Vinyago/midoli vina roho

Vinyago/midoli vina roho

Nlihadithiwa kuna mwanamke anapenda mdoli wake sasa alipoolewa akauchukua kwake basi kila wakirudi kazini yeye na mumewe wanakuta pamepikwa panasafishwa na vyombo vimeoshwa akawa anawauliza nduguze kama wao ndio wanakuja kufanya hivyo kumbe ule mdoli shetani ndio amefanya nyumba yake na ndio unafanya pirika zote
 
Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.

Hahahahaaaaaaa
 
Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.

Aisee nina vinyago viwili vya kimakonde nililetewa na mdogo angu alipoenda site ntwara..mda huu nasoma hii kitu naviangalia kwa umakini sana.mwenyewe akiclaim kanunua kwa gharama kweli.ila ss napoteza mzuka wa kuendelea kuviweka ndani,kumrudishia siwez na wala kuvitupa si hekima.i guess something went wrong..mmhh ulimwengu wa roho ni mpana sana yani.
 
Hapana, yeye ndiyo alitungiwa WIMBO kuwa ni kama sanamu la Micheleni.... Gauni akivaa anazi-Screw....

khadija_kopa1.jpg


Hili hadi Khadija kopa alilitungia wimbo.
 
Aisee nina vinyago viwili vya kimakonde nililetewa na mdogo angu alipoenda site ntwara..mda huu nasoma hii kitu naviangalia kwa umakini sana.mwenyewe akiclaim kanunua kwa gharama kweli.ila ss napoteza mzuka wa kuendelea kuviweka ndani,kumrudishia siwez na wala kuvitupa si hekima.i guess something went wrong..mmhh ulimwengu wa roho ni mpana sana yani.

Hivi vitu tunaona vya kawaida ila ni hatari tena hivo vya kimakonde kila kinyago kilicho chongwa kina maana yake sasa wengi hawajui wanaona mapambo tu.
Mi niliambiwa nikawa mbishi siku yaliyo nikuta ndo nilikoma.Mingi ya vinyago ni sehemu ya idol worship.
 
Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.
Eeehhh hii nayo kali......Sasa bado unaogopa Midoli hadi Leo?
 
Hii ni roho ni kibwengoView attachment 259310kinatumika sana kwenye ngoma ya madogoli

Unajua totally ukikiangalia hicho kinyago huhitaji kuwa na macho ya kiroho kugundua kuwa kuna uzima una exists ndani yake..kuna uwezekano mkubwa kuwa ni kweli huwa vinabeba roho.sasa ndio ninapata nafasi tena ya kujifikirisha kuwa je ni kwanini na kwa sababu ipi husababisha vinyago au midoli yenye shape flan flan kuogopesha na kutisha na kuleta hofu vikitazamwa?ukifikiri kwa umakini khs kutisha huku si ajabu ukafikia tamati kuwa kutisha huko kunatoa taarifa pana na ya ndani zaidi kuwa vinabeba roho,roho ya kuogofya.km ingekuwa just ni body structure tu au morphology bila ya hzo roho zilizobebwa bila shaka kuogofya kusingekuwepo
 
Mi nna teddy bear kitandani sijui nimfiche

Mtenganishe kichwa na kiwiliwili..............mimi huyu tembo kesho out...........uwiiiiii......... nilimnunua ghali tena kwa pesa za kigeni..............
wee Mshana Jr..........hawa niajeniaje siwezi kuwaombea nikawatakasa..........?........coz kama kuna nguvu hasi.........lazima chanya itakuwepo............fafanua plz..........
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umenena kweli kabisa mimi ni mmoja wa waliopata shida kupitia midoli nimekoma na sirudii kuiweka kwangu wala kuinunua

Niadisie plz........ilikuwaje........
 
Unachosema ni kweli kabisa hichi kitu nilishasikia mda sana. Pia kuna movie flani nilipoiona ndo nilizidi kuamini inaitwa Curse Of Chucky (2013) hii movie inatisha sana inahusu hyo issue.
 
Kuna huu mdori umecheza film unaitwa CHUCKY, unaukumbuka?

mqdefault.jpg


Sasa kuna mwingine amefahamika anaitwa Black Chucky.... Anabamiza watoto si kawaida.



Nishaiona...na nilitaka niitaje...kinaua hiki ki chucky....kina hasira na kisasi nyc movie
 
Last edited by a moderator:
Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.

Pole.
Hapa nyumbani tuna mdoli mkubwa wa Bear, yaani huwa nashangaa nikiuangalia tu nakosa amani kabisa.
Huwa najiukizaga mpaka leo...sijui una nini.
 
Back
Top Bottom