Vinyago/midoli vina roho

duunimeona hapo waabudu sanamu wanatupiana mipira... kazi kwelikweli. mtu badala akae atafakari afanye matengenezo,heti naye anaanika makosa ya mwingine. . hebu achaneni na hayo masanamu aisee hayo si kitu, uwe mkristo uwe mwislam sanamu ni sanam tu, haina faida kwako.
 
Hahahahaaaaaaa Zanzibar Spices nakuja Zenji mwezi ujao nina session kule kisiwa cha kobe niandalie pweza wa kubanika
Karibu sana mkuu,kisiwa cha Kobe kinaitwa Changuu Island(almaarufu PRISON ISLAND).
Ukishuka pale na boti unaingia Forodhani Food park unapata Pwezzzaaa safiii.

Ningependa Tuonane,lakini unanitia mashaka sana,naona Post zako zimekaa kutisha tisha kama vile Mtu alietoroka kwenye Kambi ya Freemasons.

Karibu Sana kamanda
 

Hahahahaaaaaaa nina mke huko ujue, usijali nitafanya niwezavyo tuonane
 
Jamani naomba leo na declare interest kwamba.
Masai Dada ni mke wangu wa ndoa kabisaaa.
Sasa baada ya mada ya mshana ya midoli na sanamu,naomba kuleta mrejesho.

Huyu mke wangu Masai Dada anaile midoli na sanamu za kimasai zile kubwaa ukienda hadi ikulu unakuta umesimamishwa,nyingine zinawekwa hadi manyonyo.Sasa kuna moja analipenda saaana hadi amefanana nalo kabisaa.Sasa baada ya uzi huu wa Mshana,hasira zote zikakishia kwenye hayo madoli na sanamu,nimeyachoma moto yooote.
Tatizo limebaki sasa Masai Dada na yeye namuona kama lile moja nililoliochoma moto waliokuwa wanafananalo,sasa nimpe Talaka au nimpeleke akaombewe,maana usiku naona silali vizuri,nahisi kukabwa kabwa na kushikiwa sime na shemeji zangu Morani.

Mshanaa,Mshanaa,kesi zinaendelea
 

Hahahahaaaaaaa hahahahaaaaaaa 💃💃💃💃🏃🏃🏃
 
IULIZE Biblia kwanini inatumia rangi Nyekundu inapo mnukuu Mungu Mkuu ambaye ni Yesu?



Post yoote ilikluwa inaenda vizuri,ila hiki kiumbe ndio kinaanza kuleta mambo yake yaleeee.
Hembu mpotezeeni kwanza tuendelee na Mada yetu na yeye aendelee na midoli na sanamu zake,sio kutuletea udini humu.

Mshana mpotezee anatutoa kwenye stand huyu
 
Ndio maana unashauliwa ukinunua mdoli/ kinyago peleka vikafanyiwe maombi kabla havijafika nyumbani
 
Post yoote ilikluwa inaenda vizuri,ila hiki kiumbe ndio kinaanza kuleta mambo yake yaleeee.
Hembu mpotezeeni kwanza tuendelee na Mada yetu na yeye aendelee na midoli na sanamu zake,sio kutuletea udini humu.

Mshana mpotezee anatutoa kwenye stand huyu

Nilimwambia mgiriki tumpotezee atayeyeka mwenyewe naona tunaenda vizuri sasa
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana unashauliwa ukinunua mdoli/ kinyago peleka vikafanyiwe maombi kabla havijafika nyumbani

hakuna cha kupeleka popote.. ni kuviombea we mwenyewe.. kwani maombi yako nayo yatasikiwa tu.
 
hakuna cha kupeleka popote.. ni kuviombea we mwenyewe.. kwani maombi yako nayo yatasikiwa tu.

Sio kila mtu anauwezo wa kufanya maombi mwenyewe, ndio maana tunashauliwa tupeleke kwa wenye uwezo wa kufanya maombi
 
Post yoote ilikluwa inaenda vizuri,ila hiki kiumbe ndio kinaanza kuleta mambo yake yaleeee.
Hembu mpotezeeni kwanza tuendelee na Mada yetu na yeye aendelee na midoli na sanamu zake,sio kutuletea udini humu.

Mshana mpotezee anatutoa kwenye stand huyu
Uoga wa akili ndio umejaa kwenye nyoyo yako. Sishanagi maana weye sio wa kwanza kuogopa, hata yule kiumbe wa middle east, naye alikataza kuulizwa maswali, sembuse weye unaye bwabwaja hapa.
 

Wabishe tu kwa vile ni wabishi lakini hayo ni makavu laivu.! Warumi sanamu wanaziabudu kama Mungu.Ati ni mfano.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…