuwa ni makala bora na elimishi sana.

Huwa huko makini sana ukiacha pombe za kienyeji zile...ukizirudiaga huwa unakuwa na akili kama za Baba swalehe.
Thanks mkuu Humble naandaa makala moja hivi Mungu akipenda niipandishe Jamvini.

baba swalehe ana bangi mbaya mnoo ni captain wa wacheza singeri
 
leo naacha rasmi bangi naanza kuleta makala ntaanza na tesla tokea kuwa mcheza kamal maaruf mpka kuwa shujaa na hodar wa physics despite the fact that he suffered nervous break down
Hahaaaaaa Naisubir kwa hamu chief. Najianda kisaikolojia kucheka sana..
 
"Huwa naamini Kazi ya ualimu ni kuyafanya magumu kuwa mepesi" mara nyingi huwa najitahidi kufanya hivi.

Na watu wengi wananiulizaga Kama Mimi ni mwalimu.. Mkuu Mimi sio mwalimu ila napenda sana kuwa mwalimu.. Huwa nafurahi nikiona nimefanya gumu kuwa jepesi na mtu akanielewa that's my pleasure. Bahati mbaya mimi ni janki tu wa mtaani. Just jobless guy!

Nimefurahi kwa compliment yako mkuu. Shukrani sana.
Kuwa mwalimu sio lazima uingie darasani hata hapa jf umeshakuwa mwalimu na mimi nishakuwa mwanafunzi wako
 
leo naacha rasmi bangi naanza kuleta makala ntaanza na tesla tokea kuwa mcheza kamal maaruf mpka kuwa shujaa na hodar wa physics despite the fact that he suffered nervous break down
aiseeee usikose kunitag ukiileta hiyo makala ya Tesla duh sipati picha
 
"Huwa naamini Kazi ya ualimu ni kuyafanya magumu kuwa mepesi" mara nyingi huwa najitahidi kufanya hivi.

Na watu wengi wananiulizaga Kama Mimi ni mwalimu.. Mkuu Mimi sio mwalimu ila napenda sana kuwa mwalimu.. Huwa nafurahi nikiona nimefanya gumu kuwa jepesi na mtu akanielewa that's my pleasure. Bahati mbaya mimi ni janki tu wa mtaani. Just jobless guy!

Nimefurahi kwa compliment yako mkuu. Shukrani sana.
Mkuu nakuheshimu sana na kukuhusudu. Check pm mishale.
 
Mkuu nakuheshimu sana na kukuhusudu. Check pm mishale.
@Yaka Licha ya hiyo avatar yako ya kimapinduzi inayoheshimika zaidi afrika na Dunia kunifanya nikuheshimu na kukubali pia socializing ability yako humu JF inanifanya ukubalike kwangu na kwa wana jamii.
 
@Yaka Licha ya hiyo avatar yako ya kimapinduzi inayoheshimika zaidi afrika na Dunia kunifanya nikuheshimu na kukubali pia socializing ability yako humu JF inanifanya ukubalike kwangu na kwa wana jamii.
Hakika mtu akiseme avatar nasisimika. This man Capt. Thomas Sankara namhusudu si kawaida. Heaven is my witness.
Nimewahi kumzungumzia kwenye motivational panel na wanafunzi kupandikiza hisia za umajumuhi wamjue huyu mtu wa aina yake. Salute sana chief!
 
mkuu hebu naomba picha ya upepo aliyoichora jamaa kama unayo
Naitafuta mkuu kwenye maktaba za mtandaoni nione kama nitaipata.

Nikipata nitakuwekea hapa amechora swirling wind and clouds in a violet haze kutoka mji wa Remy.

Van Gogh anajua sana!
 
Mi nikisikia habari za kutisha juu yake kwamba analala ndani ya majeneza
 
download (1).jpg
da starry night picture
 
Hii sketch ya huyu kichaa ina siri nyingi zilizotunzwa in a cryptographic way ndani ya hiyo sketch.

But all in all sketch hii ilichangia sketch nyingi kuhama kutoka kuwa local hadi modern.
mimi sielewi kitu chochote kwenye huo mchoro. Nifahamishe hata moja
 
Mkuu Humble,
Nimepokea Challenge Na Nitajaribu Kumleta Huyu Mtu Kwa Mapana Yake Mungu Akijaalia.

Na Wengine Waliobaki Pia Nitatumia Mwanya Huo Kujijenga Zaidi Kwenye Intelijensia Ya Manguli Wa Sanaa Wa Nyakati Hizo.



Iyegu.

Mkuu ukiweza andaa makala ya huyu nguli wa uchoraji utapata faida moja kubwa sanaa.... UTAKUWA UMEFANIKIWA KUWA MWANDISHI WA TAARIFA, UKIJIZOESHA UTAKUWA BORA ZAIDI KATIKA FANI HII YA UANDISHI........
kwa upande wangu ninajua vitu vingi sana kuhusiana na reconaissance artists lakini udhaifu wangu upo kwenye kuandika.. Natamani sana kushare hiki ninachokifahamu bahati mbaya ndo hvyo kinabaki ubongo.... Japokuwa mimi ni mzungumzaji wa kiwango cha juu... So nakupa moyo jitahidi uiandae vyema habari za huyu nguli ili uboreshe uwezo wako wa kuandika information....
 
Salute Humble Afric..
Kama kawaida yako hujawahi kuniangusha kwenye Article zako. Sometimes natamani ningekua wewe yaani you so talented in writting and Describing. Kama ningekua nauwezo kama wako ningeandika mengi sana humu JF basi tu.
Jamii forums watuandalie platform ya podcast au videos kwa ajili ya sisi ambao sio wazuri kwenye kuandika
 
Back
Top Bottom