MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
Haya ndo baadhi ya maoni ya baadhi ya hawa wabunge wa Bunge maalumu la katiba. Michango ni mibovu na mingine haina umuhimu kabisa, lugha mbaya na wakati mwingine bila staha, lakini wao wanasema wana kazi muhimu sana!
"...Mheshimiwa mwenyekiti, nchi zote hizo zilizotolewa mfano kwamba ni za kidemokrasia zinaruhsu ushoga na usagaji, hatutakubali kuiga watuwanofanya mambo kama hayo ruksa!!"
"…Mheshimiwa mwenyekiti kuruhusu kura ya siri ni sawa na mtu anayeingia kichakani kujisaidia, macho anageuzia barabarani kwenye watu, ------ anayageuzia porini kwenye simba!!!"
"...Mheshimiwa mwenyekiti huyu Sendeka hajui Kiingereza…. Arudi akajifunze upya."
"...Mheshimiwa mwenyekiti, wanawake wa kiislam wakiwa kwenye zile siku zao mbaya dini inawakataza kushika msahafu, hivyo tunaomba basi iwekwe namna ya kuwaapisha bila kushika msahafu!!... na wanaume wa kiislamu lazima wawe na udhu …"
"...Mheshimiwa mwenyekiti .... na tuendelee kudai ongezeko la posho mpaka kieleweke ...."
"...Mheshimiwa mwenyekiti sisi vijana lazima tusimame imara na kwa uwazi kwa kupiga kura ya wazi kwa sababu katiba inayotengenezwa ni yetu sisi vijana, nyie mazee wote mtakuwa mmeshakufa!!"
"...Mheshimiwa mwenyekiti, nchi zote hizo zilizotolewa mfano kwamba ni za kidemokrasia zinaruhsu ushoga na usagaji, hatutakubali kuiga watuwanofanya mambo kama hayo ruksa!!"
"…Mheshimiwa mwenyekiti kuruhusu kura ya siri ni sawa na mtu anayeingia kichakani kujisaidia, macho anageuzia barabarani kwenye watu, ------ anayageuzia porini kwenye simba!!!"
"...Mheshimiwa mwenyekiti huyu Sendeka hajui Kiingereza…. Arudi akajifunze upya."
"...Mheshimiwa mwenyekiti, wanawake wa kiislam wakiwa kwenye zile siku zao mbaya dini inawakataza kushika msahafu, hivyo tunaomba basi iwekwe namna ya kuwaapisha bila kushika msahafu!!... na wanaume wa kiislamu lazima wawe na udhu …"
"...Mheshimiwa mwenyekiti .... na tuendelee kudai ongezeko la posho mpaka kieleweke ...."
"...Mheshimiwa mwenyekiti sisi vijana lazima tusimame imara na kwa uwazi kwa kupiga kura ya wazi kwa sababu katiba inayotengenezwa ni yetu sisi vijana, nyie mazee wote mtakuwa mmeshakufa!!"