Viongoiz jifunzeni kufuata utawala wa sheria! Mkuu wa mkoa manyara huna mamlaka ya kuzuia Uhamisho wa Watumishi wa Umma

Viongoiz jifunzeni kufuata utawala wa sheria! Mkuu wa mkoa manyara huna mamlaka ya kuzuia Uhamisho wa Watumishi wa Umma

Nchi hii ifike mahali tuwe na chombo kinacho wasimamia hawa viongozi maana nikama wakisha kuwa na madaraka ya juu basi wapo overall, Haya ya kuendelea kuwaacha waongoze kwa utashi wao na sio kuzongatia sheria kuna siku yatatokea ya Dr. Kleruu na mwamwindi

Mkuu wa mkoa kwa utashi wake anasimama kutangaza kufuta uhamisho wa watumishi wa umma kunyume kabisa na sheria za utumishi wa umma hayo mamlaka anayatoa wapi?

Kwani hakuna sheria zinazo simamia na kuongoza utumishi umma na maswala haya ya uhamisho wa watumishi wa umma ?

Kwamba kwa sasa tanzania ilipo fika ni kwamba utashi wa kiongozi ndio utaamua aendeshe vip eneo lake la utawala na sio kwa mujibu wa sheria?

Tanzania inatatizo sana la kiutawala kiasi kwamba kila kiongozi mwenye mamlaka ya juu anajisikia yeye kuruhusu au kuzuia jambo kwa utashi wake na hakuna mamlaka inayo pinga hii ni kutokana na madhara ya kikatiba na kulindana

Kwa nchi hii ilivyo inawezekana kabisa mkuu wa mkoa akasimama na kutangaza wananchi wote ndani ya mkoa wangu kuanzia kesho mvae kaptula na kukawa hakuna chombo cha kumpinga

Viongozi zingatieni na mfuate sheria kama mnavyo taka mnao waongoza wafuate sheria acheni kuongoza kwa utashi wenu.

Nilitegemea kama kuna vyombo vinavyo simamia hawa watumishi kama vyama vyao vya wafanyakazi vingemrekebisha mkuu wa mkoa manyara na kumwambia bayana asivuke mipaka yake ,ni haki ya mtumishi kuhama na akihamishwa anatakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria na sio utashi

MKUU WA MKOA MANYARA AZUIA UHAMISHO

👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Hapo mwishoni umesema vyama vya wafanyakazi!! Hii nchi kuna vyama vya wafanyakazi? 2% ya mishahara wanayokatwa wafanyakazi inamsaidia nini mfanyakazi?
 
Mkuu unajua kuwa RC ni Rais wa Mkoa husika?
Si kweli hayo ni mawazo yako rais ni mmoja tu tanzania , na hatuna marais wa mikoani
Hapo mwishoni umesema vyama vya wafanyakazi!! Hii nchi kuna vyama vya wafanyakazi? 2% ya mishahara wanayokatwa wafanyakazi inamsaidia nini mfanyakazi?
Sijui maana ni kweli wanakatwa 2%
 
Nchi hii ifike mahali tuwe na chombo kinacho wasimamia hawa viongozi maana nikama wakisha kuwa na madaraka ya juu basi wapo overall, Haya ya kuendelea kuwaacha waongoze kwa utashi wao na sio kuzongatia sheria kuna siku yatatokea ya Dr. Kleruu na mwamwindi

Mkuu wa mkoa kwa utashi wake anasimama kutangaza kufuta uhamisho wa watumishi wa umma kunyume kabisa na sheria za utumishi wa umma hayo mamlaka anayatoa wapi?

Kwani hakuna sheria zinazo simamia na kuongoza utumishi umma na maswala haya ya uhamisho wa watumishi wa umma ?

Kwamba kwa sasa tanzania ilipo fika ni kwamba utashi wa kiongozi ndio utaamua aendeshe vip eneo lake la utawala na sio kwa mujibu wa sheria?

