Vineno vidogo vya Kiingereza vinavyosumbua baadhi ya wazungumzaji

Vineno vidogo vya Kiingereza vinavyosumbua baadhi ya wazungumzaji

Umenikumbusha jamaa zangu fulani pindi niko high school: mmoja alikuwa hawezi tofautisha ear na eye, mwingine horizontal na vertical ilikuwa tatizo sana kwake ukizingatia yanatumika sana kwenye physics
 
Makosa mengi hapa yanaletwa na uzembe kuliko ukosefu wa ufahamu.
Kuna ya Kiswahili yanakosewa na yanakera
Amna badala ya hamna
Akuja badala ya hakuja
Malazi badala ya maradhi
nk
 
Makosa mengi hapa yanaletwa na uzembe kuliko ukosefu wa ufahamu.
Kuna ya Kiswahili yanakosewa na yanakera
Amna badala ya hamna
Akuja badala ya hakuja
Malazi badala ya maradhi

Nafikiri hayo yote ni maneno sahihi ya kiswahili, lakini inategemea yametumika katika muktadha gani.
 
Nafikiri hayo yote ni maneno sahihi ya kiswahili, lakini inategemea yametumika katika muktadha gani.

Yes...hapo nilimaanisha yanapotumika sivyo....neno malazi linatumika badala ya maradhi....nadhani sio maradhi badala ya malazi.....
Katika yote mengi ni uzembe!
Kwa mfano mtu anaandika 'Lama (Rama) amerara (amelala)?'
 
Kuna watu Tanzania hii hata lugha yao ya Taifa hawajuwi wapi waweke R na wapi waweke L, wewe unaona ajabu hiyo lugha ya kigeni?
Ya Firauni yamenifika shingoni sina hamu nayo, nahamia kwenye mapya ya Musa.
 
Makosa mengi hapa yanaletwa na uzembe kuliko ukosefu wa ufahamu.
Kuna ya Kiswahili yanakosewa na yanakera
Amna badala ya hamna
Akuja badala ya hakuja
Malazi badala ya maradhi
nk
Haya maneno yameshajadiliwa sana hapa jukwaani @RR.
 
  • Thanks
Reactions: RR
Comfidence badala ya confidence. kadoda11 nakusalim.
 
Last edited by a moderator:
Kudeep na kubee p hahahah nachekaga sana.eti nideep nikusevu hahah
 
achana na kimombo kuna hili la kiswahili afu limekuwa la kawaida sasa. mtu anakwambia "humeamkaje ndugu yangu" au "vipi hupo wapii kaka"
 
Pia kuna haya maneno mawili
Salon na saloon
Saloon- gari aina ya saloon
Salon- sehemu ambayo ndio tunanyoq au kutengeneza nywele.
Ila utakuta salon nyingi za nywele zimeandikwa saloon.
 
Wakurya hawana sauti wala herufi L wakati wasafwa hawana R. kwa makabira hayo kula na kura ni neno ambalo tafsiri yake inategemea Mkutadha
 
Raise v/s rise....
Haya maneno yananichanganya siku zote!! Yana maana zinazokaribiana na huandikwa karibia sawa...japo hutamkwa tofauti!
 
Back
Top Bottom