Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Watoto katika hatua zao za ukuaji na kujifunza wanakuwa na mambo flani flani ya kufurahisha sana yaani mwanao anaweza kukuvunja mbavu balaa.
Mfano
1. Mwanangu (1.5years) anaweza kuwa anatazama TV akisikia unaongea na simu au umeweka music kwenye simu anakimbia kuja kuangalia simu hata kama TV ilikuwa na TV program ya katuni nzuri kiasi gani[emoji23] [emoji23] [emoji23]

2. Ukitaka alale we nenda kitandani weka music kwenye simu yako atakuja mwenyewe hata kama alikuwa anakwepa kulala[emoji23]

3. Anaheshimu simu yangu kama kituo cha polisi ila ya mama yake kashaipasua ukiiona utajua mama yake anafanya kazi idara ya miamba (geology)[emoji23]

4.Kupenda safari akiona mtu anatoka tu anaanza kuaga bye bye akijua nayeye anahusika na safari[emoji23] [emoji23]

5. Chakula kikiwa tayari, kabla sijaitwa kula yeye akiona mambo yako tayari anakuja kunipigapiga mgongoni(hajajua kuongea) akiashiria msosi tayari basi ukipotezea anaenda anarudi mpaka utakapoinuka[emoji23] [emoji23]

6. Mwanangu anatabia flani kama wivu, akiona naongea na mama yake mara nimemshika mkono tunaongea kama jambo la siri anakuja fasta analia anataka mama yake ambembe[emoji23]
Nadhani hajajua kwamba mama yake ni mke wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hivi ni baadi ya vituko vya watoto mdau ongeza vya mwanao
Watoto wanaleta raha sanaaa
View attachment 521347

Hahaaa. I could talk about my kids the whole day.

Yule mkubwa wa almost 5 years ni mpole na ana hurumaaa. Pia anapenda sana ufugaji na ameshajua kuchanganya vyakula vya kuku. Anawajua kuku wake wakiumwa, anajua kuandika numbers kwenye kila yai linalotagwa na kuliondoa bandani. Pia anajua kufatilia aina ya kinyesi cha kuku kama ni cha kawaida ama ni cha kuumwa.

Mdogo wake anaekaribia miaka 3 ni mtundu na mbabe. Yeye anapenda magari na ufundi. Yaani umuoneshe video ya magari kwenye simu imekula kwako huna jinsi ya kujitoa atakavyotupa tantrums.

Wengi hupenda kusema nampendelea yule mkubwa lakini sio kweli. Ni rahisi kumuonea kutokana na sura yake ya kipole na huruma aliyonayo so nikisikiaga nywiiii amelia basi nageukaga chui. Because the lil man can surely take care of himself.

Jembe langu lina miaka3,akimuona mtu flani akiongea kwenye tv,anakimbilia remote na kubadili chanel.Simply ana aleji naye.

Mimi wa kwangu jana nimemwambia kuwa wewe ni rafiki yangu akanijibu hapana wewe siyo rafiki yangu wewe ni baba yangu.
Nikabaki natabasamu tu and she is 2.3 years
 
Wangu ana 4yrs last week walikuwa kwenye exam ya midterm kwa elimu yake ya kindergarten sasa mwalimu akaandika vitu amabvyo hawajawahi kusoma aisee aligoma kuufanya huo mtihani mpaka akaenda mama yake siku iliyofuata ikabidi afanye kama special mbele ya mama yake na kumbembeleza kwa sana tu.
Ha ha ha wow!!

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
hii kitu imemtesa sana mwanangu aic ameongea fresh baada ya kumkata hako TIE TONGUE,madk walikua wananiambia usimkate atakua bubu mxiew,mwanaangu hakua akiongea kitu,at 9myhs nikampeleka day care ajimix na watt wenzie wapii,alipofika miaka minne nikafumba macho nikampeleka moro hospt fasta wakakata nw anaongea ingawa sio km umri wake unavyotakiwa aongee,
kitu

Hii kitu mara ya kwanza niliijua kupitia kwa rafiki yangu, mwanae alifikisha umri wa miaka 2 bila kuongea vizuri, walienda kijijini kuwasalimia wazee, bibi akamsikia mtoto analia akasema ana hilo tatizo wakamkata likaisha.

