multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,034
- 577
Namshukuru sana mzee wangu,nikiwa darasa la kwanza aliniambia penda kusoma magazeti ya kiingereza,tv angalia habari za kiingereza.leo hii pamoja na kuanza na kumalizia kayumba naburuza sana,na mpaka leo bado naendelea kusoma na kufanya mazoezi.namshukuru sana babaangu
Sawa bwana! Japo kila baada ya nukta uanze na herufi kubwa basi!
Sio ndo kupuyanga tu!