Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Hahaha ufunge mkandaNitawaletea shuhuda nipo kwa Frester nimekaa mbele kama tai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ufunge mkandaNitawaletea shuhuda nipo kwa Frester nimekaa mbele kama tai
Nimefunga mapema mno wala sihitaji kukumbushwa na wale ndugu zetuHahaha ufunge mkanda
Mungu akutangulieNimefunga mapema mno wala sihitaji kukumbushwa na wale ndugu zetu
OKO.....eti inaitwa oko ilitusaidia sana. Haha haaaaaaa haaaaaaaaaaa.mkuu kuna ile ya kuziba Pacha iliitwa OKO , hivi iliishia wapi?
Kumbeeeee !! Na latra wanashiriki kwenye chinjachinja inayoendelea 🙄🙄 tuwekeeni namba za simu za wapi turipoti kama dereva anaendesha kwa mwendo kasi ( tena ikiwezekana namba hizo ziwepo kwenye ticket ya Basi) !Una hoja lakini huna taarifa
Hakuna speed governer kwenye mabasi kwa sasa , bali kuna gps module ambayo inafanya kazi kama vehicle tracking sytem, controler wa mfumo huu ni Latra,
Next time ukiona basi linakimbia hovyo , jua kuwa wadau wana maelekezo ya hao hao latra officials , ni rushwa .
Kumbeeeee !! Na latra wanashiriki kwenye chinjachinja inayoendelea 🙄🙄 tuwekeeni namba za simu za wapi turipoti kama dereva anaendesha kwa mwendo kasi ( tena ikiwezekana namba hizo ziwepo kwenye ticket ya Basi) !
Haha hahaKumbeeeee !! Na latra wanashiriki kwenye chinjachinja inayoendelea 🙄🙄 tuwekeeni namba za simu za wapi turipoti kama dereva anaendesha kwa mwendo kasi ( tena ikiwezekana namba hizo ziwepo kwenye ticket ya Basi) !
Hahahahaha sio mbaya ile ligi inakuaga tamu sanaNdicho nilichoshuhudia kwa macho yangu Kuna mda kitu mpaka 115KpH
Duh !Haha haha
Sio rahisi kama unanvyodhani,
Ndo maana watu wanalilia katiba mpya!!! , namba za wahusika kuanzia mkuu wa polisi latra na mamlaka kadhaa zipo kwenye kila basi .
Ila inatisha alafu kila kidude kinapiga kelele wala jamaa hashtuki yaani hapo ndio naelewa mchezoHahahahaha sio mbaya ile ligi inakuaga tamu sana