Vini Jr ni mchezaji wa ovyo kabisa kuwahi kutokea

Vini Jr ni mchezaji wa ovyo kabisa kuwahi kutokea

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Jamaa ni kilaza wa kiwango cha SGR, nashindwa kufahamu anaendelea kupata namaba na kucheza pale Madrid, Kwa kumtegemea yeye Real Madrid wajiandae na miakaa kadhaa bila ya mataji.

Dribbling Poor
Pass Poor
Shoot Accurate Poor
Anapenda kujitupa tupa kama mlemavu
Anapenda kulalamika na kulilia kupitiliza (Typical South American + Black People )
Hajui hata anafanya nini anapokua na mpira, Pakupiga shoot antoa pasi, Pakutoa Pasi anapiga shoot

Ni mchezaji wa ovyo sana.

Binafsi naamini ana mzimu mzetu anaotegemea mana haingii akilini uoza anaoufanya bada akaendelea kupewa namba.
 
Unamzungumzia mchezaji ambaye panga pangua ya kila mechi ya Madrid hawezi kukosekana. Unamzungumzia mchezaji ambaye ametengeneza combinationa bora sana kati yake na Benzema. Hizo poor poor zako ndio Ancelloti zimempa Laliga na UEFA huku ViniJr akiwa mwamba imara.

Unamjudge mchezaji kwa match moja ambayo timu nzima haikupata matokeo. Oooh what a Poor Judgement [emoji23]
Screenshot_20230306-160702_1678108053609.jpg
 
Unamzungumzia mchezaji ambaye panga pangua ya kila mechi ya Madrid hawezi kukosekana. Unamzungumzia mchezaji ambaye ametengeneza combinationa bora sana kati yake na Benzema. Hizo poor poor zako ndio Ancelloti zimempa Laliga na UEFA huku ViniJr akiwa mwamba imara.

Unamjudge mchezaji kwa match moja ambayo timu nzima haikupata matokeo. Oooh what a Poor Judgement [emoji23]View attachment 2539351

Mchezo mmoja? Unafahamu kuwa Benzema aliwahi kuwambia wachezaji wenziwe wasimpe mipira Vini kwanu huwa anasaidia timu pinzani
 
Mkuu unamzungumzia Vini jr yupi? Labda sio huyu ninayemjua mimi. Dogo anajua na ndo mchezaji anaibeba madrid kwa sasa.akikabwa vini jr kikamilifu madrid hakuna kitu pale.
 
vini ni wale wachezaji waongo waongo.. itakuchukua muda sna kujua ubora n
madhaifu yke yapo wapi..

we utashtukizia kamba tu.. kashampita
mlinzi n mpira sa nyingi upo wavuni.
 
Jamaa ni kilaza wa kiwango cha SGR, nashindwa kufahamu anaendelea kupata namaba na kucheza pale Madrid, Kwa kumtegemea yeye Real Madrid wajiandae na miakaa kadhaa bila ya mataji.

Dribbling Poor
Pass Poor
Shoot Accurate Poor
Anapenda kujitupa tupa kama mlemavu
Anapenda kulalamika na kulilia kupitiliza (Typical South American + Black People )
Hajui hata anafanya nini anapokua na mpira, Pakupiga shoot antoa pasi, Pakutoa Pasi anapiga shoot

Ni mchezaji wa ovyo sana.

Binafsi naamini ana mzimu mzetu anaotegemea mana haingii akilini uoza anaoufanya bada akaendelea kupewa namba.
We itakuwa umeanza kumuangalia vinicius kwenye mechi mbili zilizopita za Maddrid
Sidhani kama kuna mchezaji aliyetengeneza nafasi nyingi kama Vini msimu huu pale Madrid
Unasema ana poor dribiling?
 
Back
Top Bottom