Nimekuja kukutana nayo personally kwa mwanangu pia, miaka 2 bila kuongea vizuri, mpaka alipokatwa, miezi 6 tu baada ya kumkata anaongea maneno karibia yote.
 
Siku nikimwambia mwanangu nakupenda sana, akaniambia baba wewe unapenda bata, mbele ya wageni niliona aibu sana, kumbe huwa anamsikia mama yake akisema mm napenda bata
 
Hii kitu mara ya kwanza niliijua kupitia kwa rafiki yangu, mwanae alifikisha umri wa miaka 2 bila kuongea vizuri, walienda kijijini kuwasalimia wazee, bibi akamsikia mtoto analia akasema ana hilo tatizo wakamkata likaisha.

Nimekuja kukutana nayo personally kwa mwanangu pia, miaka 2 bila kuongea vizuri, mpaka alipokatwa, miezi 6 tu baada ya kumkata anaongea maneno karibia yote.
Kuna katoto kana miaka 9 now haongei kwa ajili jiyo nadhani na uoga wa wazazi kutomkata umechangia, na ile imani kwamba akifika miezi 6 kama hajakatwa haongei tena kumbe ni uongo tu wa mitaani.

Na wengine uzembe unachangia mtoto akizaliwa inabidi uchunguze kiungo kimoja baada ya kingine ili kama ni tatizo lishughulikiwe mapema. Mtoto wenye 'Udata' akiwa analia utagundua tu uliaji wake haupo sawa
 
Watoto katika hatua zao za ukuaji na kujifunza wanakuwa na mambo flani flani ya kufurahisha sana yaani mwanao anaweza kukuvunja mbavu balaa.
Mfano
1. Mwanangu (1.5years) anaweza kuwa anatazama TV akisikia unaongea na simu au umeweka music kwenye simu anakimbia kuja kuangalia simu hata kama TV ilikuwa na TV program ya katuni nzuri kiasi gani[emoji23] [emoji23] [emoji23]

2. Ukitaka alale we nenda kitandani weka music kwenye simu yako atakuja mwenyewe hata kama alikuwa anakwepa kulala[emoji23]

3. Anaheshimu simu yangu kama kituo cha polisi ila ya mama yake kashaipasua ukiiona utajua mama yake anafanya kazi idara ya miamba (geology)[emoji23]

4.Kupenda safari akiona mtu anatoka tu anaanza kuaga bye bye akijua nayeye anahusika na safari[emoji23] [emoji23]

5. Chakula kikiwa tayari, kabla sijaitwa kula yeye akiona mambo yako tayari anakuja kunipigapiga mgongoni(hajajua kuongea) akiashiria msosi tayari basi ukipotezea anaenda anarudi mpaka utakapoinuka[emoji23] [emoji23]

6. Mwanangu anatabia flani kama wivu, akiona naongea na mama yake mara nimemshika mkono tunaongea kama jambo la siri anakuja fasta analia anataka mama yake ambembe[emoji23]
Nadhani hajajua kwamba mama yake ni mke wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hivi ni baadi ya vituko vya watoto mdau ongeza vya mwanao
Watoto wanaleta raha sanaaa
View attachment 521347
Ernest Kilewo

Sent from my SM-T211 using JamiiForums mobile app
 
Kuna katoto kana miaka 9 now haongei kwa ajili jiyo nadhani na uoga wa wazazi kutomkata umechangia, na ile imani kwamba akifika miezi 6 kama hajakatwa haongei tena kumbe ni uongo tu wa mitaani.

Na wengine uzembe unachangia mtoto akizaliwa inabidi uchunguze kiungo kimoja baada ya kingine ili kama ni tatizo lishughulikiwe mapema. Mtoto wenye 'Udata' akiwa analia utagundua tu uliaji wake haupo sawa

Sure, mimi mwanangu tumemkata akiwa na almost 2 years.
 
