Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maudhui haya ya mada zako zote humu jf mkuu, nahisi hata wewe ni mdoli mwenye roho.
Popote ulipo mshana jr, unashtakiwa kwa kosa la kusababisha hawa mabinti washindwe kuvipumzisha vikojoleo vyao kwa usiku wa leo.
Jiwasilishe makaburi ya kinondoni kwa ajili ya toba. (tafazali, sijasema mochware, staki hawa mabinti washindwe kuamka)
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Sikitoagi hovyo hiki halafu hakitoki kwenye mkoba wangu...!labda nyakati za dharura tu mapambano yanapozidi
Popote ulipo mshana jr, unashtakiwa kwa kosa la kusababisha hawa mabinti washindwe kuvipumzisha vikojoleo vyao kwa usiku wa leo.
Jiwasilishe makaburi ya kinondoni kwa ajili ya toba. (tafazali, sijasema mochware, staki hawa mabinti washindwe kuamka)
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Naunga mkono hoja, kwa sababu hata makabila yanayoongoza kwa uchawi duniani, nchi ya Haiti, uchawi wao unaitwa Voodoo, na imani yao ni Voodooism, wanatumia midoli kulogea!.
Pia nakubaliana na wewe kuwa kuna roho mbalimbali zinazotangatanga, (zinaitwa wondering strangers), wale wote wanaokufa kwa strange deaths bila miili yao kupatikana hivyo kutofanyiwa maziko rasmi, roho zao zinakuwa hazija rest in peace, zinabaki zikitangatanga, lakini sii kweli kuwa roho hizi zinajiingilia tuu kwenye midoli, bali ili ziingie kwenye midoli, ni lazima ziingizwe!.
Hivyo Mkuu Mshana nakuomba usitishe watu kuwa midoli ina roho!, midoli yenye roho ni ile tuu iliyowekewa hizo roho na kwa madhumuni fulani!.
Pasco
Sirdirashy midoli mingi ya kariakoo imefanyiwa colabo, mchana ni vinyago usiku ni vinyamkeraSi kweli km ina roho ila roho ya kibiinadamu inasense flani hivi na hiyo midoli mm hata ile midoli ya kariakoo inayoekwa kwenye ngazi nikishuka huwa naona km inanifata vile na kuona km inazomea
Sasa hebu niambie........nina kinyago cha tembo wa mpingo.........nae anahusika...........?...........
Ukisoma masonic bible. Tembo ni ishara ya power, pia hutumika katika rituals zinazotak ku sumon miungu fulani yenye nguvu.
Kuna Muungu hata kwa wahindu wanao wanaita Ganesha.
Masonic hutumia pia as power symbolism