Vioja na Mabasi

Duh sipati picha uko siti moja na mrembo afu mko uchi wote. Unaweza jikuta maumivu yanageuka shangwe.
Kwa hali kama hiyo (ile) huwezi dindisha labda uwe kichaa tu au Msukuma uliyetoka kijijini sasa hivi na kuona tukio la kuporwa ni ushujaa.
 
Duh sipati picha uko siti moja na mrembo afu mko uchi wote. Unaweza jikuta maumivu yanageuka shangwe.
Unasema tu, kila kitu kinanywea wewe unakuwa kama yeye, bahati mbaya mende akikugusa mguu chini ya siti utainuka kama panya.
 
Hivo vyote walivyopora wao walikuwa na gari la mizigo?maana mpaka mvuliwe boxer ina maana washachukua na mabegi
Waliondoka na kila kitu,nani anajua labda hapo mbele tu wana kambi yao.wanakupiga tanchi wanatambaa.
Gari Bus tuliondoka nalo uchi na dereva wao wala hawalihitaji.
Sema huko porini kati ndo ikawa watu wanaguna tu na kuhema
 
Fasta inakimbilia tumboni kuekea kifuani ni atai kweikwei
🀣🀣🀣siku moja niko na demuwa kishua sasa aone nna vip mpya kubandeki tanua miguu sama e bana mchupi ukakatika kubandeki na unakimbilia tumboni.nikachoka
 
Duh sipati picha uko siti moja na mrembo afu mko uchi wote. Unaweza jikuta maumivu yanageuka shangwe.
aidha shangwe au fedheha. Maana kama hujajaaliwa maumbile ukijumlisha na uoga wa bunduki, mashine imenywea kama ukucha. Hapo swaga zote zinaisha.
Au mwenye umepiga pamba kali nje kufika kwenye chupi sasa ina matobo yote mpaka kaka jambazi anakataa kuiiba. Lazima uwe mdogo tu.
 
Duh sipati picha uko siti moja na mrembo afu mko uchi wote. Unaweza jikuta maumivu yanageuka shangwe.
Au ukafunika maeneo yako kwa mikono baada ya kiba 100 kuwekwa hadharani.lol
 
Acha dharau kwa hiyo tulikuwa tunatembea na buku 1 na 200 zetu bila kubanwa? Dharau hizo ujue!!
sijakuelewa mkuu dharau zimetokea wapi?

mi nimesema chupi aina ya V.I.P hazikuwepo miaka ya 80 zimetoka miaka ya 90




au we umenielewaje?

 
Mlipata tabu sana wakuu, naskia kuna majambazi wengine walikua wanaamuru mpigane mashine hata kama mko wanaume tupu mtainamishana ya kweli hao??
 
Kuna Mzee Mmoja R. I. P alikua ni kiongozi katika ngazi ya Tarafa/Kata (Mombo) huko Tanga, wilaya ya Korogwe. Siku moja alikua anasafiri miaka 2000's toka Mombo kwenda Kwalukonge kufika katikati kuna pori wakakuta wamepanga magogo yao barabarani. Kama kawaida yao kulazimisha abiria wavue nguo, yule Mzee alikua ameambatana na binti yake akagoma kuvua nguo, wale jamaa wakamzimisha pale pale na risasi ya kichwa.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…