Hii kitu mara ya kwanza niliijua kupitia kwa rafiki yangu, mwanae alifikisha umri wa miaka 2 bila kuongea vizuri, walienda kijijini kuwasalimia wazee, bibi akamsikia mtoto analia akasema ana hilo tatizo wakamkata likaisha.

Nimekuja kukutana nayo personally kwa mwanangu pia, miaka 2 bila kuongea vizuri, mpaka alipokatwa, miezi 6 tu baada ya kumkata anaongea maneno karibia yote.


,Mimi wa kwangu toka anazaliwa maDk walimgundua maana yy ulimi ulikua haunyanyuki kbs kalishika had mbele kbs,inaumiza sn,alikua haez kitu tena ukimwambia sema lala,lulu hakuna kitu,pole,tushukuru Mungu wanapumua,
 
Mwanangu alikuwa na tabia ya kutafuna nguo na hata magodoro from six month to 4 yrs
 
Kuna katoto kana miaka 9 now haongei kwa ajili jiyo nadhani na uoga wa wazazi kutomkata umechangia, na ile imani kwamba akifika miezi 6 kama hajakatwa haongei tena kumbe ni uongo tu wa mitaani.

Na wengine uzembe unachangia mtoto akizaliwa inabidi uchunguze kiungo kimoja baada ya kingine ili kama ni tatizo lishughulikiwe mapema. Mtoto wenye 'Udata' akiwa analia utagundua tu uliaji wake haupo sawa

Mimi nilimpeleka had mhimbili akiwa nna mwezi nmmoja madk wakagoma kasoro mmoja tu akasema mkate hana shida ila walinitisha anaweza kuwa bubu nikaogopa,
 
,Mimi wa kwangu toka anazaliwa maDk walimgundua maana yy ulimi ulikua haunyanyuki kbs kalishika had mbele kbs,inaumiza sn,alikua haez kitu tena ukimwambia sema lala,lulu hakuna kitu,pole,tushukuru Mungu wanapumua,

Kweli mama, uchunguzi kwa mtoto ni muhimu sana, ila sasa wale watoto ambao inakuwa tatizo siyo kubwa inachukua muda kuwagundua mpaka uwe mzoefu.
 
Uzi umenichekesha huu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Wangu wa kike birthday party yake ya kutimiza two years ndio tulifanya ka party kwasababu angalau mtoto alishaanza kukua tofauti na ile ya 1year, baada ya hapo kwa miaka mitatu mfululizo kila birthday party ya mtu anasema ni yake. Yaani alikuwa anadhani ni yeye tu duniani ndiye mwenye birthday, utasikia birthday yangu, birthday yanguuuuu kilio, hadi mmkalishe na yeye mbele mmvishe na kikofia mmuimbie happy birthday tu yuuuu.... Ndo aridhike la sivyo shughuli nzima ya birthday party itatawaliwa na fujo. Hi hadi shuleni ishawahi tokea kuna zile birthday za watoto wengine zinawakuta wakiwa shule, wazazi wanaenda kufanya kiparty na classmate's yaani alikuwaga analeta fujo hadi naye wamuimbie ndo aridhike. Alienda mbali zaidi na cake anataka iandikwe jina lake hata kama, sio birthday yake, basi hapo itakuwa kilio siku nzima, Akija home kunihadithia utasikia "maa wamechukua birthday yangu... "
Angalau siku hizi amekua anaelewa.

Uyu mdogo wa kiume 3 years jamani mtoto atanitoa jasho huyu anachua bisibisi anachokonoa kila kitu kuanzia vitasa, anasogeza stuli anapanda hadi akifikie kitasa, anachokonoa Tv, akikuta simu kama ni yakufungua utakuta amesambaratisha kila kitu. Kuna siku niliikuta bisibisi kwenye kijibegi chake cha shule jamani jamani.
 
Watoto woteee n waminifuu[emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom