Hii ni roho ni kibwengoView attachment 259310kinatumika sana kwenye ngoma ya madogoli
Mi niliambiwa midoli vinyago si mizuri kuweka ndani nikawaga siamini mana nilikua naipenda kuiweka sebuleni. Sasa siku moja nikiwa nimelala nimeiweka pembeni nikaona mdoli una nyanyuka na kunirukia nilipiga makelele ya hatari na kutetemeka juu. Tangia siku hyo nimekoma hata kuibeba. Kweli vinyango ni ma spirits machafu kabisa na inaweza ikawa inaleta mikosi.
Pole.
Hapa nyumbani tuna mdoli mkubwa wa Bear, yaani huwa nashangaa nikiuangalia tu nakosa amani kabisa.
Huwa najiukizaga mpaka leo...sijui una nini.
Na Mimi nilikua na mingi mikubwa ya bear ka ya paka kila aina ka ya hyo siku hyo nilikoma nikaitupa yote.
Mtenganishe kichwa na kiwiliwili..............mimi huyu tembo kesho out...........uwiiiiii......... nilimnunua ghali tena kwa pesa za kigeni..............
wee Mshana Jr..........hawa niajeniaje siwezi kuwaombea nikawatakasa..........?........coz kama kuna nguvu hasi.........lazima chanya itakuwepo............fafanua plz..........
Niadisie plz........ilikuwaje........
Nilikuwa nalala nayo kitandani kwasababu nilikuwa naipenda sana ilikuwa minne miwili naweka juu ninakoweka kichwa mingine upande wa chini kwenye miguu Siku hiyo nmelala usiku sana ilinicheka sana na kunizomea na yale macho yao siku hiyo yalifumba na kufumbua kama ya binadamu sitasahau hii kitu kwenye maisha yangu yote
Hii ni roho ni kibwengoView attachment 259310kinatumika sana kwenye ngoma ya madogoli
Nilikuwa nalala nayo kitandani kwasababu nilikuwa naipenda sana ilikuwa minne miwili naweka juu ninakoweka kichwa mingine upande wa chini kwenye miguu Siku hiyo nmelala usiku sana ilinicheka sana na kunizomea na yale macho yao siku hiyo yalifumba na kufumbua kama ya binadamu sitasahau hii kitu kwenye maisha yangu yote
Pole sana mkuu hata Mimi nilikua nalala nayo ka we we tena nilikua naweka pembeni. Siku hyo ilinikomesha kabisa kwa kweli. Nimekoma kabisa