Vini Jr ni mchezaji wa ovyo kabisa kuwahi kutokea

Vini Jr ni mchezaji wa ovyo kabisa kuwahi kutokea

Nani anaweza kwenda Madrid sasa hivi akampiga benchi huyo dogo.
 
Betting n mbaya Sana Kunywa maj mengi shusha pumzi
 
Jamaa ni kilaza wa kiwango cha SGR, nashindwa kufahamu anaendelea kupata namaba na kucheza pale Madrid, Kwa kumtegemea yeye Real Madrid wajiandae na miakaa kadhaa bila ya mataji.

Dribbling Poor
Pass Poor
Shoot Accurate Poor
Anapenda kujitupa tupa kama mlemavu
Anapenda kulalamika na kulilia kupitiliza (Typical South American + Black People )
Hajui hata anafanya nini anapokua na mpira, Pakupiga shoot antoa pasi, Pakutoa Pasi anapiga shoot

Ni mchezaji wa ovyo sana.

Binafsi naamini ana mzimu mzetu anaotegemea mana haingii akilini uoza anaoufanya bada akaendelea kupewa namba.
Hizi ni hasira za mikeka
 
Jamaa ni kilaza wa kiwango cha SGR, nashindwa kufahamu anaendelea kupata namaba na kucheza pale Madrid, Kwa kumtegemea yeye Real Madrid wajiandae na miakaa kadhaa bila ya mataji.

Dribbling Poor
Pass Poor
Shoot Accurate Poor
Anapenda kujitupa tupa kama mlemavu
Anapenda kulalamika na kulilia kupitiliza (Typical South American + Black People )
Hajui hata anafanya nini anapokua na mpira, Pakupiga shoot antoa pasi, Pakutoa Pasi anapiga shoot

Ni mchezaji wa ovyo sana.

Binafsi naamini ana mzimu mzetu anaotegemea mana haingii akilini uoza anaoufanya bada akaendelea kupewa namba.
Huyu aliyefunga goli la ubingwa wa UEFA
 
Temea tumchape ,manake umemlalamikia sana kama alishawahi kukushika kalio
 
Kubet mnabet wenyewe afu mnakuna kutukana watu ambao hawahusiki.
 
Back
Top Bottom