Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Mi wa kwangu balaa natamani akue kidogo labda nitapata zuri la kueleza, leo ni wiki ya tatu sijalala nakesha, dogo analala mchana wakati mimi nipo job, usiku halali na akilala mikononi ukimuweka kitandani tuu yani kabla hata hujakiacha kitanda kishaamka na kelele nyingi, kingine asee usikae karibu na mamaake ugomvi wake c mdogo atalia hapo hadi utashangaa, kingine tangu wiki iliyopita hajacheka sijui ndo kutabasamu hakuna. Ana miezi 4. Hataki kulazwa kama watoto wengine anapokuwa macho, yeye anataka kukaa na anakaa...huyo ni mdogo, kakayake yeye anapenda ngumi, anajua bunduki zote kwa majina, hili nimejaribu kumuonya mamayake asiwe akimuwekea movie za mapigano zaidi ya cartoon lakini sijui huyu kijana anajifunzia wapi maana hakawii kukwambia anataka awe mwanajeshi sababu hapendi majambazi, huyo Ana miaka mi 4, anajua kikorea, kajifunza wapi mi sijui...ila ana shida moja anapenda tambi tuu, vyakula vingine kula mpaka mpigizane kelele sana na husingizia anataka kukojoa akienda harudi..ana huruma sana na mamayake, mjanja mjanja sana ukikasiririka atajua jinsi ya kukufanya ucheke tuu, shida usimuache na mdogo wake peke yao, unaweza kuta mtoto analishwa ugali.
Hongera kwa kuzaa Mkorea
 
Bila picha za watoto hapa mimi siwalelewi chochote
 
Ngoja nilete vyangu kidogo kutokea ofisini....

Mimi ni mtu ambaye inapotokea nahudumia mtoto mara nyingi najitahidi kuwa nao karibu sana ili wasiiogope huduma hata inapotokea umemuandikia sindano....

Basi, kalikuja katoto kasichana umri 3 hivi sasa alikuja na mama yake kwenye huduma... Huku mama yake ndiye Mgonjwa wakati huo... Wakati matibabu yakiendelea huku nikimuhoji Mama yake, aliniuliza... Wewe Uncle unaitwa nani? Nikamwambia naitwa Baraka basi akaridhika akatoka nje.... Nikaendelea na kumuhudumia Mama yake nikamaliza nika oder akafanye vipimo, alipoondoka Mimi nikatoka nikaenda dukani...

Niliporudi Mama yake akaniambia, Mtoto wake kaniulizia kuwa Baraka yuko wapi [emoji23][emoji23][emoji23] nilifurahi mnoo kusikia hivyo...

Baada ya huduma kuisha nikampa mtoto zawad ya notebook na peni mpya akasema asante akaondoka na mama yake....

Zilipita kama siku nne hivi, mchana wakati naenda nyumbani nikaona watoto wanatoka shule wanaenda majumbani mwao... Wakati nawashangaa kwasababu huwa napenda kuwatizama wakiwa wanacheza cheza na uniform zao ... Ghafla nikaona katoto kanakuja mbele yangu kanalia, nikakumbuka ni yule niliyempa zawad basi kakaniita Baraka huku analia, nikachuchumaa kanihug halafu akasema Baraka yule Mtoto amenipiga, nikawaita wote nikawafundisha wasipigane....

Kisha nikamfuta machozi akaridhika nikamuaga akaenda na wenzie kwao huko...

Nilijihisi furaha sana sana kwasababu sina mtoto hivyo nilijiona nimepewa heshima kubwa kwenye kizazi kijacho....

Nilichojifunza, watoto ni Baraka na furaha yako kwao huacha alama isiyofutika maishani mwao....
 
Ngoja nilete vyangu kidogo kutokea ofisini....

Mimi ni mtu ambaye inapotokea nahudumia mtoto mara nyingi najitahidi kuwa nao karibu sana ili wasiiogope huduma hata inapotokea umemuandikia sindano....

Basi, kalikuja katoto kasichana umri 3 hivi sasa alikuja na mama yake kwenye huduma... Huku mama yake ndiye Mgonjwa wakati huo... Wakati matibabu yakiendelea huku nikimuhoji Mama yake, aliniuliza... Wewe Uncle unaitwa nani? Nikamwambia naitwa Baraka basi akaridhika akatoka nje.... Nikaendelea na kumuhudumia Mama yake nikamaliza nika oder akafanye vipimo, alipoondoka Mimi nikatoka nikaenda dukani...

Niliporudi Mama yake akaniambia, Mtoto wake kaniulizia kuwa Baraka yuko wapi [emoji23][emoji23][emoji23] nilifurahi mnoo kusikia hivyo...

Baada ya huduma kuisha nikampa mtoto zawad ya notebook na peni mpya akasema asante akaondoka na mama yake....

