babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
- Thread starter
- #41
Safari ingine,Iringa -Dom.
Kata ticket King cross boda mtera.
Subiri pale stendi siku 2 gari haiji.konda mkatisha ticket hatumuoni.tumekaa wee siku ya pili hapo abiria tushakua ndugu na tuko wengi maana pale njia hiyo ni king cross tu anaiweza.
Ikabidi ebana tukamsake huyu mkatisha tkt tuelewe bus linakuja lini na sa ngapi?
Baadhi ya mabroo pale wanajua kona zote.
Tukaanza safari kona huku mara kule twende paaptukamkuta jamaa kilabuni analewa tu.
Tukampa makofi kadhaa tukaondoka nae hadi stendi aturudishie hela.
Hela yenyewe ni 1500 tu miaka hiyo🤣🤣🤣.
Naja tena
Kata ticket King cross boda mtera.
Subiri pale stendi siku 2 gari haiji.konda mkatisha ticket hatumuoni.tumekaa wee siku ya pili hapo abiria tushakua ndugu na tuko wengi maana pale njia hiyo ni king cross tu anaiweza.
Ikabidi ebana tukamsake huyu mkatisha tkt tuelewe bus linakuja lini na sa ngapi?
Baadhi ya mabroo pale wanajua kona zote.
Tukaanza safari kona huku mara kule twende paaptukamkuta jamaa kilabuni analewa tu.
Tukampa makofi kadhaa tukaondoka nae hadi stendi aturudishie hela.
Hela yenyewe ni 1500 tu miaka hiyo🤣🤣🤣.
Naja tena