Ving'amuzi (speed limit) "ilikuwa" mradi wa kundi dogo la watu (CCM)

Ving'amuzi (speed limit) "ilikuwa" mradi wa kundi dogo la watu (CCM)

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Naomba ku-declare interest kuwa mimi ni mdau wa safari (abiria) wa mara kwa mara 75% nikiwa natumia bus.

Niliwahi kuandika kuhusu "uhuni" wa kile kinachoitwa ving'amuzi kwenye mabasi.

Leo hii mabasi mengi yaliyosajiliwa kuanzia 2020 hayajafungwa ving'amuzi au vipo na havifanyi kazi! Mabasi ambayo hizo speed limit zinafanya kazi ni yale ya maskini tu.

Kwa mfano, ajali ya bus la kampuni ya Frester, hakuna popote pale taarifa inayoonyesha mwendo aliokua anaendesha dereva. Narudia HAKUNA!

Wiki iliyopita nilielekea maeneo ya Nzega, nilirekodi speed ya mabasi kadhaa ikiwa ni above 90km/hr hadi 130km/hr. December 2022 mara tano kwa mwezi huo nilisafiri kwenda Tanga kutoka Dar, mara mbili kwa gari binafsi na mara tatu kwa bus.

Hakuna bus hata moja, yote yanatoka Mbezi asubuhi kupitia Bagamoyo Road, hakuna bus lililokua linatembea chin ya speed 100km/hr.

Sasa unajiuliza, hivi ving'amuzi vililetwa kwa ajili ya akina nani? Kama tumeshindwa kusimamia basi tuseme kwa uwazi.

Muda huu ni 01:20 usiku, basi nililopo lina speed governor (yale ya zamani), kuna mabasi kadhaa yametupita utadhani tumesimama!

Mamlaka husika zitoe tamko rasmi la kuondoshwa kwa speed limit ili wachache wasiwe waathirika.
 
Hii ndio speed anayotembea nayo ila Kuna Jamaa wametupita na more than 120km/hr
Screenshot_2023-02-13-01-27-04-229_com.solotech.apps.digital.gps.speedometer.odometer.jpg
 
Naomba ku-declare interest kuwa Mimi ni mdau WA safari (abiria) WA mara Kwa mara 75% nikiwa natumia bus.

Niliwahi kuandika kuhusu "uhuni" wa kile kinachoitwa ving'amuzi kwenye mabasi.

Leo hii mabasi mengi yaliyosajiliwa kuanzia 2020 hayajafungwa ving'amuzi au vipo na havifanyi kazi! Mabasi ambayo hizo speed limit zinafanya kazi ni Yale ya maskini TU. .

Kwa mfano, Ajali ya Bus la Kampuni ya Frester, hakuna popote pale taarifa inayoonyesha mwendo aliokua anaendesha dereva. Narudia HAKUNA!

Wiki iliyopita nilielekea maeneo ya Nzega, nilirekodi speed ya mabasi kadhaa ikiwa ni above 90km/hr hadi 130km/hr. December 2022 mara tano kwa mwezi huo nilisafiri kwenda Tanga kutoka Dar, mara mbili Kwa gari binafsi na mara tatu Kwa bus!

Hakuna bus hata Moja, yote yanatoka Mbezi asubuhi kupitia Bagamoyo Road, hakuna bus lililokua linatembea chin ya speed 100km/hr.

Sasa unajiuliza, hivi ving'amuzi vililetwa kwa ajili ya akina nani? Kama tumeshindwa kusimamia basi tuseme kwa uwazi.

Muda huu ni 01:20 usiku, basi nililopo Lina speed governor (Yale ya zamani) Kuna mabasi kadhaa yametupita utadhani tumesimama!

Mamlaka husika zitoe tamko RASMI la kuondoshwa Kwa speed limit ili wachache wasiwe waathirika.
Hii taarifa ni ya kiinteligensia sana.

Hongera sana.

Mamlaka husika zichukue hatua haraka.
 
Hii ndio speed anayotembea nayo ila Kuna Jamaa wametupita na more than 120km/hrView attachment 2515578
Navyofahamu, ni gari zote za abiria hata hizi Coaster za mazishi zimewekwa vithibiti mwendo. Mimi binafsi ni mpenzi wa spidi kwa kuzingatia usalama lakini sijawahi panda bus linalokimbia zaidi ya 89kmh. Natamani unachosema iwe kweli. Nakumbuka miaka ile safqri ya Dar/Moro ilikuwa si zaidi ya saa 3 siku hizi hutoboi chini ya masaa 4.
 
Navyofahamu, ni gari zote za abiria hata hizi Coaster za mazishi zimewekwa vithibiti mwendo. Mimi binafsi ni mpenzi wa spidi kwa kuzingatia usalama lakini sijawahi panda bus linalokimbia zaidi ya 89kmh. Natamani unachosema iwe kweli. Nakumbuka miaka ile safqri ya Dar/Moro ilikuwa si zaidi ya saa 3 siku hizi hutoboi chini ya masaa 4.
Ninachosema ni uhakika 100% nilishawahi kuanzisha Uzi mwaka Jana pia. Ni rahisi sana, download App utaona speed
 
Navyofahamu, ni gari zote za abiria hata hizi Coaster za mazishi zimewekwa vithibiti mwendo. Mimi binafsi ni mpenzi wa spidi kwa kuzingatia usalama lakini sijawahi panda bus linalokimbia zaidi ya 89kmh. Natamani unachosema iwe kweli. Nakumbuka miaka ile safqri ya Dar/Moro ilikuwa si zaidi ya saa 3 siku hizi hutoboi chini ya masaa 4.
Ushahidi mmojawapo ni huu hapa, Nina ticket kabisa ya hilo bus. Ilikua inatembea hadi 137km/hr bus la Dar kwenda Bukoba. Hii ni tacking history
Screenshot_2023-02-13-02-43-24-284_com.solotech.apps.digital.gps.speedometer.odometer.jpg
Screenshot_2023-02-13-02-40-22-281_com.solotech.apps.digital.gps.speedometer.odometer.jpg
 
Naomba ku-declare interest kuwa Mimi ni mdau WA safari (abiria) WA mara Kwa mara 75% nikiwa natumia bus.

