CMBC Mlalahoi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 222
- 69
Kwenu madaktari, aisee me kuna hivi vidude vinaitwa dats cjui au vidoti vinaniota sehemu za korodani na hapa juu ya mgombea, panapoota mav*z* vinaota hivi vidude.
First time nilienda kumuona daktari akanipa dawa ya kuviunguza, vikaungua juu tu kumbe mizizi ikabaki sasa vimeanza tena, tiba yake ni nini hivi au vinasababishwa na nini!
Viko kama kile cha Jokate
First time nilienda kumuona daktari akanipa dawa ya kuviunguza, vikaungua juu tu kumbe mizizi ikabaki sasa vimeanza tena, tiba yake ni nini hivi au vinasababishwa na nini!
Viko kama kile cha Jokate