Vineno vidogo vya Kiingereza vinavyosumbua baadhi ya wazungumzaji

Vineno vidogo vya Kiingereza vinavyosumbua baadhi ya wazungumzaji

kwenye vijiwe vya football, liko neno ambalo hata watu linawasumbua. Defence and defend.
Mfano: Timu ya Costa Rica inaji 'defence' zaidi.
Hapo mkuu umenena wengi sana huwa wanasema hivyo tena una kuta mtu mzima amekomaa kweli na maneno mengine ni Draw, wanasema jamaa wamepata DRAWN (SARE)!!!! NA ball possession wao wanasema ball position!! ole wako umkosoe unaweza kupigwa ngumi pale.
 
Unaona IQ zetu zilivyo, hilo swali au ujinga?

Nimerudi sasa, enhee ujinga wangu uko wapi? Una hakika unaweza pima IQ yangu kwa naive ideas kama hii?

Back the topic: nashangaa sana mtu ana passport ya Tanzania na hajui
Kiswahili, huu ni ujinga wa ccm yenu FaizaFoxy, ndio mana nikasema sio watanzania wote wanajua kiswahili.

Nenda Botswana, hujui
Kitswana hupati uraia, likewise Aussie kama hujapata band 6.5 and above kwenye TOEFL hupewi uraia. Sisi kwetu je? Wahindi kibao hawajui kiswahili.

Umeelewa sasa? Kuwa mtanzania haimaanishi unafaham kiswahili
 
Last edited by a moderator:
Yote tisa...kumi ni adapt vs adopt. Niliskiliza intavyu ya Happy Magese na mtangazaji wa Global publishers nikashangaa sana..maana mtu mwenyewe ameishi SA na USA! Mi hua nahisi sio ujinga bali ni ubishi, watu hawataki kukubali hawajui na kujifunza.
 
Yote tisa...kumi ni adapt vs adopt. Niliskiliza intavyu ya Happy Magese na mtangazaji wa Global publishers nikashangaa sana..maana mtu mwenyewe ameishi SA na USA! Mi hua nahisi sio ujinga bali ni ubishi, watu hawataki kukubali hawajui na kujifunza.

Mkuu tatizo wengi huwa hatutaki kukosolewa na kuamini ni kuonekana hujui wkt ni kujifunza
 
Nimerudi sasa, enhee ujinga wangu uko wapi? Una hakika unaweza pima IQ yangu kwa naive ideas kama hii?

Back the topic: nashangaa sana mtu ana passport ya Tanzania na hajui
Kiswahili, huu ni ujinga wa ccm yenu FaizaFoxy, ndio mana nikasema sio watanzania wote wanajua kiswahili.

Nenda Botswana, hujui
Kitswana hupati uraia, likewise Aussie kama hujapata band 6.5 and above kwenye TOEFL hupewi uraia. Sisi kwetu je? Wahindi kibao hawajui kiswahili.

Umeelewa sasa? Kuwa mtanzania haimaanishi unafaham kiswahili

Swali hata mtoto mdogo hawezi uliza, kama si ujinga ni nini huo?

Sasa na hiyo explanation yako si ujinga mtupu? unaongelea Tanzania unayaleta ya Botswan sijui Aussie, zinatuhusu nini sheria za kwao huko?

Sasa nakuuliza swali, hizo nchi ulizozisema akizaliwa mtoto bubu maana hawezi kuongea lugha yoyote ile, watamkubali kama raia wao au watamkataa? ukipata jibu kaa kimya , utachekwa.
 
Nimerudi sasa, enhee ujinga wangu uko wapi? Una hakika unaweza pima IQ yangu kwa naive ideas kama hii?

Back the topic: nashangaa sana mtu ana passport ya Tanzania na hajui
Kiswahili, huu ni ujinga wa ccm yenu FaizaFoxy, ndio mana nikasema sio watanzania wote wanajua kiswahili.

Nenda Botswana, hujui
Kitswana hupati uraia, likewise Aussie kama hujapata band 6.5 and above kwenye TOEFL hupewi uraia. Sisi kwetu je? Wahindi kibao hawajui kiswahili.

Umeelewa sasa? Kuwa mtanzania haimaanishi unafaham kiswahili

Ewe punguani, nisome vizuri, Watanzania kibao hawajui Kiswahili, utawanyima uraia kwa kuwa hawajui Kiswahili?
 
Worry out and worry not Sijui Mtu huwa anamaanisha nini akisema worry out,it's totally wrong grammatically
 
Back
Top Bottom