Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Hongereni sana wenye watoto...

Napenda sana na ninatamani sana kuwa na mtoto but mda ukifika atakuwepo tena mapacha hahahaa
 
1,2 ni sawa na wa kwangu sasa ana umri wa miaka 3 ila namba nne stori tofauti,simu yangu anaionea kuliko ya mama yake,huyu wangu kila tangazo la tv analolipenda analiiga kama yeye alishiriki kutunga, kiukweli inakuwa faraja sana ukiwa na watoto,stress zako za kutwa zinapozwa na uwepo wao,alhamdulilah
 
Life is very interesting
 
Mnunuliye vile vi toy vya kuunganisha kuna vya magari vya nyumba n.k. utafanya ubongo uwe creative zaidi ndio ma engineers wanavyo anzaga kutengenezwa una nunua na cd za kufundisha hesabu na vimichiro !!!
 
Kuna mmoja huyo.ccm damu.
Akija mgeni ana muuliza wewee ccm au chadema,
Ukisema chadema .utamsikia afukuza nyumbani kwetu.
 
Hiko kiatu cha mama ake mweee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....
 
Kumbe una mtoto hongera sana aisee mungu akubarik juu ya hilo.
 
Inabidi pia umuombee mtoto wako hizo traits sio nzuri
 
Mmmmh uko vzr
 
mie wa kwangu 7,4 yrs huyu mdogo juzi akalilia aombee msosi yeye,akasema tusimame,akaomba MUNGU tusaidie tule vizuri tumalize chakula ,tuoge twende mjini kuogelea(wanapenda sn kuogelea),mwishoni akamalizia pia tukipigana tupigane vzr,hahahahaha,,
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] aaaiii jamani! Nimecheka sana.
 
Huyo wa miaka minne mcheki DNA ana damu ya kikorea mkuu.......kuanzia lugha mpaka vyakula(tambi) ni vya kikorea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…