Tanzania inatatizo sana la kiutawala kiasi kwamba kila kiongozi mwenye mamlaka ya juu anajisikia yeye kuruhusu au kuzuia jambo kwa utashi wake na hakuna mamlaka inayo pinga hii ni kutokana na madhara ya kikatiba na kulindana

Kwa nchi hii ilivyo inawezekana kabisa mkuu wa mkoa akasimama na kutangaza wananchi wote ndani ya mkoa wangu kuanzia kesho mvae kaptula na kukawa hakuna chombo cha kumpinga

Viongozi zingatieni na mfuate sheria kama mnavyo taka mnao waongoza wafuate sheria acheni kuongoza kwa utashi wenu.

Nilitegemea kama kuna vyombo vinavyo simamia hawa watumishi kama vyama vyao vya wafanyakazi vingemrekebisha mkuu wa mkoa manyara na kumwambia bayana asivuke mipaka yake ,ni haki ya mtumishi kuhama na akihamishwa anatakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria na sio utashi

MKUU WA MKOA MANYARA AZUIA UHAMISHO

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Mkuu wa Mkoa ndiyo Rais wa Mkoa,na ndiyo Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama, sasa wwe mtumishi uko chini yake, sasa kama umefanya ubadhirifu alafu unataka kukimbia soo lako kupitia uhamisho hiyo imekula kwako, subiri maelekezo ya Mkuu!!
 
Nchi hii ifike mahali tuwe na chombo kinacho wasimamia hawa viongozi maana nikama wakisha kuwa na madaraka ya juu basi wapo overall, Haya ya kuendelea kuwaacha waongoze kwa utashi wao na sio kuzongatia sheria kuna siku yatatokea ya Dr. Kleruu na mwamwindi

Mkuu wa mkoa kwa utashi wake anasimama kutangaza kufuta uhamisho wa watumishi wa umma kunyume kabisa na sheria za utumishi wa umma hayo mamlaka anayatoa wapi?

Kwani hakuna sheria zinazo simamia na kuongoza utumishi umma na maswala haya ya uhamisho wa watumishi wa umma ?

Kwamba kwa sasa tanzania ilipo fika ni kwamba utashi wa kiongozi ndio utaamua aendeshe vip eneo lake la utawala na sio kwa mujibu wa sheria?

Tanzania inatatizo sana la kiutawala kiasi kwamba kila kiongozi mwenye mamlaka ya juu anajisikia yeye kuruhusu au kuzuia jambo kwa utashi wake na hakuna mamlaka inayo pinga hii ni kutokana na madhara ya kikatiba na kulindana

Kwa nchi hii ilivyo inawezekana kabisa mkuu wa mkoa akasimama na kutangaza wananchi wote ndani ya mkoa wangu kuanzia kesho mvae kaptula na kukawa hakuna chombo cha kumpinga

Viongozi zingatieni na mfuate sheria kama mnavyo taka mnao waongoza wafuate sheria acheni kuongoza kwa utashi wenu.

Nilitegemea kama kuna vyombo vinavyo simamia hawa watumishi kama vyama vyao vya wafanyakazi vingemrekebisha mkuu wa mkoa manyara na kumwambia bayana asivuke mipaka yake ,ni haki ya mtumishi kuhama na akihamishwa anatakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria na sio utashi

MKUU WA MKOA MANYARA AZUIA UHAMISHO

👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Hawa viongozi ni wajinga sana, hawafuati sheria! Wana elimu za kipumbavu sana!
 
Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Mkuu wa Mkoa ndiyo Rais wa Mkoa,na ndiyo Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama, sasa wwe mtumishi uko chini yake, sasa kama umefanya ubadhirifu alafu unataka kukimbia soo lako kupitia uhamisho hiyo imekula kwako, subiri maelekezo ya Mkuu!!
Usalama wakati hajui hata kushika bastola na hajawahi kwenda hata mgambo? Bullshit!
 
Usalama wakati hajui hata kushika bastola na hajawahi kwenda hata mgambo? Bullshit!
Sasa kwa taarifa yako Rais wa Tanzania ndiyo Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote hapa Tanzania na hajawai kwenda hata Mgambo, sasa wwe hilo nalo unalizungumziaje!!??
 
Back
Top Bottom