Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Siku mbili nyuma nilipanda Eicher kutoka Mpanda kwenda Uvinza, kwa kipande kile cha lami cha kilomita kama 30 hivi alikua anatembea above 90km/hr..... Mkuu mbona ni rahisi sana kujua!?
January hii iliyoisha Kuna mabasi ya Dar kwenda Mbeya yamepita Makambako saa kumi kasoro au na dakika chache....
huyu mleta mada kafanya utafiti wa gari moja tu, magari mengi mno yamefungwa hivyo vifaa, na syo jukumu la madereva bali wenye magari wenyewe maana hata wao wanakosa amani magari yao yanapokuwa hayana hivyo vifaa.Navyofahamu, ni gari zote za abiria hata hizi Coaster za mazishi zimewekwa vithibiti mwendo. Mimi binafsi ni mpenzi wa spidi kwa kuzingatia usalama lakini sijawahi panda bus linalokimbia zaidi ya 89kmh. Natamani unachosema iwe kweli. Nakumbuka miaka ile safqri ya Dar/Moro ilikuwa si zaidi ya saa 3 siku hizi hutoboi chini ya masaa 4.
Kawaida hiyo,hivyo vimiradi hutayalishwa Ili wakubwa wapige,Kuna ile tender ya kuweka biometric devices kwenye vituo vya polisi,ile alipewa mkwe wa Kikwete,Lugumi,jamaa alipewa mpunga wote hata kabla hajaleta kifaa chochote,pesa akapiga,Jiwe alimuweka ndsni,alipokufa tu,jamaa akaachiwa,Naomba ku-declare interest kuwa Mimi ni mdau WA safari (abiria) WA mara Kwa mara 75% nikiwa natumia bus.
Niliwahi kuandika kuhusu "uhuni" wa kile kinachoitwa ving'amuzi kwenye mabasi.
Leo hii mabasi mengi yaliyosajiliwa kuanzia 2020 hayajafungwa ving'amuzi au vipo na havifanyi kazi! Mabasi ambayo hizo speed limit zinafanya kazi ni Yale ya maskini TU. .
Kwa mfano, Ajali ya Bus la Kampuni ya Frester, hakuna popote pale taarifa inayoonyesha mwendo aliokua anaendesha dereva. Narudia HAKUNA!
Wiki iliyopita nilielekea maeneo ya Nzega, nilirekodi speed ya mabasi kadhaa ikiwa ni above 90km/hr hadi 130km/hr. December 2022 mara tano kwa mwezi huo nilisafiri kwenda Tanga kutoka Dar, mara mbili Kwa gari binafsi na mara tatu Kwa bus!
Hakuna bus hata Moja, yote yanatoka Mbezi asubuhi kupitia Bagamoyo Road, hakuna bus lililokua linatembea chin ya speed 100km/hr.
Sasa unajiuliza, hivi ving'amuzi vililetwa kwa ajili ya akina nani? Kama tumeshindwa kusimamia basi tuseme kwa uwazi.
Muda huu ni 01:20 usiku, basi nililopo Lina speed governor (Yale ya zamani) Kuna mabasi kadhaa yametupita utadhani tumesimama!
Mamlaka husika zitoe tamko RASMI la kuondoshwa Kwa speed limit ili wachache wasiwe waathirika.
Kwa speed ya 80km/hr hahahahaaSauli &Goldeer kuingia Mbeya saa 12 ama 11 imekuwa kawaida yao.
Hebu rudia kusoma nilichoandika tafadhali, soma kwa utulivu!huyu mleta mada kafanya utafiti wa gari moja tu, magari mengi mno yamefungwa hivyo vifaa, na syo jukumu la madereva bali wenye magari wenyewe maana hata wao wanakosa amani magari yao yanapokuwa hayana hivyo vifaa.
Hahahaahaha this life buanaKawaida hiyo,hivyo vimiradi hutayalishwa Ili wakubwa wapige,Kuna ile tender ya kuweka biometric devices kwenye vituo vya polisi,ile alipewa mkwe wa Kikwete,Lugumi,jamaa alipewa mpunga wote hata kabla hajaleta kifaa chochote,pesa akapiga,Jiwe alimuweka ndsni,alipokufa tu,jamaa akaachiwa,
Nimesema tangy 2020Hii ni awamu ya Wafanyabiashara
Asante sanaNakubaliana na wewe mkuu, kuna siku nimepanda MM8 tokea moro kwenda Mbeya aisee jamaa wanatembea 130km/hr kwa muda mrefu tu.
Bila shaka huenda hivyo vifaa vinachezewa baada ya kuwa vimefungwa.
Naipataje /naitafuta kwa jina gani hiyo app boss?Ninayo hiyo app huitumia kila ninapohisi basi linaenda kasi. At least hiyo screenshot uliyotuonyesha jamaa yupo within speed limit.
Update: Nimeona hio screenshot ingine kweli jamaa wako above speed limit.
