Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.
Hii ni roho ni kibwengoView attachment 259310kinatumika sana kwenye ngoma ya madogoli
Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.
Hahahahaaaaaaa
Mshana jiheshimu..nimepoteza usingzi wangu wote ....duuuh uwe unaangaliaga na picha za kuleta basi mweh mweh
Hili hadi Khadija kopa alilitungia wimbo.
Sasa hebu niambie........nina kinyago cha tembo wa mpingo.........nae anahusika...........?...........
Aisee nina vinyago viwili vya kimakonde nililetewa na mdogo angu alipoenda site ntwara..mda huu nasoma hii kitu naviangalia kwa umakini sana.mwenyewe akiclaim kanunua kwa gharama kweli.ila ss napoteza mzuka wa kuendelea kuviweka ndani,kumrudishia siwez na wala kuvitupa si hekima.i guess something went wrong..mmhh ulimwengu wa roho ni mpana sana yani.
Eeehhh hii nayo kali......Sasa bado unaogopa Midoli hadi Leo?Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.
Hii ni roho ni kibwengoView attachment 259310kinatumika sana kwenye ngoma ya madogoli
Mi nna teddy bear kitandani sijui nimfiche
Mkuu umenena kweli kabisa mimi ni mmoja wa waliopata shida kupitia midoli nimekoma na sirudii kuiweka kwangu wala kuinunua
Mkuu umenena kweli kabisa mimi ni mmoja wa waliopata shida kupitia midoli nimekoma na sirudii kuiweka kwangu wala kuinunua
Eeehhh hii nayo kali......Sasa bado unaogopa Midoli hadi Leo?
Kuna huu mdori umecheza film unaitwa CHUCKY, unaukumbuka?
Sasa kuna mwingine amefahamika anaitwa Black Chucky.... Anabamiza watoto si kawaida.
Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.