Ving'amuzi (speed limit) "ilikuwa" mradi wa kundi dogo la watu (CCM)


Sauli &Goldeer kuingia Mbeya saa 12 ama 11 imekuwa kawaida yao.
 
huyu mleta mada kafanya utafiti wa gari moja tu, magari mengi mno yamefungwa hivyo vifaa, na syo jukumu la madereva bali wenye magari wenyewe maana hata wao wanakosa amani magari yao yanapokuwa hayana hivyo vifaa.
 
Siku hizi madereva wanatumia radar detector, ile bar ikianza kujaa kuonesha tochi ipo karibu ndio wanapunguza mwendo..radar nazo zimekua majanga
 
Kawaida hiyo,hivyo vimiradi hutayalishwa Ili wakubwa wapige,Kuna ile tender ya kuweka biometric devices kwenye vituo vya polisi,ile alipewa mkwe wa Kikwete,Lugumi,jamaa alipewa mpunga wote hata kabla hajaleta kifaa chochote,pesa akapiga,Jiwe alimuweka ndsni,alipokufa tu,jamaa akaachiwa,
 
huyu mleta mada kafanya utafiti wa gari moja tu, magari mengi mno yamefungwa hivyo vifaa, na syo jukumu la madereva bali wenye magari wenyewe maana hata wao wanakosa amani magari yao yanapokuwa hayana hivyo vifaa.
Hebu rudia kusoma nilichoandika tafadhali, soma kwa utulivu!
 
Hahahaahaha this life buana
 
Nakubaliana na wewe mkuu, kuna siku nimepanda MM8 tokea moro kwenda Mbeya aisee jamaa wanatembea 130km/hr kwa muda mrefu tu.

Bila shaka huenda hivyo vifaa vinachezewa baada ya kuwa vimefungwa.
Asante sana
 
Ninayo hiyo app huitumia kila ninapohisi basi linaenda kasi. At least hiyo screenshot uliyotuonyesha jamaa yupo within speed limit.

Update: Nimeona hio screenshot ingine kweli jamaa wako above speed limit.
Naipataje /naitafuta kwa jina gani hiyo app boss?
 
UNa ishi nchi gan w jamaa
 
Duh ! Huyo alikuwa ni dereva chinjachinja !!
 
Una hoja lakini huna taarifa
Hakuna speed governer kwenye mabasi kwa sasa , bali kuna gps module ambayo inafanya kazi kama vehicle tracking sytem, controler wa mfumo huu ni Latra,
Next time ukiona basi linakimbia hovyo , jua kuwa wadau wana maelekezo ya hao hao latra officials , ni rushwa .
 
Asante kwa kunirekebisha Lugha!
 
Umetumia neno zuri sana MAELEKEZO

Leo nilikuwa nasafiri kwenye basi moja hivi wakawa wakipitwa na wenzao wanasema hilo basi lina MAELEKEZO hivyo halikamatwi.

Mchana kutwa nikawa najiuliza haya MAELEKEZO yanatolewa na nani? Yanaenda kwa nani? What if Askari mmoja akaenda kinyume na MAELEKEZO akakamata moja ya hayo mabasi? Kiukweli we have a rotten system
 
Bro
Ukisikia "Maelekezo" , ni notoruously vicious cycle! Normally controller anakuwa wa kwanza kuona basi linalo over speed , pili kuna ground crews , hawa wana manual timetable na wanakaa kwenye vituo vya mabasi, wao pia kama basi lililimbia mahala wanajua kwa sababi ni lazima litawahi kufika kwenye kutuo,, then kuna askari, kiufupi basi lenye maelekezo linatoboa kwenye uangalizi wa makundi yote hayo.
It is a very expensive hobby too! Maana mzunguko inabidi uhusishe kundi kubwa la watu,
 
Coaster nyingi dash yake Inaishia 80km/hr hiyo speed governor wanaweka ya nn...alafu jamaa yangu atofautishe
kati ya speed na velocity..gari zaweza kuwa ata the same speed but in different velocity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…