Niliwahi kuandika kuhusu "uhuni" wa kile kinachoitwa ving'amuzi kwenye mabasi.

Leo hii mabasi mengi yaliyosajiliwa kuanzia 2020 hayajafungwa ving'amuzi au vipo na havifanyi kazi! Mabasi ambayo hizo speed limit zinafanya kazi ni Yale ya maskini TU. .

Kwa mfano, Ajali ya Bus la Kampuni ya Frester, hakuna popote pale taarifa inayoonyesha mwendo aliokua anaendesha dereva. Narudia HAKUNA!

Wiki iliyopita nilielekea maeneo ya Nzega, nilirekodi speed ya mabasi kadhaa ikiwa ni above 90km/hr hadi 130km/hr. December 2022 mara tano kwa mwezi huo nilisafiri kwenda Tanga kutoka Dar, mara mbili Kwa gari binafsi na mara tatu Kwa bus!

Hakuna bus hata Moja, yote yanatoka Mbezi asubuhi kupitia Bagamoyo Road, hakuna bus lililokua linatembea chin ya speed 100km/hr.

Sasa unajiuliza, hivi ving'amuzi vililetwa kwa ajili ya akina nani? Kama tumeshindwa kusimamia basi tuseme kwa uwazi.

Muda huu ni 01:20 usiku, basi nililopo Lina speed governor (Yale ya zamani) Kuna mabasi kadhaa yametupita utadhani tumesimama!

Mamlaka husika zitoe tamko RASMI la kuondoshwa Kwa speed limit ili wachache wasiwe waathirika.
So sad!!! Tunamaliza nguvu kazi ya Taifa
 
Navyofahamu, ni gari zote za abiria hata hizi Coaster za mazishi zimewekwa vithibiti mwendo. Mimi binafsi ni mpenzi wa spidi kwa kuzingatia usalama lakini sijawahi panda bus linalokimbia zaidi ya 89kmh. Natamani unachosema iwe kweli. Nakumbuka miaka ile safqri ya Dar/Moro ilikuwa si zaidi ya saa 3 siku hizi hutoboi chini ya masaa 4.
Ushahidi mwingine ni ile ajali ya Bus la Mbeya to Tanga, iliyoua watu wa kutosha TU, ilikuja kuwa confirmed kuwa mara ya mwisho king'amuzi kilikua kinafanya KAZI kama one hour ago before disaster na hapo pia ilikua above 100km/hr.

Ushahidi mwingine ni thread ambayo nilianzisha humu kwa evidence pia nikiwa natoka Dodoma kwenda Njombe ambapo nilirekodi speed ya bus kuwa kati ya 135km/hr hadi 140km/hr kuanzia Makambako hadi Njombe usiku wa saa saba
 
Ninachosema ni uhakika 100% nilishawahi kuanzisha Uzi mwaka Jana pia. Ni rahisi sana, download App utaona speed
Ninayo hiyo app huitumia kila ninapohisi basi linaenda kasi. At least hiyo screenshot uliyotuonyesha jamaa yupo within speed limit.

Update: Nimeona hio screenshot ingine kweli jamaa wako above speed limit.
 
gari zote za abiria hata hizi Coaster za mazishi zimewekwa vithibiti mwendo.
Siku mbili nyuma nilipanda Eicher kutoka Mpanda kwenda Uvinza, kwa kipande kile cha lami cha kilomita kama 30 hivi alikua anatembea above 90km/hr..... Mkuu mbona ni rahisi sana kujua!?

January hii iliyoisha Kuna mabasi ya Dar kwenda Mbeya yamepita Makambako saa kumi kasoro au na dakika chache....
 
Hii ndio speed anayotembea nayo ila Kuna Jamaa wametupita na more than 120km/hrView attachment 2515578
Hii ni taarifa muhimu Kwa Sana.
Mimi Niko njiani narejea Dar kutoka Arusha muda hii Kuna basi imenipita kama umeme!.
Haya Waziri husika na hii wizara ya uchukuzi, SUMATRA sijui Nani hao trafiki. Hebu Kwa haraka mjitokeze na ukaguzi na bila hizo vitu gari isiruhusiwe safari.
Tangu hizi ajali zinatokea Waziri husika amelala kimya. Tumbua!!
 
Hii ni taarifa muhimu Kwa Sana.
Mimi Niko njiani narejea Dar kutoka Arusha muda hii Kuna basi imenipita kama umeme!.
Haya Waziri husika na hii wizara ya uchukuzi, SUMATRA sijui Nani hao trafiki. Hebu Kwa haraka mjitokeze na ukaguzi na bila hizo vitu gari isiruhusiwe safari.
Tangu hizi ajali zinatokea Waziri husika amelala kimya. Tumbua!!
Kila mahali wanatoa elfu kumi kwa Traffic, ukisema wanasema lete ushahidi as if hawajui
 
Back
Top Bottom