Zilipita kama siku nne hivi, mchana wakati naenda nyumbani nikaona watoto wanatoka shule wanaenda majumbani mwao... Wakati nawashangaa kwasababu huwa napenda kuwatizama wakiwa wanacheza cheza na uniform zao ... Ghafla nikaona katoto kanakuja mbele yangu kanalia, nikakumbuka ni yule niliyempa zawad basi kakaniita Baraka huku analia, nikachuchumaa kanihug halafu akasema Baraka yule Mtoto amenipiga, nikawaita wote nikawafundisha wasipigane....

Kisha nikamfuta machozi akaridhika nikamuaga akaenda na wenzie kwao huko...


Nilijihisi furaha sana sana kwasababu sina mtoto hivyo nilijiona nimepewa heshima kubwa kwenye kizazi kijacho....


Nilichojifunza, watoto ni Baraka na furaha yako kwao huacha alama isiyofutika maishani mwao....
Oooh waoooh
 
Ngoja nilete vyangu kidogo kutokea ofisini....

Mimi ni mtu ambaye inapotokea nahudumia mtoto mara nyingi najitahidi kuwa nao karibu sana ili wasiiogope huduma hata inapotokea umemuandikia sindano....

Basi, kalikuja katoto kasichana umri 3 hivi sasa alikuja na mama yake kwenye huduma... Huku mama yake ndiye Mgonjwa wakati huo... Wakati matibabu yakiendelea huku nikimuhoji Mama yake, aliniuliza... Wewe Uncle unaitwa nani? Nikamwambia naitwa Baraka basi akaridhika akatoka nje.... Nikaendelea na kumuhudumia Mama yake nikamaliza nika oder akafanye vipimo, alipoondoka Mimi nikatoka nikaenda dukani...

Niliporudi Mama yake akaniambia, Mtoto wake kaniulizia kuwa Baraka yuko wapi [emoji23][emoji23][emoji23] nilifurahi mnoo kusikia hivyo...

Baada ya huduma kuisha nikampa mtoto zawad ya notebook na peni mpya akasema asante akaondoka na mama yake....

Zilipita kama siku nne hivi, mchana wakati naenda nyumbani nikaona watoto wanatoka shule wanaenda majumbani mwao... Wakati nawashangaa kwasababu huwa napenda kuwatizama wakiwa wanacheza cheza na uniform zao ... Ghafla nikaona katoto kanakuja mbele yangu kanalia, nikakumbuka ni yule niliyempa zawad basi kakaniita Baraka huku analia, nikachuchumaa kanihug halafu akasema Baraka yule Mtoto amenipiga, nikawaita wote nikawafundisha wasipigane....

Kisha nikamfuta machozi akaridhika nikamuaga akaenda na wenzie kwao huko...


Nilijihisi furaha sana sana kwasababu sina mtoto hivyo nilijiona nimepewa heshima kubwa kwenye kizazi kijacho....


Nilichojifunza, watoto ni Baraka na furaha yako kwao huacha alama isiyofutika maishani mwao....
Safi Doc
 
Mimi wa kwangu ni Anamika 2 Sasa huyu mtoto amejua kuhesabu 1..10 kwa kiswahili na kingereza tangu akiwa na mwaka 1.2 na hakuna day care Wala shule yoyote alio enda zaidi ya mama take.

Huyu mtoto mkifika ugenini Basi akitulia zake anaanza kuhesabu ile serious na kwa sauti Hadi watu wanashangaa kwa umri wake imewezekanaje Hadi Kuna siku babu yake akajisifia eti mtoto kachukua akili zake na katika wajukuu ametokea kumpenda haswa.

Alafu pia ni mtoto mwenye maneno ya hekima na kufariji Sana ukimpatia kitu hachoki kusema nashukuru sana,ubarikiwe na Mungu akutunze Sasa kwa umri wake amejizolea umaarufu mtaani atu wanaamini ni malaika maneno yake yanabaraka za kweli hivyo basi wanamnunulia vitu na anapendwa sana.

Kuna siku alilia tumpigie simu Babu yake basi mama yake akafanya hivyo aliishia tu kumuambia Babu yake asalimia Babu , Ashante Babu, Mungu atunze Babu haya maneno Kama umemfanyia vibaya ni maneno yanayo choma Sana.

Kwenye vioja kunasiku badala atumie pot lake kujisaidia yeye akaenda kujisaidia kwenye hotpot Tena hotpot icon ambalo ndio linategemewa kwenye kupamba kabati [emoji1][emoji1][emoji1] hili hotpot lilioshwa lkn Hadi leo halitumiki tunaliogopa .

Akiwa na hasira ni mkali Sana na haijalishi ni Nani atakunyoishea kidole na kukufokea ukitaka aache ni wewe kuondoka Ila ukisema sijui umchape aisee utaua tu bure . Maana anaujasiri mkubwa Sana na misimamo mikali Sana na hayumbishwi kwenye kile anachokiamini .

