Vini Jr ni mchezaji wa ovyo kabisa kuwahi kutokea

Hasira zako za kubet na kuliwa unazileta kwa huyo jamaa? Mpira umejulia kwenye betting tulia
 
Mchambuzi WA mpira wa NYUNDO FM.
Achani kumkashifu.
 
Tena Kila siku, sitizami matokeo live scorer kama nyinyi
Kama unaanglia live kila siku basi napata mashaka na uelewa wako wa mpira

Ni mchezaji gani anaye create chance nyingi pale Madrid zaidi ya Vini?
Ndio mwenye assist nyingi na magoli mengi zaidi msimu huu pia
Kwa kifupi ndio mchezaji bora pale Madrid msimu huu

 

Umeandika huu utumbo ukiwa umekunywa ulanzi au mpira ume ujulia ukubwani baada ya kuota ndevu
Next time kabla hujaandika uzuzu wako tumia ubongo kufikiri sio kichwa…..
 
Huyu ilikuwa imebaki mechi moja ale hela akapasuka
 
Kuna viumbe hawaujui mpira kabisa, Vini anazidi kukomaa kila siku, ajabu mwenzangu..!!
 
Madrid walipata mchezaji pale acha mbambamba
 
Huyu alikua mchezaji bora huko amerika ya kusini na ndio madrid ilipomuona kwa jicho la tatu na kumbeba jumla
 
Alipoanza kutaja weusi nikakasirika kisirisiri, alipozidi kukandia nikaiona chuki dhahiri(hampendi)MICHEZO YA KUSHANGILIA IPO MINGI.juzi kati hapa wakati simba kafungwa tatu na raja wasiojua mpira walilalama sana.Wakainanga sana simba mbovu yote.Jana soka ikawakumbusha kitu.MAN U AKALA SAMA BILA, SEVILLA AKAKAUSHWA SITA MOJA.MPIRA NDIVYO ULIVYO.kama hawaujui na kuuweza hata rede nao ni mchezo.POOR TANZANIANS.
 
Mchezo mmoja? Unafahamu kuwa Benzema aliwahi kuwambia wachezaji wenziwe wasimpe mipira Vini kwanu huwa anasaidia timu pinzani
Benzema na Don Carlo ancellotti nani ana akili zaidi?
 
Huyu jamaa anachuki binafsi na wachezaji blacks sijui walishamfanya nini
 
Usikute mtoa mada mwenyewe miguu Yake yote Ni ya kupandia kitandani ama kuvukia barabara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…