UNa ishi nchi gan w jamaaNavyofahamu, ni gari zote za abiria hata hizi Coaster za mazishi zimewekwa vithibiti mwendo. Mimi binafsi ni mpenzi wa spidi kwa kuzingatia usalama lakini sijawahi panda bus linalokimbia zaidi ya 89kmh. Natamani unachosema iwe kweli. Nakumbuka miaka ile safqri ya Dar/Moro ilikuwa si zaidi ya saa 3 siku hizi hutoboi chini ya masaa 4.
Kwakweli ni Hatari sana !!Akina Kinana hao na wafanya biashara wenzao, polisi walikuwa wanafanya kazi yao vizuri tu.
Duh ! Huyo alikuwa ni dereva chinjachinja !!Ushahidi mwingine ni ile ajali ya Bus la Mbeya to Tanga, iliyoua watu wa kutosha TU, ilikuja kuwa confirmed kuwa mara ya mwisho king'amuzi kilikua kinafanya KAZI kama one hour ago before disaster na hapo pia ilikua above 100km/hr.
Ushahidi mwingine ni thread ambayo nilianzisha humu kwa evidence pia nikiwa natoka Dodoma kwenda Njombe ambapo nilirekodi speed ya bus kuwa kati ya 135km/hr hadi 140km/hr kuanzia Makambako hadi Njombe usiku wa saa saba
Una hoja lakini huna taarifaNaomba ku-declare interest kuwa mimi ni mdau wa safari (abiria) wa mara kwa mara 75% nikiwa natumia bus.
Niliwahi kuandika kuhusu "uhuni" wa kile kinachoitwa ving'amuzi kwenye mabasi.
Leo hii mabasi mengi yaliyosajiliwa kuanzia 2020 hayajafungwa ving'amuzi au vipo na havifanyi kazi! Mabasi ambayo hizo speed limit zinafanya kazi ni yale ya maskini tu.
Kwa mfano, ajali ya bus la kampuni ya Frester, hakuna popote pale taarifa inayoonyesha mwendo aliokua anaendesha dereva. Narudia HAKUNA!
Wiki iliyopita nilielekea maeneo ya Nzega, nilirekodi speed ya mabasi kadhaa ikiwa ni above 90km/hr hadi 130km/hr. December 2022 mara tano kwa mwezi huo nilisafiri kwenda Tanga kutoka Dar, mara mbili kwa gari binafsi na mara tatu kwa bus.
Hakuna bus hata moja, yote yanatoka Mbezi asubuhi kupitia Bagamoyo Road, hakuna bus lililokua linatembea chin ya speed 100km/hr.
Sasa unajiuliza, hivi ving'amuzi vililetwa kwa ajili ya akina nani? Kama tumeshindwa kusimamia basi tuseme kwa uwazi.
Muda huu ni 01:20 usiku, basi nililopo lina speed governor (yale ya zamani), kuna mabasi kadhaa yametupita utadhani tumesimama!
Mamlaka husika zitoe tamko rasmi la kuondoshwa kwa speed limit ili wachache wasiwe waathirika.
Asante kwa kunirekebisha Lugha!Una hoja lakini huna taarifa
Hakuna speed governer kwenye mabasi kwa sasa , bali kuna gps module ambayo inafanya kazi kama vehicle tracking sytem, controler wa mfumo huu ni Latra,
Next time ukiona basi linakimbia hovyo , jua kuwa wadau wana maelekezo ya hao hao latra officials , ni rushwa .
Umetumia neno zuri sana MAELEKEZOUna hoja lakini huna taarifa
Hakuna speed governer kwenye mabasi kwa sasa , bali kuna gps module ambayo inafanya kazi kama vehicle tracking sytem, controler wa mfumo huu ni Latra,
Next time ukiona basi linakimbia hovyo , jua kuwa wadau wana maelekezo ya hao hao latra officials , ni rushwa .
BroUmetumia neno zuri sana MAELEKEZO
Leo nilikuwa nasafiri kwenye basi moja hivi wakawa wakipitwa na wenzao wanasema hilo basi lina MAELEKEZO hivyo halikamatwi.
Mchana kutwa nikawa najiuliza haya MAELEKEZO yanatolewa na nani? Yanaenda kwa nani? What if Askari mmoja akaenda kinyume na MAELEKEZO akakamata moja ya hayo mabasi? Kiukweli we have a rotten system
Coaster nyingi dash yake Inaishia 80km/hr hiyo speed governor wanaweka ya nn...alafu jamaa yangu atofautisheNavyofahamu, ni gari zote za abiria hata hizi Coaster za mazishi zimewekwa vithibiti mwendo. Mimi binafsi ni mpenzi wa spidi kwa kuzingatia usalama lakini sijawahi panda bus linalokimbia zaidi ya 89kmh. Natamani unachosema iwe kweli. Nakumbuka miaka ile safqri ya Dar/Moro ilikuwa si zaidi ya saa 3 siku hizi hutoboi chini ya masaa 4.