Vini Jr ni mchezaji wa ovyo kabisa kuwahi kutokea

Vini Jr ni mchezaji wa ovyo kabisa kuwahi kutokea

Hasira zako za kubet na kuliwa unazileta kwa huyo jamaa? Mpira umejulia kwenye betting tulia
 
Mchambuzi WA mpira wa NYUNDO FM.
Achani kumkashifu.
 
Tena Kila siku, sitizami matokeo live scorer kama nyinyi
Kama unaanglia live kila siku basi napata mashaka na uelewa wako wa mpira

Ni mchezaji gani anaye create chance nyingi pale Madrid zaidi ya Vini?
Ndio mwenye assist nyingi na magoli mengi zaidi msimu huu pia
Kwa kifupi ndio mchezaji bora pale Madrid msimu huu

Screenshot_20230306-173238.png
 
Jamaa ni kilaza wa kiwango cha SGR, nashindwa kufahamu anaendelea kupata namaba na kucheza pale Madrid, Kwa kumtegemea yeye Real Madrid wajiandae na miakaa kadhaa bila ya mataji.

Dribbling Poor
Pass Poor
Shoot Accurate Poor
Anapenda kujitupa tupa kama mlemavu
Anapenda kulalamika na kulilia kupitiliza (Typical South American + Black People )
Hajui hata anafanya nini anapokua na mpira, Pakupiga shoot antoa pasi, Pakutoa Pasi anapiga shoot

Ni mchezaji wa ovyo sana.

Binafsi naamini ana mzimu mzetu anaotegemea mana haingii akilini uoza anaoufanya bada akaendelea kupewa namba.

Umeandika huu utumbo ukiwa umekunywa ulanzi au mpira ume ujulia ukubwani baada ya kuota ndevu
Next time kabla hujaandika uzuzu wako tumia ubongo kufikiri sio kichwa…..
 
Huyu ilikuwa imebaki mechi moja ale hela akapasuka
 
Kuna viumbe hawaujui mpira kabisa, Vini anazidi kukomaa kila siku, ajabu mwenzangu..!!
 
Madrid walipata mchezaji pale acha mbambamba
 
Jamaa ni kilaza wa kiwango cha SGR, nashindwa kufahamu anaendelea kupata namaba na kucheza pale Madrid, Kwa kumtegemea yeye Real Madrid wajiandae na miakaa kadhaa bila ya mataji.

Dribbling Poor
Pass Poor
Shoot Accurate Poor
Anapenda kujitupa tupa kama mlemavu
Anapenda kulalamika na kulilia kupitiliza (Typical South American + Black People )
Hajui hata anafanya nini anapokua na mpira, Pakupiga shoot antoa pasi, Pakutoa Pasi anapiga shoot

Ni mchezaji wa ovyo sana.

Binafsi naamini ana mzimu mzetu anaotegemea mana haingii akilini uoza anaoufanya bada akaendelea kupewa namba.
Huyu alikua mchezaji bora huko amerika ya kusini na ndio madrid ilipomuona kwa jicho la tatu na kumbeba jumla
 
Unamzungumzia mchezaji ambaye panga pangua ya kila mechi ya Madrid hawezi kukosekana. Unamzungumzia mchezaji ambaye ametengeneza combinationa bora sana kati yake na Benzema. Hizo poor poor zako ndio Ancelloti zimempa Laliga na UEFA huku ViniJr akiwa mwamba imara.

Unamjudge mchezaji kwa match moja ambayo timu nzima haikupata matokeo. Oooh what a Poor Judgement [emoji23]View attachment 2539351
Alipoanza kutaja weusi nikakasirika kisirisiri, alipozidi kukandia nikaiona chuki dhahiri(hampendi)MICHEZO YA KUSHANGILIA IPO MINGI.juzi kati hapa wakati simba kafungwa tatu na raja wasiojua mpira walilalama sana.Wakainanga sana simba mbovu yote.Jana soka ikawakumbusha kitu.MAN U AKALA SAMA BILA, SEVILLA AKAKAUSHWA SITA MOJA.MPIRA NDIVYO ULIVYO.kama hawaujui na kuuweza hata rede nao ni mchezo.POOR TANZANIANS.
 
Alipoanza kutaja weusi nikakasirika kisirisiri, alipozidi kukandia nikaiona chuki dhahiri(hampendi)MICHEZO YA KUSHANGILIA IPO MINGI.juzi kati hapa wakati simba kafungwa tatu na raja wasiojua mpira walilalama sana.Wakainanga sana simba mbovu yote.Jana soka ikawakumbusha kitu.MAN U AKALA SAMA BILA, SEVILLA AKAKAUSHWA SITA MOJA.MPIRA NDIVYO ULIVYO.kama hawaujui na kuuweza hata rede nao ni mchezo.POOR TANZANIANS.
Huyu jamaa anachuki binafsi na wachezaji blacks sijui walishamfanya nini
 
Usikute mtoa mada mwenyewe miguu Yake yote Ni ya kupandia kitandani ama kuvukia barabara.
 
Back
Top Bottom