Pia akiwa katulia anafanya kitu kikiwa hakileti matokeo yale anayo yataka atapandwa na hasira na kuanza kuharibu hicho kitu Kama ni nguo anavaa haivaliki ataibeba kwa hasira na kwenda kuitupa nje [emoji38][emoji38]


NB
Jaman tuwatunze watoto na tuhakikishe ni wasafi wanavutia Sana, mwanao akiwa msafi atapendwa na kila mtu .

Mimi wa kwangu ni star wa mtaa si watu wazima si watoto wenzie wote wanampenda imefika kipindi amewashika masikio Hadi watoto wenzie walio mzidi umri
Subiri afikishe 15 yrs, utakuja kutupa mrejesho!
 
Ngoja nilete vyangu kidogo kutokea ofisini....

Mimi ni mtu ambaye inapotokea nahudumia mtoto mara nyingi najitahidi kuwa nao karibu sana ili wasiiogope huduma hata inapotokea umemuandikia sindano....

Basi, kalikuja katoto kasichana umri 3 hivi sasa alikuja na mama yake kwenye huduma... Huku mama yake ndiye Mgonjwa wakati huo... Wakati matibabu yakiendelea huku nikimuhoji Mama yake, aliniuliza... Wewe Uncle unaitwa nani? Nikamwambia naitwa Baraka basi akaridhika akatoka nje.... Nikaendelea na kumuhudumia Mama yake nikamaliza nika oder akafanye vipimo, alipoondoka Mimi nikatoka nikaenda dukani...

Niliporudi Mama yake akaniambia, Mtoto wake kaniulizia kuwa Baraka yuko wapi [emoji23][emoji23][emoji23] nilifurahi mnoo kusikia hivyo...

Baada ya huduma kuisha nikampa mtoto zawad ya notebook na peni mpya akasema asante akaondoka na mama yake....

Zilipita kama siku nne hivi, mchana wakati naenda nyumbani nikaona watoto wanatoka shule wanaenda majumbani mwao... Wakati nawashangaa kwasababu huwa napenda kuwatizama wakiwa wanacheza cheza na uniform zao ... Ghafla nikaona katoto kanakuja mbele yangu kanalia, nikakumbuka ni yule niliyempa zawad basi kakaniita Baraka huku analia, nikachuchumaa kanihug halafu akasema Baraka yule Mtoto amenipiga, nikawaita wote nikawafundisha wasipigane....

Kisha nikamfuta machozi akaridhika nikamuaga akaenda na wenzie kwao huko...


Nilijihisi furaha sana sana kwasababu sina mtoto hivyo nilijiona nimepewa heshima kubwa kwenye kizazi kijacho....


Nilichojifunza, watoto ni Baraka na furaha yako kwao huacha alama isiyofutika maishani mwao....
Jiandae kumla mama yake kimasihara
 
Wa kwetu ana miaka 1.5 na hajaweza kuongea bado...

Vituko vyake ni vingi ila kikubwa ni kwamba anaamka asubuhi sana na ukimvalisha tu breki kwa majirani kuwagongea...

Toto kwake ni mtoto, ya moto na moto lakini kuna watu akiwaona anawaita toto, toto...

Tutu kwake ni dudu au jina lake akimaanisha Fatuma maana kuna wanaomwitaga jina hilo kwa kila namna mtu anavyojisikia. Basi nae kuna watu akiwaona anawaita tutuu...

Hapa nyumbani kuna paka ambaye wanacheza wote aisee hata mtoto awe analia vipi au anashughuli gani wewe fanya "nyau" lazima atanyamaza ili akazie na yeye "nyau". Kuna watu akiwaona anawaita nyau (mpaka mimi baba yake naitwa/tunaitana nyau)
 
Mie huwa nafurahishwa na tabia ya wtt kukimbiakimbia. Yaani we Mtume chumbani from sitting room. Izo mbio zake yaani hakuna kutembea. Ivi ni kwa nini? [emoji1787]
Umenikumbusha nilivokua dogo mama akiniagiza nikaangalie ndani ni saa ngapi zile saa za ukutani, basi natoka mbioo😂😂 hadi naambiwa nenda taratibu utaanguka wewee😂
 
Umenikumbusha nilivokua dogo mama akiniagiza nikaangalie ndani ni saa ngapi zile saa za ukutani, basi natoka mbioo[emoji23][emoji23] hadi naambiwa nenda taratibu utaanguka wewee[emoji23]
Na wanaanguka kweli. Utakuta mtu huku mkononi kabeba kitu lkn mabioo. Ataanguka, atalia utamwambia Pole, lkn akiinuka hapo mbioo nyengine keshasahau zamani km katoka kuanguka.

Mie huwaambia miguu mtaitia makovu ya vidonda hlf mkiwa wakubwa mjichukie [emoji23]
 
[emoji28][emoji28] huyu wangu (7 years) hapebdi kuagizwa ….. yaaan ukimuagiza dukani mnakosana yeye n TV, TV na yeye kazi kwelikweli
serious!? Na wewe una mchekea tu!?
Aya bhana ngoja nisiingilie malezi yako
 
Back
Top Bottom